Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuuliza wewe mleta mada, ukisema hiki ni bora kuliko hiki, utoe na sababu.Soma comment
Amka ndotoni kijanaVungaaa mkuuu😂😂😂 tunaongea fact hapaa MD kasom ka unapnd sifaaa bt medical lab to me is nice
Md ada kubwa sanaa hasa private na medical lab atlist unaweza afford afuu vyuo vya ma MD ni vingii sana kuliko Medical lab hivoo kufanya medical lab kuw na watumishi wachache na marketableNimekuuliza wewe mleta mada, ukisema hiki ni bora kuliko hiki, utoe na sababu.
Kijana shule inakuchanganya Demand ya MD ni kubwa sana kuliko medical lab .Upnde wa kujiajir bila mpunga wa vifaa ni ngumu microscope, centrifuge , reagents na vitu vingine , Upnde wa Kuajiriwa serikalin bado Demand ya soko liko chini afadhari kwa wenye diploma kidogo lakn bacherol mara nying chin ya wizara ndio waajiri wao tamisemi zinatoka chache sna hasa wanatoa za diplomaMd ada kubwa sanaa hasa private na medical lab atlist unaweza afford afuu vyuo vya ma MD ni vingii sana kuliko Medical lab hivoo kufanya medical lab kuw na watumishi wachache na marketable
History tu inanipa 80% ya diagnosis. Vipimo ni ku confirm tu na si lazima. Ndio maana kuna syndromic approach of treatment kwa ambao hawana vipimo.Subiri majibu ya lab ugawe dawa.
Kila ugonjwa una distinctive features zake bro!Siku hizi mgonjwa hata awee na dalili zotee kupima ni muhimuuu sanaaa
MD naona kaz ako n kuqndk dawa ushauri na surgery
Wakati huo unapima magonjwa baada ya kuwa directed na MDNo lab scientist no md work mtaua wagonjwa
😂😂😂 Mr umemind its just for funnyWakati huo unapima magonjwa baada ya kuwa directed na MD
Japo sio medical personnel, ila una ushamba na ulimbukeni sana
MD, nurses, pharmacist, lab technologist nk wote Wanafanya kazi kwa kutegemeana, hivyo hakuna haja ya kujilinganisha au kujiona bora kwa wenzako
Mambo haya tulifanya mashuleni kujiona tunaosoma sayansi ni Bora kumbe hamna uhalisia, now Kuna watu wamepiga biashara au art wametusua maisha
Mambo hayo ni ya watoto wasuojitambua
Ma MD (medical officers) mnajikutaga nani sijui.Kisa umesoma anatomy ndo unaanza kujilinganisha au?
Lab huwa hasomi embrology
Lab huwa hasomi surgery
Lab huwa hasomi pharmacology
Ni mengi banah tukiorodhesha hapa..
Ungesema anathibitisha mgonjwa anaumwa ugonjwa fulani ni Lab hapo ungeeleweka.
Anway piga msuli kijana naona lab coat inakufanya unavimba [emoji1787][emoji1787]
Mkuu umepiga med lab?Ma MD (medical officers) mnajikutaga nani sijui.
Aliyejuu mngoje chiniMimi nasema kwa sasa katika ya medical laboratory scientist na MD bora ni medical laboratory scientist
Hujui unaloongeaMd wanasubiri majibu ya lab ili wakagawe dawa,bila majibu ya lab md hafanyi kazi.
Hapana mkuu sijapiga med lab, nimesoma CO then degree ya kitu kingine nje ya afya.Mkuu umepiga med lab?