Mkuu,wasikutishe mkuu,hata mm niko ktk mpango kazi wakuhakikisha naacha kazi kwenye local government hizi,muajiriwa tamisemi,mbona wapo wengi tu wameacha kazi serikalini nawanaendelea na biashara zao binafsi au kazi zao binafsi???,,,ningumu kuwatumika mabwana wawili ukatoboa,kazi nabiashara kwa wkaati mmoja ukafanya vyote kwa ufanisi mkubwa ningumu,angalia kama biashara imechukua asilimia kubwa ya attention yako ,wekeza huko mda wako akili yako na ubunifu wako nae Mugu wa mbinguni atakubariki,fikiria mbona kuna wastaafu wengi ambao hawakuacha kazi still wamepigika tu kimaisha licha ya kuaminishwa wakati wa ujana wao kua kazi za serikali ndio kila kitu, still napension wamepokea lkn bado wnaaishi maisha dhalili sana tena maafisa wakubwa tu!!!????,,,kingine nikua nimara chache sana kupata msimamizi wa jambo lako ambalo unalihusudu (biashara yako) akafanya vilevile kama ambavyo ww mbeba maono ungefanya,mara nying huboronga nahua hawajali ,ndipo anguko lawatumishi wengi wauma kuharibikiwa biashara zao huku wao wakiwa makazini,wasimamizi wao hua hawana machungu au maono walionao wenye biashara husika.acha kazi kama utapata amani ya moyo,nenda kaifanye kwa moyo wako wote nakwanguvu zako zote,nae Mungu wambinguni ataibariki kazi ya mikono yako mkuu.barikiwa sana ur not alone in this world of dillema.kazi hizi za serikali hasa ktk jamii za watanzania zimekua kama ni IS unit ktk maisha ya watanzania walio wengi lkn still hazitoi majibu ktk maisha ya watumishi .watumishi wengi waumma hadi anafikia umri wa kustaafu unakuta analalamika tu,mara hajalipwa hiki mara hajafanyiwa hiki,asilimia ndogi sana ya watumishi wa umma sio walalamishi ktk shuguli zao.