Mimi na Mchumba wangu tumeamua kumchuna huyu Mbunge. Atakoma safari hii kaingia choo cha kike

Mimi na Mchumba wangu tumeamua kumchuna huyu Mbunge. Atakoma safari hii kaingia choo cha kike

Kijana unaonekana mgeni na wanawake. Sasa hautaamini atakachokufanyia huyo my wife wako.

Atawasiliana na huyo mbunge bila wewe kujua na atamwambia kuwa pesa anazotuma hachukui yeye bali wewe, then mbunge atamuelewa watapanga yao kisiri na atampatia zaidi pesa na watamalizana kimya kimya huku wewe ukidhani umewin.

Utakuja jua mchezo baadae sana huko ambapo umeshafanyiwa matukio ya kugongewa bila kujijua.

Wanawake mbele ya pesa ni sawa na mtu mlafi akishikwa na njaa mbele ya chakula cha mgonjwa, atakila tu kwanza hata ikibidi mgonjwa akose yeye hatojali hilo.
 
Na kwa namna hii ukiendelea utakuja shangaa jamaa anakutomba na wewe pia. Maana ukishachukua hela ya mwanaume utegemee nini zaidi ya kutombwa.
 
Nliwaambia mchumba wangu yupo Dodoma kahamia Dar. Kumbe kuna mbunge bwege alikuwa anamfukuzia. Sasa anaandika msg anasikitika kuwa yaani ndo amekosa K hivi hivi..

Mi nliona mchumba anachat nikamwambia anipe simu yake nione anachat na nani. Akataka kukataa maana alikuwa anaona naweza enda mpasua matumbo huyo mtu. Ndo nikalazimisha simu.

Sasa nachat na mbunge nimemwambia atume tsh 500,000 katuma aisee... Kumbe wabunge wana pesa ya mchezo sana..nimemwambia my wife to be hapo yeye namwamchia 100,000 ya voucher mi nachukua 400,000.

Nimemwambia Mbunge anitumie na Iphone mpya kasema nimpe siku mbili atatuma. Hapo anajua anachat na mchumba. yaani bwege sana huyu mbunge. Hivi hawa ndo wanatunga sheria kweli? Daaah ndo maana sheria nyingine ni mbovu.

Nawashauri wanaume tafute mademu wakali mnaweza kuwa mnapata pesa kirahisi tu. Nimemwambia wife asimpoteze huyu mbunge tupige pesa zake.

Ni bora nami nirudishe pesa zangu. Unaweza jifanya eti we mgumu halafu demu wako akawa analiwa hupati kitu. Mi nimewekeza pia kwa huyu demu.
Mwanaume unajisifia kabisa kuwa kuwadi wa demu wako.. mkiuliwa kwa kuchomwa moto mlalamika na kusumbua polisi kama yule wa kibaha.. wanaume hakuna siku hizi..
 
Na kwa namna hii ukiendelea utakuja shangaa jamaa anakutomba na wewe pia. Maana ukishachukua hela ya mwanaume utegemee nini zaidi ya kutombwa.
Una uzoefu mkubwa. Ilikuaje wakakufanya laanakum?
 
Nliwaambia mchumba wangu yupo Dodoma kahamia Dar. Kumbe kuna mbunge bwege alikuwa anamfukuzia. Sasa anaandika msg anasikitika kuwa yaani ndo amekosa K hivi hivi..

Mi nliona mchumba anachat nikamwambia anipe simu yake nione anachat na nani. Akataka kukataa maana alikuwa anaona naweza enda mpasua matumbo huyo mtu. Ndo nikalazimisha simu.

Sasa nachat na mbunge nimemwambia atume tsh 500,000 katuma aisee... Kumbe wabunge wana pesa ya mchezo sana..nimemwambia my wife to be hapo yeye namwamchia 100,000 ya voucher mi nachukua 400,000.

Nimemwambia Mbunge anitumie na Iphone mpya kasema nimpe siku mbili atatuma. Hapo anajua anachat na mchumba. yaani bwege sana huyu mbunge. Hivi hawa ndo wanatunga sheria kweli? Daaah ndo maana sheria nyingine ni mbovu.

Nawashauri wanaume tafute mademu wakali mnaweza kuwa mnapata pesa kirahisi tu. Nimemwambia wife asimpoteze huyu mbunge tupige pesa zake.

Ni bora nami nirudishe pesa zangu. Unaweza jifanya eti we mgumu halafu demu wako akawa analiwa hupati kitu. Mi nimewekeza pia kwa huyu demu.
Utasikia nakuoenda wew na huyo bwana wako .... akisikika mbunge moja toka dodoma huku akiwa ameshikilia mafuta ya vaseline(mgando)....
 
Wanaume tunapungua kwa Kasi Sana,nashauri kwsmye katiba mpya tufanywe kuwa nyara za serikali.

Yani mwanaume anajisifu kumchuna mwanaume mwenzie na kumdangia meanamke wake kwa niaba!!?

Man down!!
Kuna kipindi kulitokea mfululizo wa matukio ya fumaniz na wanaume kulipwa na wagon wao kuanzia 1-4mln,kuna jamaa mmoja akawa analalamika kuwa mbona mke wake haliwi wapate pesa
 
Back
Top Bottom