Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
πππbro kuteseka hakuna trophy ukipata short cut unapita nayo tu πππ π π Yani hapo tayari ashapoteana huyo. ta ta ta ta shiii shiii, π π kisa gud life
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππbro kuteseka hakuna trophy ukipata short cut unapita nayo tu πππ π π Yani hapo tayari ashapoteana huyo. ta ta ta ta shiii shiii, π π kisa gud life
Shemeji trudie katoa hiyo hela kabisa, maana mumeo Chizi Maarifa dishi lake halielewekagiNdio maana nimeshangaa leo umenitumia 200,000 bila sababu kumbe umedanga kwa mbunge??? Na unatufanya mimi na mwanao tule hela ya kudanga kweli??
Aisee bro Chizi Maarifa amekuaa, ila kuwa makini usije kuwa muamala fekii. Maana hilo dishi lake linayumba SanaIntelligent businessman hatimaye baada ya kupotea muda mrefu karudi na mbinu mpya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Na matumizi katuma juu
Short cut zingine zina mateso balaa. Kama hiyo aliyochagua jamaa kudanga π π ππππbro kuteseka hakuna trophy ukipata short cut unapita nayo tu ππ
Alipotea ghafla bila kuaga kumbe ameenda makao makuu kudanga....leo nmeona muamala wa 200,000 nikajua kapata kazi kumbe looh
Ndio maana nimeshangaa leo umenitumia 200,000 bila sababu kumbe umedanga kwa mbunge??? Na unatufanya mimi na mwanao tule hela ya kudanga kweli??
Ooohh kumekucha. Kumbe hela kamtumia Mama wa mtoto wake [emoji28][emoji28][emoji28]
Jamaa katisha sanaπ π π πKagawanyisha huku na huku
Hakuna demu mgumu mbele hela. Ni suala la muda atakuacha ataenda kwa mbunge.Nliwaambia mchumba wangu yupo Dodoma kahamia Dar. Kumbe kuna mbunge bwege alikuwa anamfukuzia. Sasa anaandika msg anasikitika kuwa yaani ndo amekosa K hivi hivi..
Mi nliona mchumba anachat nikamwambia anipe simu yake nione anachat na nani. Akataka kukataa maana alikuwa anaona naweza enda mpasua matumbo huyo mtu. Ndo nikalazimisha simu.
Sasa nachat na mbunge nimemwambia atume tsh 500,000 katuma aisee... Kumbe wabunge wana pesa ya mchezo sana..nimemwambia my wife to be hapo yeye namwamchia 100,000 ya voucher mi nachukua 400,000.
Nimemwambia Mbunge anitumie na Iphone mpya kasema nimpe siku mbili atatuma. Hapo anajua anachat na mchumba. yaani bwege sana huyu mbunge. Hivi hawa ndo wanatunga sheria kweli? Daaah ndo maana sheria nyingine ni mbovu.
Nawashauri wanaume tafute mademu wakali mnaweza kuwa mnapata pesa kirahisi tu. Nimemwambia wife asimpoteze huyu mbunge tupige pesa zake.
Lakini haina hasaraShort cut zingine zina mateso balaa. Kama hiyo aliyochagua jamaa kudanga π π π
Aina hasara wakati anakuwa ameshavuliwa ubingwa?.. Soon na yey anavaa shanga π πLakini haina hasara
Na kikuku π π kuleft group inaruhusiwa lakiniAina hasara wakati anakuwa ameshavuliwa ubingwa?.. Soon na yey anavaa shanga π π
Akishaingia huko hawezi Toka tena. Ni one way hiyo π π πNa kikuku π π kuleft group inaruhusiwa lakini
πππatafurahia maisha ya upande wa piliAkishaingia huko hawezi Toka tena. Ni one way hiyo π π π
Hawezi kufurahia, ila atakuwa hana namna π ππππatafurahia maisha ya upande wa pili
Ila dah kanitafakarisha sanaHawezi kufurahia, ila atakuwa hana namna π π
Me hata siumizi kichwa. Watajuana wenyewe huko. π π πIla dah kanitafakarisha sana
Sio shida zetuMe hata siumizi kichwa. Watajuana wenyewe huko. π π π