Mimi nasema kwa sasa katika ya medical laboratory scientist na MD bora ni medical laboratory scientist

Mimi nasema kwa sasa katika ya medical laboratory scientist na MD bora ni medical laboratory scientist

Hapa kuna ubishani wa kitoto kabisa.

Ni Aibu kwa Professional kubishana ujinga huu.
 
katika uhalisia am laboratory personnel but lab Ni bora Ile ya diploma.. Lab ya degree Ni ya uongo haikufanyi uwe competent...mtoa Mada utabisha sababu uko mwaka WA kwanza ila sisi tuliopita huko tunaelewa.... Mm ni mwana maabara lkn MD NI BORA KULIKO LAB..... MD yoyote yule anaweza carry out all tests za maabara, sababu wa nasoma... Pia Kuna baadhi ya sample maabara wewe mtu wa lab hufanyi collection ila MD Ana collect mfano CSF.... MD ANAWEZA AKAFANYA KILA KITU AMBACHO KIDA ZINGINE ZINGEFANYA
 
katika uhalisia am laboratory personnel but lab Ni bora Ile ya diploma.. Lab ya degree Ni ya uongo haikufanyi uwe competent...mtoa Mada utabisha sababu uko mwaka WA kwanza ila sisi tuliopita huko tunaelewa.... Mm ni mwana maabara lkn MD NI BORA KULIKO LAB..... MD yoyote yule anaweza carry out all tests za maabara, sababu wa nasoma... Pia Kuna baadhi ya sample maabara wewe mtu wa lab hufanyi collection ila MD Ana collect mfano CSF.... MD ANAWEZA AKAFANYA KILA KITU AMBACHO KIDA ZINGINE ZINGEFANYA
Dogo unaongea kitu gani hiki?

Kwamba Lab technologist awe competent kuliko scientist?

Kwamba MD amesomea kufanya Diagnostic test eg:- Stool concentration, urine filtration test, Buffy coat test, Peripheral smear, CBC test, sickling test, Serological tests with Cultivation methods, Diatoms for Drowning investigation etc

Dogo kapige shule usiishie Diploma ndo utajua kwamba hata hiyo CSF sample collection unaweza fanya hata wewe, ila hiyo Anatomy & physiology uliyosoma diploma usiilinganishe na ya Bachelor.

Shika adabu yako.
 
Dogo unaongea kitu gani hiki?

Kwamba Lab technologist awe competent kuliko scientist?

Kwamba MD amesomea kufanya Diagnostic test eg:- Stool concentration, urine filtration test, Buffy coat test, Peripheral smear, CBC test, sickling test, Serological tests with Cultivation methods, Diatoms for Drowning investigation etc

Dogo kapige shule usiishie Diploma ndo utajua kwamba hata hiyo CSF sample collection unaweza fanya hata wewe, ila hiyo Anatomy & physiology uliyosoma diploma usiilinganishe na ya Bachelor.

Shika adabu yako.
Niko na degree na Sasa Nipo kazini.... Umetaja test za kitoto
 
Niko na degree na Sasa Nipo kazini.... Umetaja test za kitoto
Nimetaja test hizo ili niendane na uelewa wako unaonekana ni mdogo sana.

Na kama unaona Culture ni Test ya kitoto basi hiyo Degree yako ni ya kununua cheti hukuingia darasani.

Sasa naomba unijibu ni chuo gani cha hao MD wako Wanafundishwa hizo test.
 
Nimetaja test hizo ili niendane na uelewa wako unaonekana ni mdogo sana.

Na kama unaona Culture ni Test ya kitoto basi hiyo Degree yako ni ya kununua cheti hukuingia darasani.

Sasa naomba unijibu ni chuo gani cha hao MD wako Wanafundishwa hizo

Nimetaja test hizo ili niendane na uelewa wako unaonekana ni mdogo sana.

Na kama unaona Culture ni Test ya kitoto basi hiyo Degree yako ni ya kununua cheti hukuingia darasani.

Sasa naomba unijibu ni chuo gani cha hao MD wako Wanafundishwa hizo test.
Culture test ya kitoto bro .. 7yrs in job now ...huwez niambia kitu kuhusu lab... department zote nimefanya kazi Tena ..nafanya Kaz zonal referral hospital 🏥.....wewe unataka niambia nn..takataka wewe
 
Culture test ya kitoto bro .. 7yrs in job now ...huwez niambia kitu kuhusu lab... department zote nimefanya kazi Tena ..nafanya Kaz zonal referral hospital [emoji541].....wewe unataka niambia nn..takataka wewe
Dogo wacha matusi, Jibu hoja uoneshe usomi wako huo.

Unaongea kitu cha akili ndogo ukipingwa kwa hoja unakasirika badala ya kujibu hoja.

Unaogelea Zonal Referral Hospital ndo uonekane unajua kuhusu Lab.

Ainisha hizo Lab Tests za kikubwa ambazo hao MD wanaokutetemesha hapo Zonal kwako na wao wanazifanya.
 
katika uhalisia am laboratory personnel but lab Ni bora Ile ya diploma.. Lab ya degree Ni ya uongo haikufanyi uwe competent...mtoa Mada utabisha sababu uko mwaka WA kwanza ila sisi tuliopita huko tunaelewa.... Mm ni mwana maabara lkn MD NI BORA KULIKO LAB..... MD yoyote yule anaweza carry out all tests za maabara, sababu wa nasoma... Pia Kuna baadhi ya sample maabara wewe mtu wa lab hufanyi collection ila MD Ana collect mfano CSF.... MD ANAWEZA AKAFANYA KILA KITU AMBACHO KIDA ZINGINE ZINGEFANYA
inasikitisha unazihilisha haunakitu kichwani

MD gani anayesomea test za maabara chuo gan ambapo wanafundishwa nikasome uko
 
kupitia conversation nimefaham Nani ni Lab Scientist na Nani ni Lab technologist.
 
Md wanasubiri majibu ya lab ili wakagawe dawa,bila majibu ya lab md hafanyi kazi.
Hizi taaluma hazitafuti bingwa Nani?

Kiuhalisia, MD anasoma almost katikati ya kila taaluma ya Afya halafu mkazo anaweka kwenye prescription na procedures.
 
Back
Top Bottom