Mimi mtu akinifanyia ubaya lazima apate matatizo makubwa ikiwemo kifo na magonjwa je hii imekaaje ?

Mimi mtu akinifanyia ubaya lazima apate matatizo makubwa ikiwemo kifo na magonjwa je hii imekaaje ?

Wakuu Mimi sio mtu wa dini Sana wala ndumba.

Mimi huwa naabudu mizimu na Mungu.

Ila kitu ambacho huwa sikielewi Mimi mtu akinitapeli , kuniibia basi lazima apate matatizo ikiwemo kifo.

Hivyo watu wamekuwa wakiniogopa Sana.
Kifo ni kitu cha kawaida kwa binadamu wala hata wewe utakufa, sasa wewe ukifa unakua umemfanyia nani mabaya kama kifo ni adhabu ya kufanyia mtu mabaya?
 
Back
Top Bottom