Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
-
- #21
Nipe wazo braza. Mtaji tutachanga tukikwama tutamwomba mama atusaidie.You are so brave my dear blaza. Sasa tunafanyeje ili mimi na wewe tuwe matajiri, hata kama sio wakubwa Tanzania, basi tuwe wakubwa JF madogo wajifunze kutengeneza njuruku kupitia sisi?
Mbona sea cliff wameniuzia soda elfu 7,naenda kudai chenjiMwaka 2013 Agosti nilipewa kazi ya MBR (Marketing Representative Body) mkoa wa Lindi.
Kipindi hicho soda ya chupa ilikuwa ikiuzwa sh.600 kwa kampuni zote za COCA-COLA na SBC/ Pepsi almaarufu.
Kipindi hicho kampuni ya coca-cola ilikuwa na mauzo makubwa zaidi ya Pepsi
Nikapendekeza mapendekezo kadhaa ikiwemo soda ya chupa iuzwe sh.500 tu na nikatoa sababu. Wazo likafika HQ Dar es salaam likapita, kampuni ya SBC /Pepsi ikapunguza soda na kuanzia kuuza soda kwa sh . 500 tu huku coca-cola wakiendelea kuuza soda kwa sh.600 , hali ikawa ngumu kwao wakanyoosha mikono, wakabadili bei na kuuza soda ya chupa kwa sh.500 mpaka leo .
Majuzi ndio nimekumbuka nilishasahau kuhusu hili jambo.
Haya mnishukuru basi ili niwafanyie jambo jingine zuri.
Sasa siko huko kwenye masoda tafadhali.
Nani tena anawanyanyasa vijana?
Au mama mwenye nyumba!
Bongo ukinuna umependaMwaka 2013 Agosti nilipewa kazi ya MBR (Marketing Representative Body) mkoa wa Lindi.
Kipindi hicho soda ya chupa ilikuwa ikiuzwa sh.600 kwa kampuni zote za COCA-COLA na SBC/ Pepsi almaarufu.
Kipindi hicho kampuni ya coca-cola ilikuwa na mauzo makubwa zaidi ya Pepsi
Nikapendekeza mapendekezo kadhaa ikiwemo soda ya chupa iuzwe sh.500 tu na nikatoa sababu. Wazo likafika HQ Dar es salaam likapita, kampuni ya SBC /Pepsi ikapunguza soda na kuanzia kuuza soda kwa sh . 500 tu huku coca-cola wakiendelea kuuza soda kwa sh.600 , hali ikawa ngumu kwao wakanyoosha mikono, wakabadili bei na kuuza soda ya chupa kwa sh.500 mpaka leo .
Majuzi ndio nimekumbuka nilishasahau kuhusu hili jambo.
Haya mnishukuru basi ili niwafanyie jambo jingine zuri.
Sasa siko huko kwenye masoda tafadhali.
Mwaka 2013 Agosti nilipewa kazi ya MBR (Marketing Representative Body) mkoa wa Lindi.
Kipindi hicho soda ya chupa ilikuwa ikiuzwa sh.600 kwa kampuni zote za COCA-COLA na SBC/ Pepsi almaarufu.
Kipindi hicho kampuni ya coca-cola ilikuwa na mauzo makubwa zaidi ya Pepsi
Nikapendekeza mapendekezo kadhaa ikiwemo soda ya chupa iuzwe sh.500 tu na nikatoa sababu. Wazo likafika HQ Dar es salaam likapita, kampuni ya SBC /Pepsi ikapunguza soda na kuanzia kuuza soda kwa sh . 500 tu huku coca-cola wakiendelea kuuza soda kwa sh.600 , hali ikawa ngumu kwao wakanyoosha mikono, wakabadili bei na kuuza soda ya chupa kwa sh.500 mpaka leo .
Majuzi ndio nimekumbuka nilishasahau kuhusu hili jambo.
Haya mnishukuru basi ili niwafanyie jambo jingine zuri.
Sasa siko huko kwenye masoda tafadhali.
Umeacha kaz ya ulinzi??Asante
Nataka nikudangieAhahahaha.
Hamna chief
Mkuu kwa hichohicho unachokiona ni kidogo amini kuna watu utawavusha mahala na Mungu atakupa kufanya makubwa zaidi hapo baadaye.[emoji24][emoji24]wanaambiwa ni aibu kijana kutokuwa na ajira
Kwa kweli natamani niwatoe hata 10 tu ila ni % ndogo sana itakuwa kama nawakejeli
Tunashukuru mkuu.Mwaka 2013 Agosti nilipewa kazi ya MBR (Marketing Representative Body) mkoa wa Lindi.
Kipindi hicho soda ya chupa ilikuwa ikiuzwa sh.600 kwa kampuni zote za COCA-COLA na SBC/ Pepsi almaarufu.
Kipindi hicho kampuni ya coca-cola ilikuwa na mauzo makubwa zaidi ya Pepsi
Nikapendekeza mapendekezo kadhaa ikiwemo soda ya chupa iuzwe sh.500 tu na nikatoa sababu. Wazo likafika HQ Dar es salaam likapita, kampuni ya SBC /Pepsi ikapunguza soda na kuanzia kuuza soda kwa sh . 500 tu huku coca-cola wakiendelea kuuza soda kwa sh.600 , hali ikawa ngumu kwao wakanyoosha mikono, wakabadili bei na kuuza soda ya chupa kwa sh.500 mpaka leo .
Majuzi ndio nimekumbuka nilishasahau kuhusu hili jambo.
Haya mnishukuru basi ili niwafanyie jambo jingine zuri.
Sasa siko huko kwenye masoda tafadhali.
Mkuu kwa hichohicho unachokiona ni kidogo amini kuna watu utawavusha mahala na Mungu atakupa kufanya makubwa zaidi hapo baadaye.
Mungu wa Mbimguni akubariki mnoNashukuru kwa kunipa moyo na Mungu aniwezeshe nifanye hivyo
Ntaelekeza nguvu kuwasaidia baadhi especially yatima