Jadda my girl, mi nadhani tatizo halipo kwa wanaume tu, Hata kwa wanawake. Jamii yetu inatatizo la kuvamia mambo ambayo hatuyaelewi vizuri. Wanaume baadhi wanakwepa majukumu wakati huo wanataka mamlaka 100% na wakati huo huo wanawake, baadhi wanakwepa majukumu yao ya kike halafu wanataka huduma 100. Jamii kama hii lazima iwe na mvutano, ndio huu mtifuano tunao ushuhudia sasa.
Jamii imebadilika sana, 50/50 haikwepeki, Binafsi naiona iko very practical. Ni mfumo rahisi sana kuuadapt kuliko ule mfumo kale.
Swali ni je, Kwa sisi ambao wanaume zetu wametuzidi vipato mara 70, hii 50/50 tunawezaje kuipractice? Tukumbuke kwa hapa Tz, mara nyingi mwanaume mwenye kipato kikubwa ni mtu busy sana, 80% unavailable kwa mambo ya nyumbani/familia. (Someone can share her/his experience)
However , its important each family to customize their life style which accommodates them, To each their own. [emoji1635]