United republic of tanzania.Wapi uko?
Sijaona kwa nini unakata tamaa kufungwa matches mbili tu na bado tuna matches nyingi tu mkononi. Yanga atafanya vizuri .tunza haya maneno.Simba ilitinga robo fainali klabu bingwa Africa mara nyingi mfululizo, hadi kuipandisha ligi ya Tanzania na kwenye chati na kuwa moja ya ligi bora Africa, Yanga tukadhani ni kitu kirahisi tukabeza na kuanza kuwaita Mwakarobo
Leo hii naona ugumu wa kazi waliyokuwa wanaifanya Simba, Yanga katika ubora wa juu kabisa tangia kuanzishwa kwake lakini tunaomba mungu na sisi angalau tutinge robo fainali
Yanga ilifika Fainali Shirikisho msimu unaofuta ikaishia robo Fainali Klabu Bingwa.Tusubiri msimu huu bado mechi zinaendelea.United republic of tanzania.
Yanga ali over achieve last season. Tukumbuke initialy it was to qualify for groups stage wakaingia makundi zaidi ya hapo ilikuwa bonus.
So kurudi tena makundi wameshafanya vizuri. Tatizo letu ni kutokuwa na project na kwenda na mihemko. Ilikufika semi final champions league jipe misimu mi5.
Simba ilitinga robo fainali klabu bingwa Africa mara nyingi mfululizo, hadi kuipandisha ligi ya Tanzania na kwenye chati na kuwa moja ya ligi bora Africa, Yanga tukadhani ni kitu kirahisi tukabeza na kuanza kuwaita Mwakarobo
Leo hii naona ugumu wa kazi waliyokuwa wanaifanya Simba, Yanga katika ubora wa juu kabisa tangia kuanzishwa kwake lakini tunaomba mungu na sisi angalau tutinge robo fainali
Ndio sasa wanaa za kujua tofauti ya champions league na shirikishoYanga ilifika Fainali Shirikisho msimu unaofuta ikaishia robo Fainali Klabu Bingwa.Tusubiri msimu huu bado mechi zinaendelea.
maajabu yaUtamfunga nani kwenye kundi lenu
Hujui mpira wewe hao unao waona bora walipigwa mechi mbili mfululizo wakianzia dar wakakandwa tatu kwa moja na raja na bado mechi ya pili wakafumuliwa tena lakini walipita kwenda robo fainali mashindano haya haya tulia uone mpira ni nin sio kukurupuka tu..
We kolo tokea lini ukawa yanga wewe? Yanga kacheza fainali ya ilo kombe mnaloshiriki kama ni rahisi fikeni fainali tuone,,yanga anacheza kombe la mabingwa watupu sio kombe la kushirikishwa babuu kuwa na heshima!Simba ilitinga robo fainali klabu bingwa Africa mara nyingi mfululizo, hadi kuipandisha ligi ya Tanzania na kwenye chati na kuwa moja ya ligi bora Africa, Yanga tukadhani ni kitu kirahisi tukabeza na kuanza kuwaita Mwakarobo
Leo hii naona ugumu wa kazi waliyokuwa wanaifanya Simba, Yanga katika ubora wa juu kabisa tangia kuanzishwa kwake lakini tunaomba mungu na sisi angalau tutinge robo fainali
Tp Mazembe...Utamfunga nani kwenye kundi lenu
Endeleeni kumsifu injinia na chawa wake Ali kamwe mnajazwa ujinga nanyi mnakubali,huwa nawaambia wananchi wezangu injinia akiacha tu kibuli chake na kuwakumbatia wanaomdanganya akina kamwe na kuwafuata wale waliomsaidia wakati anaingia madarakani hadi yanga ikang'aa kimataifa hata hizi gemu zilizobaki yanga itatoboa na kufika mbali.Simba ilitinga robo fainali klabu bingwa Africa mara nyingi mfululizo, hadi kuipandisha ligi ya Tanzania na kwenye chati na kuwa moja ya ligi bora Africa, Yanga tukadhani ni kitu kirahisi tukabeza na kuanza kuwaita Mwakarobo
Leo hii naona ugumu wa kazi waliyokuwa wanaifanya Simba, Yanga katika ubora wa juu kabisa tangia kuanzishwa kwake lakini tunaomba mungu na sisi angalau tutinge robo fainali
Kunawakati msifu mwenzako anayefanys vizuri hata kama moto unakataa,endeleeni kuaminishwa na akina kamwe kuwa yanga itatoboa.kamwe ameshindwakuitetea yanga dhidi ya kampeni chafu za kufungwa sindano wachezaji wetu manara asinge kubali angeunguluma tu.Sasa mbona wewe
Sasa mbona wewe ni Kolo kabisa nani kakwambia kupoteza game mbili ndio imeisha.
Hawa makolo unaowaona walishawai kupigwa mechi mbili tena kwa vipigo vizito na bado wakafanikiwa kutinga robo final
Walikula hamsa mbele ya AC vita then wakaenda kwa mwarabu wakala tena hamsa
Hata juzi kati walipigwa na Horoya kidude, then wakaja kwa mkapa wakachapwa vitatu napo walipita,
Ukiona mwana yanga anakata tama kwa hizi game mbili jua huyo football haujui.
Ya mwaka juzi, watu wa utopiiz mnaiishi past kuliko futureTp Mazembe...