Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtajiju, Majizi tu nyieTulikuwa tumekubaliana hivyo kabla ya vikao lakini baada ya matokeo kaka akaanza kunifokea kwanini nilifanya kinyume na makubaliano.
Hapo ndio nikaelewa kumbe kilichotokea dodoma ni upotoshaji mkubwa kwasababu mimi pia nilipiga kura ya hapana.
Very very interesting. Kwa hiyo kaka yako kukufokea ndio uthibitisho kwamba alipiga kura jinsi ulivyotaka? Mimi nilidhani kwamba mtaonyeshana kura zenu moments kabla hamjazitumbukiza katika boksi.Tulikuwa tumekubaliana hivyo kabla ya vikao lakini baada ya matokeo kaka akaanza kunifokea kwanini nilifanya kinyume na makubaliano.
Hapo ndio nikaelewa kumbe kilichotokea dodoma ni upotoshaji mkubwa kwasababu mimi pia nilipiga kura ya hapana.
Na ndiomaana wakubwa walikasirika sana na kuongea kwa jaziba siku ile, matokeo yaliwawashia taa nyekundu.Jamaa zangu watatu wa huko chamani nao wanalalamika kura zao kuchakachuliwa! Kura za hapana zilikuwa nyingi mno ila kwakuwa walioendesha uchaguzi ni wataalam....!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] akili mtu wanguCCM wajanja, wameweka kura moja ya Hapana ili kila mmoja aliyepiga kura ya hapana adhani kuwa huyo ni yeye[emoji3]
Umewaza mbali sana mkuu,CCM wajanja, wameweka kura moja ya Hapana ili kila mmoja aliyepiga kura ya hapana adhani kuwa huyo ni yeye[emoji3]
Waliibiana wenyewe kwa wenyewe, waswahel wanasema walizidiana kete [emoji23]Na ndiomaana wakubwa walikasirika sana na kuongea kwa jaziba siku ile, matokeo yaliwawashia taa nyekundu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]CCM wajanja, wameweka kura moja ya Hapana ili kila mmoja aliyepiga kura ya hapana adhani kuwa huyo ni yeye[emoji3]
Ndiyo maana wenye ccm yao wanasema mama atadumu mpk 2030. Kwasbb wana mbinu 36 za kumuibia kura mama. Mpk hapo wametumia moja tu..Hapo ndio nikaelewa kumbe kilichotokea dodoma ni upotoshaji mkubwa kwasababu mimi pia nilipiga kura ya hapana.
CCM wajanja, wameweka kura moja ya Hapana ili kila mmoja aliyepiga kura ya hapana adhani kuwa huyo ni yeye[emoji3]