Mimi nasema kwa sasa katika ya medical laboratory scientist na MD bora ni medical laboratory scientist

Mimi nasema kwa sasa katika ya medical laboratory scientist na MD bora ni medical laboratory scientist

Nimekuuliza wewe mleta mada, ukisema hiki ni bora kuliko hiki, utoe na sababu.
Md ada kubwa sanaa hasa private na medical lab atlist unaweza afford afuu vyuo vya ma MD ni vingii sana kuliko Medical lab hivoo kufanya medical lab kuw na watumishi wachache na marketable
 
Md ada kubwa sanaa hasa private na medical lab atlist unaweza afford afuu vyuo vya ma MD ni vingii sana kuliko Medical lab hivoo kufanya medical lab kuw na watumishi wachache na marketable
Kijana shule inakuchanganya Demand ya MD ni kubwa sana kuliko medical lab .Upnde wa kujiajir bila mpunga wa vifaa ni ngumu microscope, centrifuge , reagents na vitu vingine , Upnde wa Kuajiriwa serikalin bado Demand ya soko liko chini afadhari kwa wenye diploma kidogo lakn bacherol mara nying chin ya wizara ndio waajiri wao tamisemi zinatoka chache sna hasa wanatoa za diploma
 
No lab scientist no md work mtaua wagonjwa
Wakati huo unapima magonjwa baada ya kuwa directed na MD

Japo sio medical personnel, ila una ushamba na ulimbukeni sana

MD, nurses, pharmacist, lab technologist nk wote Wanafanya kazi kwa kutegemeana, hivyo hakuna haja ya kujilinganisha au kujiona bora kwa wenzako


Mambo haya tulifanya mashuleni kujiona tunaosoma sayansi ni Bora kumbe hamna uhalisia, now Kuna watu wamepiga biashara au art wametusua maisha

Mambo hayo ni ya watoto wasuojitambua
 
Wakati huo unapima magonjwa baada ya kuwa directed na MD

Japo sio medical personnel, ila una ushamba na ulimbukeni sana

MD, nurses, pharmacist, lab technologist nk wote Wanafanya kazi kwa kutegemeana, hivyo hakuna haja ya kujilinganisha au kujiona bora kwa wenzako


Mambo haya tulifanya mashuleni kujiona tunaosoma sayansi ni Bora kumbe hamna uhalisia, now Kuna watu wamepiga biashara au art wametusua maisha

Mambo hayo ni ya watoto wasuojitambua
😂😂😂 Mr umemind its just for funny
 
Kisa umesoma anatomy ndo unaanza kujilinganisha au?
Lab huwa hasomi embrology
Lab huwa hasomi surgery
Lab huwa hasomi pharmacology
Ni mengi banah tukiorodhesha hapa..
Ungesema anathibitisha mgonjwa anaumwa ugonjwa fulani ni Lab hapo ungeeleweka.
Anway piga msuli kijana naona lab coat inakufanya unavimba [emoji1787][emoji1787]
Ma MD (medical officers) mnajikutaga nani sijui.
 
Back
Top Bottom