Mimi naona dunia iachane na mfumo dume na rasmi 50/50 ishike hatamu

Mfumo dume ni mfumo wa kimbingu, 59/50=1 ni mfumo wa kishetani, humo ndo kuna ushoga, usagaji na mambo mengine ya kishenzi. Sababu unajaribu kuondoa utofauti kati ya mwanaume na mwanamke. Wote wakiwa sawa kila mtu anaweza kuwa mwanamke at the sametime akawa mwanaume
 
Hivi hawa viumbe wanaosema 50/50 wanajua kweli nini wanaka ama kisa tu mtu una bando na simu unamua kupost.?

Hivi ikitokea vita leo kwa mfano, hapa tz itakuwepo hiyo 50/50 au ndo yale yale ya Ukraine kwamba hivi viumbe vidai usawa na watoto huwa huondolewa kwanza na hapo hutoskia huu ujinga wa usawa wala nn

Majambazi wajika kwako usiku kuvamia kwa unavosema 50/50 je utakomaa nao kiume au ndo yale yale ya kupiga kelele kuomba msaada

hizi idea za ki feminist sina waponzaga sana, kifupi hamjielewi wengi wenu mna copy na kupaste ideology bila kuweza kudadavua uhalisia, alafu ndo uje useme unaweza kujisimamia.

Be logical hasa kwenye mada senstive kama hizi, usilete hisia as hivi viwili havichanganywi.

Povu ruksa
 
Kama lengo ni kuangalia wapi kosa limefanyika basi wakufanya hivyo ni sisi wanaume

Wanaume ndio tulifanya kosa kuwapeni uhuru uliopitiliza (tukiamini kufanya hivyo ni upendo) mpaka sasa uhuru huo unaenda kuwa silaha inayoturudia wenyewe.
 
Sasahivi mnagombea 50 zenu na mashoga
 
Haki sawa inahubiriwa kwenye vitu simple

Hususani kwenye mgawanyo wa mali ndio sera hii inatumika sana.

Kwenye mambo magumu hili swala halipo na hata wao wanajua.

50/50 ni myths ya wanaharakati wa mitandaoni wala haipo applied mitaani.

Dada zetu wanaamini huo ndio mfumo uliokuja kumuokoa mwanamke lakini binafsi naona majibu ni tofauti.

Mwanaume akiwa na hela wakivunja ndoa na mkewe utasikia 50/50 kwenye mali.

Mwanamke mwenye hela akiolewa na na mwanaume choka mbaya then ndoa ikavunjika, mwanaume ataondoka kama alivyokuja. Hapo hakuna tena 50/50.
 
Kabisa.
Hata nchi za Ulaya na Amerika ambapo ndugu zetu hawa wanatolea mifano 50-50 wanatumia katika baadhi ya majukumu tu kwenye kulipa bill, kazi za nyumbani n.k...

Lakini ikitokea vita 50-50 haipo, wanaume ndio wapo front kumaliza, wanawake wapo lakini sio kama wanaume.
 
Kazi za nyumbani ndio kigezo kikubwa cha kutaka 50/50?

Nikatika tu kufikiria wapi kuna huo ugumu kwenye hizo kazi za nyumbani. (Maana hata kabla hajakuoa naye hizo kazi alikuwa akifanya)

So labda uniambie

Inawezekana home kila siku lazima ujaze Simtank la lita 10,000 za maji, maji ambayo unayafuata kilomita 30 kwa mguu tena ukiwa peku kwenye njia yenye miba, majabali na miamba kiasi kazi hizo zionekane ngumu kwako?

Au kwenye kupiga deki huwa unapiga deki stadium kama ya Mkapa?
 
Yaan siku hizi kila kitu, lazima lawama utupiwe ushoga.
Hebu muupumzishe bas, suala hapa ni mwanamke na mwanaume walio ktk ndoa, sasa ushoga unakujajee??
 
Nonesense
 
Wakati vita ya Ukraine inaanza nilisikia raisi wa Ukraine akitoa tamko kuwa wanawake na wazee wote wasafirishwe kupisha vita.

Mimi nikahoji kwanini wale wanaharakati wa haki za wanawake wakae kimya huku haki ya mwanamke ya kuoigana vita ikidhulumiwa?

Kwanini wasijitokeze na sera yao ya 50/50 kwa msukumo uleule ambao tumekuwa tukiwaona kwenye mambo ya mgawanyo wa mali nk?

Na wanawake wenyewe kwanini walikuwa kimya kuona haki zao zinadhulumiwa?

Hata humu JF sikuona feminist yeyote akilaani kile kitendo.

Sasa kama hapo nini maana ya 50/50 kama kwenye mambo magumu wanawake wanawekwa nyuma?
 
50/50 maana yake fursa sawa kwa jinsia ya ke na me kielimu , nakadhalika haina maana nyingine sema watu hawaelewagi wanachukua maneno ya vijiweni kuwa mwanamke kuwa sawa na mwanaume kitu ambacho sio kweli.
 
Ndio, kuna msemo unasema "with great authority comes great responsibility" yani kila mamlaka makubwa huambatana na majukumu makubwa
Actually: With great responsibility comes great authority (powers)

Kiotomati yule anayewajibika kwa watu wengi zaidi, au kwa jukumu kubwa zaidi popote ndiye anayekuwa na uwezo mkubwa.

Ilikuwa na bado ni kweli kabisa ilipoandikwa:

"Lakini haitakuwa hivyo kwenu; bali mtu ye yote anayetaka kuwa mkubwa kwenu, na awe mtumishi wenu; 27na mtu ye yote anayetaka kuwa wa kwanza kwenu na awe mtumwa wenu;"

Na sasa uliyoyaongea kwenye zote hasa ya mwisho ni bonge la logic. Ni kama simu tu, kila mmoja achague profile anayoipenda na anayoendana nayo na aishi nayo kikamilifu. Sio mtu achague silent halafu atake akipigiwa iite kwa mziki wa reggae aliouchagua whata aa......

"bali mtu ye yote anayetaka kuwa mkubwa kwenu, na awe mtumishi wenu; 27na mtu ye yote anayetaka kuwa wa kwanza kwenu na awe mtumwa wenu; " so yule anayefanya kazi kubwa zaidi kuijenga hiyo familia na awe kiongozi. Na kama wote wanafanya kazi sawa basi wawe partners
 
Hahahahahaha..mnavyopenda kitonga hamuwezi hii kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…