Multaza Hr
Member
- Jan 10, 2025
- 83
- 182
Hata mimi ni hivyo hivyo ila leo sitafunguka sana.Wakuu Mimi sio mtu wa dini Sana wala ndumba.
Mimi huwa naabudu mizimu na Mungu.
Ila kitu ambacho huwa sikielewi Mimi mtu akinitapeli , kuniibia basi lazima apate matatizo ikiwemo kifo.
Hivyo watu wamekuwa wakiniogopa Sana.
Kifo ni kitu cha kawaida kwa binadamu wala hata wewe utakufa, sasa wewe ukifa unakua umemfanyia nani mabaya kama kifo ni adhabu ya kufanyia mtu mabaya?Wakuu Mimi sio mtu wa dini Sana wala ndumba.
Mimi huwa naabudu mizimu na Mungu.
Ila kitu ambacho huwa sikielewi Mimi mtu akinitapeli , kuniibia basi lazima apate matatizo ikiwemo kifo.
Hivyo watu wamekuwa wakiniogopa Sana.
🤗🤗 kurujuan hata sio hiiUnawapiga kurjuan
Ndo nimeshngaa Leo nimepokea taarifa za msibaKifo ni kitu cha kawaida kwa binadamu wala hata wewe utakufa, sasa wewe ukifa unakua umemfanyia nani mabaya kama kifo ni adhabu ya kufanyia mtu mabaya?
Ongea na mizimu mkuu ifanye kazinifundishe na mm asee nimechoka kutapeliwa
10Wameshakufa wangapi?
Nafahamu Ila haina ukaribu na hiiKasome kitu kinaitwa confirmation bias.
MIZIMU NI NINI MKUU?Wakuu Mimi sio mtu wa dini Sana wala ndumba.
Mimi huwa naabudu mizimu na Mungu.
Ila kitu ambacho huwa sikielewi Mimi mtu akinitapeli , kuniibia basi lazima apate matatizo ikiwemo kifo.
Hivyo watu wamekuwa wakiniogopa Sana.
AncestorsMIZIMU NI NINI MKUU?
KUABUDU NI NINI?