Mimi na Mchumba wangu tumeamua kumchuna huyu Mbunge. Atakoma safari hii kaingia choo cha kike

Mimi na Mchumba wangu tumeamua kumchuna huyu Mbunge. Atakoma safari hii kaingia choo cha kike

Hawezi vimba kwa hela za kuinamishwa. Sana sana atakuwa na hasira sana, atakuwa anadai hadi 100. Hela kaipata kwa maumivu [emoji28][emoji28]
Ata akiwa bar anatutambia kwakunywa Hennessy watu tujijua tutamdharau
Nakumuona anakunywa banana tu.
 
Amechanganyikiwa maana nyuzi zake ndio anatangaza aliowatumia nauli na aliowagonga. Mkuu naanza kupata mashaka wazee wa Vaseline na parachute weshamtembelea masikini maana amerudi ana hasira kweli.

Akome ameacha kuuza matunda kahamia kudanga matokeo yake wanatindua nanhii[emoji23][emoji23][emoji23]
Mr Chizi Maarifa una lipi la kumuambia mkeo mtarajiwa??. Kuhusiana na madai haya
 
Amechanganyikiwa maana nyuzi zake ndio anatangaza aliowatumia nauli na aliowagonga. Mkuu naanza kupata mashaka wazee wa Vaseline na parachute weshamtembelea masikini maana amerudi ana hasira kweli.

Akome ameacha kuuza matunda kahamia kudanga matokeo yake wanatindua nanhii[emoji23][emoji23][emoji23]

Twenzetu tukapike biscuit kule chini
 
Nliwaambia mchumba wangu yupo Dodoma kahamia Dar. Kumbe kuna mbunge bwege alikuwa anamfukuzia. Sasa anaandika msg anasikitika kuwa yaani ndo amekosa K hivi hivi..

Mi nliona mchumba anachat nikamwambia anipe simu yake nione anachat na nani. Akataka kukataa maana alikuwa anaona naweza enda mpasua matumbo huyo mtu. Ndo nikalazimisha simu.

Sasa nachat na mbunge nimemwambia atume tsh 500,000 katuma aisee... Kumbe wabunge wana pesa ya mchezo sana..nimemwambia my wife to be hapo yeye namwamchia 100,000 ya voucher mi nachukua 400,000.

Nimemwambia Mbunge anitumie na Iphone mpya kasema nimpe siku mbili atatuma. Hapo anajua anachat na mchumba. yaani bwege sana huyu mbunge. Hivi hawa ndo wanatunga sheria kweli? Daaah ndo maana sheria nyingine ni mbovu.

Nawashauri wanaume tafute mademu wakali mnaweza kuwa mnapata pesa kirahisi tu. Nimemwambia wife asimpoteze huyu mbunge tupige pesa zake.

Ni bora nami nirudishe pesa zangu. Unaweza jifanya eti we mgumu halafu demu wako akawa analiwa hupati kitu. Mi nimewekeza pia kwa huyu demu.
Mshirikiane kumna tu ila chunga sana msishirikiane kumpa Makario huyo mbunge
 
Amechanganyikiwa maana nyuzi zake ndio anatangaza aliowatumia nauli na aliowagonga. Mkuu naanza kupata mashaka wazee wa Vaseline na parachute weshamtembelea masikini maana amerudi ana hasira kweli.

Akome ameacha kuuza matunda kahamia kudanga matokeo yake wanatindua nanhii[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa huu uandishi mwanaume mwenye akili hawezi kukuachia mtoto umlee... Atatoroka naye tu. Maana tayari utakuwa umesham pollute. Ndo maana sometimes mnatulaumu sisi wanaume wapuuzi kuwa tunawatia tu mimba halafu tunalala mbele. Kumbe ni sababu tumeshaona "hapa hamna mke hapa huyu ni hopeless"
 
Hiv hii nchi ukitaka kuisaidia unaanzia wapi wandugu hebu tusaidiane
 
Nliwaambia mchumba wangu yupo Dodoma kahamia Dar. Kumbe kuna mbunge bwege alikuwa anamfukuzia. Sasa anaandika msg anasikitika kuwa yaani ndo amekosa K hivi hivi..

Mi nliona mchumba anachat nikamwambia anipe simu yake nione anachat na nani. Akataka kukataa maana alikuwa anaona naweza enda mpasua matumbo huyo mtu. Ndo nikalazimisha simu.

Sasa nachat na mbunge nimemwambia atume tsh 500,000 katuma aisee... Kumbe wabunge wana pesa ya mchezo sana..nimemwambia my wife to be hapo yeye namwamchia 100,000 ya voucher mi nachukua 400,000.

Nimemwambia Mbunge anitumie na Iphone mpya kasema nimpe siku mbili atatuma. Hapo anajua anachat na mchumba. yaani bwege sana huyu mbunge. Hivi hawa ndo wanatunga sheria kweli? Daaah ndo maana sheria nyingine ni mbovu.

Nawashauri wanaume tafute mademu wakali mnaweza kuwa mnapata pesa kirahisi tu. Nimemwambia wife asimpoteze huyu mbunge tupige pesa zake.

Ni bora nami nirudishe pesa zangu. Unaweza jifanya eti we mgumu halafu demu wako akawa analiwa hupati kitu. Mi nimewekeza pia kwa huyu demu.
Akishaatanuliwa

Uje hukuu useme pia.

Muosha huoshwa.

ikila vya watuu lazima na wewe utalipwa tuuu.

Sina hakika kama huyo mchumba wako unambebaga mgongoni wakati wotee.

Subiri nyama utakuta chini endelea kunywa mtorii
 
Akishaatanuliwa

Uje hukuu useme pia.

Muosha huoshwa.

ikila vya watuu lazima na wewe utalipwa tuuu.

Sina hakika kama huyo mchumba wako unambebaga mgongoni wakati wotee.

Subiri nyama utakuta chini endelea kunywa mtorii
Hapana simbebi ndo maana nachukua changu mapema. Akiliwa akaliwe kwa faida.
 
Back
Top Bottom