Wezi wa kura lazima wawe mafisadi wa mali za ummaJamaa zangu watatu wa huko chamani nao wanalalamika kura zao kuchakachuliwa! Kura za hapana zilikuwa nyingi mno ila kwakuwa walioendesha uchaguzi ni wataalam....!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wezi wa kura lazima wawe mafisadi wa mali za ummaJamaa zangu watatu wa huko chamani nao wanalalamika kura zao kuchakachuliwa! Kura za hapana zilikuwa nyingi mno ila kwakuwa walioendesha uchaguzi ni wataalam....!
Tulikuwa tumekubaliana hivyo kabla ya vikao lakini baada ya matokeo kaka akaanza kunifokea kwanini nilifanya kinyume na makubaliano.
Hapo ndio nikaelewa kumbe kilichotokea Dodoma ni upotoshaji mkubwa kwasababu mimi pia nilipiga kura ya hapana.
Tulikuwa tumekubaliana hivyo kabla ya vikao lakini baada ya matokeo kaka akaanza kunifokea kwanini nilifanya kinyume na makubaliano.
Hapo ndio nikaelewa kumbe kilichotokea Dodoma ni upotoshaji mkubwa kwasababu mimi pia nilipiga kura ya hapana.
Na. NdugaiHapo bado kura ya Bashiru hawajai include hao makaka!
Mambo yetu ya chaguzi za ndani yanawahusu nini nyie??? Mbona nyie hata chsguzi za ndani huwa hamfanyi, ni lini mlichagua mwenyekiti wa ngo yenu zaidi ya mbowe kuwa bosi wenu?Jamaa zangu watatu wa huko chamani nao wanalalamika kura zao kuchakachuliwa! Kura za hapana zilikuwa nyingi mno ila kwakuwa walioendesha uchaguzi ni wataalam....!
Unaamini kiwa naye alipiga hapana?Tulikuwa tumekubaliana hivyo kabla ya vikao lakini baada ya matokeo kaka akaanza kunifokea kwanini nilifanya kinyume na makubaliano.
Hapo ndio nikaelewa kumbe kilichotokea Dodoma ni upotoshaji mkubwa kwasababu mimi pia nilipiga kura ya hapana.
HahahaaaHio itakua kura yako, kaka alikula bahasha akakusaliti.
CCM wajanja, wameweka kura moja ya Hapana ili kila mmoja aliyepiga kura ya hapana adhani kuwa huyo ni yeye[emoji3]
Fix 😁😁Ukweli ni kwamba huyu mama ndani ya chama chake ni wengi sana wasiomkubali na wasiomtaka kwani wanasema hana uwezo kabisa kabisa wa kiuongozi zaidi ya kubebwa na katiba.
Kwa hiyo Ni Kura ngapi za hapana?Walidanganya pale. Eti kura moja. CCM ni wezi wa kura.
Sio nyie tuu, za ndani ni kuwa matokeo halisi yangewekwa wazi yangeishangaza ccm yenyewe na kuwapa nguvu wafuasi wa kundi la kina Bashiru.Tulikuwa tumekubaliana hivyo kabla ya vikao lakini baada ya matokeo kaka akaanza kunifokea kwanini nilifanya kinyume na makubaliano.
Hapo ndio nikaelewa kumbe kilichotokea Dodoma ni upotoshaji mkubwa kwasababu mimi pia nilipiga kura ya hapana.
Huu ndio uhalisia.Sio nyie tuu, za ndani ni kuwa matokeo halisi yangewekwa wazi yangeishangaza ccm yenyewe na kuwapa nguvu wafuasi wa kundi la kina Bashiru.
Ukweli ni kuwa Samia alijipatia 50% + kidogo tuu. Na hilo lingekuwa pigo kubwa sana.
JK, Makamba na wapambe wao walijua hali ya mkutano ule na ndio sababu ya kuwa wakali wenye vijembe badala ya hoja walipopewa nafasi ya kuzungumza.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Fix 😁😁
Kama Hana uwezo ngoja tusubirie hao wenye uwezo wampige kete 2025
Alikuonesha kura yake? Alikudanganya kura ni siri ya mpiga kura.Tulikuwa tumekubaliana hivyo kabla ya vikao lakini baada ya matokeo kaka akaanza kunifokea kwanini nilifanya kinyume na makubaliano.
Hapo ndio nikaelewa kumbe kilichotokea Dodoma ni upotoshaji mkubwa kwasababu mimi pia nilipiga kura ya hapana.
mi nawaona km mazuzu flani mnajitekenya. Tafuteni kazi ya kufanya uzushi hauna posho.Jamaa zangu watatu wa huko chamani nao wanalalamika kura zao kuchakachuliwa! Kura za hapana zilikuwa nyingi mno ila kwakuwa walioendesha uchaguzi ni wataalam....!