Mimi nasema kwa sasa katika ya medical laboratory scientist na MD bora ni medical laboratory scientist

Tafuteni hela hizi Elim zenu mnazolala nazo njaa vyuoni na baada ya vyuo zitawaponza,
Naona kama Ualimu ni bora kuliko hizo Lab na MD issue ni kufungua moyo tu. Better mtu akuje jf kujadil HOW TO MAKE IT.
 
Kama kuna mtu hakuelewi hadi hapa basi kichwani atakuwa VACUUM
 
Sijakuelewa, weka clear.
Yaan ulitumia Diploma ya CO kusoma Bachelor nyingine nje ya afya au ulikua na Chet cha 4m6?
Ilikua Mwaka gani hiyo au ni Course gan hiyo ulichukua Maana nafaham zama hizi kada haziingiliani.
 
Yaan ulitumia Diploma ya CO kusoma Bachelor nyingine nje ya afya au ulikua na Chet cha 4m6?
Ilikua Mwaka gani hiyo au ni Course gan hiyo ulichukua Maana nafaham zama hizi kada haziingiliani.

1-Ukiwa na diploma automatic unatumia cheti cha form 4 (cha six hakipa applied)

2-Kuna kozi nyingi tu zinaingiliana (singumzii afya)

3- Refer huu mfano wa hii attachment, hiki ni EASTC, kwenye bachelor ya official statitics wanasoma wenye diploma ya statistics, ICT, procurement, hata afya pia ...na hii ni mwaka huu, so sio kweli kwamba zama hizi kada haziingiliani (sijazungumzia afya)
 

Attachments

  • Screenshot 2023-02-11 114825.jpg
    103.1 KB · Views: 18
Daaaah kwa aliyesoma koment ameelew vizuri sanaaa kuna watumishi wametoa hoja nzitooo nimepend na nimejifunza sanaa mimi kama mtoa mada!!!
All in all hizi sekta znategemean sanaa no one is above the other .....both are valuable ana usefull
NOTE...kwa wasio na kipato medical lab iko cheap kuliko MD so karibuni
Umesahau kwamba MD ndo anakuagiza au kukutWK
 
Sijakuelewa, weka clear.
Are you passionate about science and technology? Ready to make a difference in the world of laboratory sciences? Join us at the Dar es Salaam Institute of Technology, Mwanza Campus for our Bachelor of Technology (B. Tech) in Laboratory Sciences program!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…