Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitaachaje huku inaniweka mjini na life linasonga?Umeacha kaz ya ulinzi??
Ahahahaha. Uwe mchepuko takuhudumia kila kitu ila nina wivu naweza kumuua mtu akikusogeleaNataka nikudangie
Hangaya waziri mwingine huyu hapa.Mwaka 2013 Agosti nilipewa kazi ya MBR (Marketing Representative Body) mkoa wa Lindi.
Kipindi hicho soda ya chupa ilikuwa ikiuzwa sh. 600 kwa kampuni zote za COCA-COLA na SBC/ Pepsi almaarufu.
Kipindi hicho kampuni ya coca-cola ilikuwa na mauzo makubwa zaidi ya Pepsi nikapendekeza mapendekezo kadhaa ikiwemo soda ya chupa iuzwe sh. 500 tu na nikatoa sababu.
Wazo likafika HQ Dar es salaam likapita, kampuni ya SBC /Pepsi ikapunguza soda na kuanza kuuza soda kwa sh. 500 tu huku coca-cola wakiendelea kuuza soda kwa sh. 600, hali ikawa ngumu kwao wakanyoosha mikono, wakabadili bei na kuuza soda ya chupa kwa sh.500 mpaka leo.
Majuzi ndio nimekumbuka, nilishasahau kuhusu hili jambo.
Haya mnishukuru basi ili niwafanyie jambo jingine zuri.
Sasa siko huko kwenye masoda tafadhali.
Unavyomtetea Rais nikajua unaipenda sana CCM.Punguza na mfumuko wa Bei mkuu au Tuondolee hii takataka CCM
au shi 150 kama zamaniBado bei kubwa.Pigania ifike 250/=
save water drink beerKwanini sasa ninywe soda badala ya maji?
Kabisa.Maana uchumi umekua na fedha imepanda thamani.Ajitahidi "kuirekebua" bei hiyo!au shi 150 kama zamani
Panda basi uje unywe huku sh 500Soda hapa kwetu Ni 1000/-
bilashaka wewe ni nyumba ndogo yake JoboTusaidie pia Kupendekeza Job Ndugai arejeshwe kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Panda basi uje unywe huku sh 500
Hata Masasi pia soda adimu sanaMbn soda hakuna hasa kwa dar,au kwasababu mabint hawarudishi chupa