joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Inawezekana ww unaona hawafanyi majukumu yao,sababu ndani ya nyuma nao wanataka 50-50,hamna mwanamke anaye kubali hii 50-50 na hamuipendi,hasa ikifiki kipindi cha kuchangia hiyo 50.Wanawake hawawezi kukubali kufanya majukumu yenu ikiwa ninyi hamkubali kufanya majukumu yao huku bado mnataka kupewa heshima na utii eleweni hilo
Hicho unacho kitaka haiwezekani kiasili, na hakito kuja kutokea.Nchi ya Europe wameshindwa hiko ukitakacho ww, ushajiuliza why?
Hivi ushajiuliza why jamii zote pamoja na mwanzoni hazikuwa hazijuani, ila majukumu ya mwanaume yana fanana na zote ziliendeshwa na mfume dume.
Huwezi shindana asili 50-50 hata wazungu hawaitaki, ndio maana siku hizi kuna kundi kubwa la wazungu kutoka ulaya wanaitwa Passport Bro,wanaoa wanawake kutoka mataifa mengine nje na ya kwao kama Africa,Thailand, Philippines na baadhi ya nchi za Latin America. Ushajiuliza wanakimbia nini?