Mimi na Joannah tunatarajia kufungua Kanisa hivi karibuni ili kukabiliana na hii hali ya Uchumi

Why kanisa not msikiti,,


Acha mazoea na dini za watu
 
Mie section ya kitimoto siitaki. Nipeni kitengo cha wajinga ndiyo waliwao.
 
kwahiyo kutakua hakuna mafuta wala maji ya upako?
Chumvi, leso na keki nani atasimia hilo? Hakikisha skafu na mikanda ya mabegani inatosha

Kuna huyu nanihiii Mzee wa kufofokafoka na kunena kwa lugha
 
Moderators wameiona hii?
Hii ni Kashfa na udhalilishaji wa imani za watu
Moderator
 
Kwa kanisa ya hivyo, wacha mungu acheke msemo wa rose muhando,
anyway mm nitakuwa mpiga vyombo
 
Kinachonishangaza moderator wanafutaga nyuzi za maana na kuacha nyuzi za ajabu kama hizi.
Si wapuuzi wapuuzi hao. Huu mtandao ni wa kifreemason na ni wa kiwakala wa Kipepo ndio maana nyuzi zinazoashiria humu kula tunda masihara, kupiga punyeto, ushoga na ulawiti, udhalilishaji wa wanawake,kuudhalilisha Ukristo, mizaha na uongo, uchawi, kutukana Ukristo, kupinga uwepo wa Mungu ndio nyuzi pendwa za Moderators. Pumbavu kabisa hawa.
 
Muhuri umepigwa sehemu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…