Mimi mtu akinifanyia ubaya lazima apate matatizo makubwa ikiwemo kifo na magonjwa je hii imekaaje ?

Mimi mtu akinifanyia ubaya lazima apate matatizo makubwa ikiwemo kifo na magonjwa je hii imekaaje ?

Hiyo hali hata mimi naona kama ninayo. Kwa mfano mademu wote waliowahi kunikataa kwa dharau ni aidha hawajaolewa kabisa au wameolewa wakaachika. Kuna manzi aliniambia hata akivuta hisia kwa mbali za kunipenda haziji.... leo hii anagonga 38yrs bila mume wala mtoto na ni mfuasi wa hawa manabii feki.
 
Mawazo Ni maombi katika Sauti isiyoskika, kutimia kwake inategemea unawaza kwa kumaanisha kiasi gani bila kupepesuka.
 
Hiyo hali hata mimi naona kama ninayo. Kwa mfano mademu wote waliowahi kunikataa kwa dharau ni aidha hawajaolewa kabisa au wameolewa wakaachika. Kuna manzi aliniambia hata akivuta hisia kwa mbali za kunipenda haziji.... leo hii anagonga 38yrs bila mume wala mtoto na ni mfuasi wa hawa manabii feki.
Hatari.
 
Kifo ni kitu cha kawaida kwa binadamu wala hata wewe utakufa, sasa wewe ukifa unakua umemfanyia nani mabaya kama kifo ni adhabu ya kufanyia mtu mabaya?
Mkuu una hoja lakini mleta mada naye ana hoja. Kwa mfano mimi binafsi kuna watu waliniingiza kwenye matatizo yaliyoniyumbisha sana ila kwa sasa mkuu wa kile kikosi ni mfu. Kuna mwanamama aliyekuwa kimbelembele tayari kapooza mwili upande mmoja. Waliobakia karibu wote wamefukuzwa kazi na baadhi wana kesi.
 
Kuna mtu yupo kama hivyo na mwenyewe hutumia kama silaha hujisifu kabisa, kuna kipindi huyo mtu ilitokea nilikuwa namuudhi sana akawa ananitishia kwa hiyo hali yake ila hakuna kilichonipata.
 
Wakuu Mimi sio mtu wa dini Sana wala ndumba.

Mimi huwa naabudu mizimu na Mungu.

Ila kitu ambacho huwa sikielewi Mimi mtu akinitapeli , kuniibia basi lazima apate matatizo ikiwemo kifo.



Hivyo watu wamekuwa wakiniogopa Sana.
Hii kitu ipo Kwa wengi na kama unaabudu mizimu mtu akishazingua hutakiwi kabisa kugomban nae , badae ndo ivyo linampata la kumpata
 
Kuna mtu yupo kama hivyo na mwenyewe hutumia kama silaha hujisifu kabisa, kuna kipindi huyo mtu ilitokea nilikuwa namuudhi sana akawa ananitishia kwa hiyo hali yake ila hakuna kilichonipata.
Muda wako haujafika lazima ukumbwe kama kweli ulimkosea😆kaa chonjo
 
Wakuu Mimi sio mtu wa dini Sana wala ndumba.

Mimi huwa naabudu mizimu na Mungu.

Ila kitu ambacho huwa sikielewi Mimi mtu akinitapeli , kuniibia basi lazima apate matatizo ikiwemo kifo.



Hivyo watu wamekuwa wakiniogopa Sana.
Hili lipo tu kwa wenzako wa kawaida, je chama tawala na viongozi wake? Maana hawa wanadhulumu kila Mtanzania.
 
Mimi namuamini Mungu....Huwa mtu akinionea Ile nikaumia moyo....hata kama sijasema chochote lazima huyo mtu apate anguko...hata kama ni kampuni inaweza kifilisika
 
Wakuu Mimi sio mtu wa dini Sana wala ndumba.

Mimi huwa naabudu mizimu na Mungu.

Ila kitu ambacho huwa sikielewi Mimi mtu akinitapeli , kuniibia basi lazima apate matatizo ikiwemo kifo.



Hivyo watu wamekuwa wakiniogopa Sana.
Wewe ni mkuu wa Bezabuli
 
Wakuu Mimi sio mtu wa dini Sana wala ndumba.

Mimi huwa naabudu mizimu na Mungu.

Ila kitu ambacho huwa sikielewi Mimi mtu akinitapeli , kuniibia basi lazima apate matatizo ikiwemo kifo.



Hivyo watu wamekuwa wakiniogopa Sana.
Wewe ni  KITI cha mizimu
 
Kuna mtu yupo kama hivyo na mwenyewe hutumia kama silaha hujisifu kabisa, kuna kipindi huyo mtu ilitokea nilikuwa namuudhi sana akawa ananitishia kwa hiyo hali yake ila hakuna kilichonipata.
Hiyo Hali hutokea tu sasa mtu akijisifu inaondoa nguvu
 
Back
Top Bottom