Mimi na Mchumba wangu tumeamua kumchuna huyu Mbunge. Atakoma safari hii kaingia choo cha kike

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Yani hapo tayari ashapoteana huyo. ta ta ta ta shiii shiii, πŸ˜…πŸ˜… kisa gud life
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€bro kuteseka hakuna trophy ukipata short cut unapita nayo tu πŸ˜€πŸ˜€
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€bro kuteseka hakuna trophy ukipata short cut unapita nayo tu πŸ˜€πŸ˜€
Short cut zingine zina mateso balaa. Kama hiyo aliyochagua jamaa kudanga πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Alipotea ghafla bila kuaga kumbe ameenda makao makuu kudanga....leo nmeona muamala wa 200,000 nikajua kapata kazi kumbe looh

Yaan huyu baba watoto kaenda na demu wake huko kufanya mabalaa mwambie arudi mtoto kammiss huki
 
Ndio maana nimeshangaa leo umenitumia 200,000 bila sababu kumbe umedanga kwa mbunge??? Na unatufanya mimi na mwanao tule hela ya kudanga kweli??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna demu mgumu mbele hela. Ni suala la muda atakuacha ataenda kwa mbunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…