Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Asante kwa taarifa mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu wa Mbimguni akubariki mno
Na jitahidi uitimize hiyo nadhiri.
Anza NA Mimi mkuu,Mimi Ni yatima mtoto wa yatima..baba yangu alikuwa yatima akanitelekezaNashukuru kwa kunipa moyo na Mungu aniwezeshe nifanye hivyo
Ntaelekeza nguvu kuwasaidia baadhi especially yatima
🤣🤣🤣Tunakushukuru kwa/fanya mpango na upande wa bia..
Shukran Kwa mchango wako kwa wanyonge!Mwaka 2013 Agosti nilipewa kazi ya MBR (Marketing Representative Body) mkoa wa Lindi.
Kipindi hicho soda ya chupa ilikuwa ikiuzwa sh.600 kwa kampuni zote za COCA-COLA na SBC/ Pepsi almaarufu.
Kipindi hicho kampuni ya coca-cola ilikuwa na mauzo makubwa zaidi ya Pepsi
Nikapendekeza mapendekezo kadhaa ikiwemo soda ya chupa iuzwe sh.500 tu na nikatoa sababu. Wazo likafika HQ Dar es salaam likapita, kampuni ya SBC /Pepsi ikapunguza soda na kuanzia kuuza soda kwa sh . 500 tu huku coca-cola wakiendelea kuuza soda kwa sh.600 , hali ikawa ngumu kwao wakanyoosha mikono, wakabadili bei na kuuza soda ya chupa kwa sh.500 mpaka leo .
Majuzi ndio nimekumbuka nilishasahau kuhusu hili jambo.
Haya mnishukuru basi ili niwafanyie jambo jingine zuri.
Sasa siko huko kwenye masoda tafadhali.
MBR au MDR??Yaani kuandika tu hujui sijui ulimshawishi vipi Avinash Jha hadi akakuelewa na jamaa ake KavindraMwaka 2013 Agosti nilipewa kazi ya MBR (Marketing Representative Body) mkoa wa Lindi.
Kipindi hicho soda ya chupa ilikuwa ikiuzwa sh.600 kwa kampuni zote za COCA-COLA na SBC/ Pepsi almaarufu.
Kipindi hicho kampuni ya coca-cola ilikuwa na mauzo makubwa zaidi ya Pepsi
Nikapendekeza mapendekezo kadhaa ikiwemo soda ya chupa iuzwe sh.500 tu na nikatoa sababu. Wazo likafika HQ Dar es salaam likapita, kampuni ya SBC /Pepsi ikapunguza soda na kuanzia kuuza soda kwa sh . 500 tu huku coca-cola wakiendelea kuuza soda kwa sh.600 , hali ikawa ngumu kwao wakanyoosha mikono, wakabadili bei na kuuza soda ya chupa kwa sh.500 mpaka leo .
Majuzi ndio nimekumbuka nilishasahau kuhusu hili jambo.
Haya mnishukuru basi ili niwafanyie jambo jingine zuri.
Sasa siko huko kwenye masoda tafadhali.
Tusaidie pia Kupendekeza Job Ndugai arejeshwe kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mwaka 2013 Agosti nilipewa kazi ya MBR (Marketing Representative Body) mkoa wa Lindi.
Kipindi hicho soda ya chupa ilikuwa ikiuzwa sh.600 kwa kampuni zote za COCA-COLA na SBC/ Pepsi almaarufu.
Kipindi hicho kampuni ya coca-cola ilikuwa na mauzo makubwa zaidi ya Pepsi
Nikapendekeza mapendekezo kadhaa ikiwemo soda ya chupa iuzwe sh.500 tu na nikatoa sababu. Wazo likafika HQ Dar es salaam likapita, kampuni ya SBC /Pepsi ikapunguza soda na kuanzia kuuza soda kwa sh . 500 tu huku coca-cola wakiendelea kuuza soda kwa sh.600 , hali ikawa ngumu kwao wakanyoosha mikono, wakabadili bei na kuuza soda ya chupa kwa sh.500 mpaka leo .
Majuzi ndio nimekumbuka nilishasahau kuhusu hili jambo.
Haya mnishukuru basi ili niwafanyie jambo jingine zuri.
Sasa siko huko kwenye masoda tafadhali.
Team Magu mnateseka sana..., Mnatakiwa mkubali tu kwamba Zama za Mzilankende zimeisha, na kila zama na kitabu chake.Tusaidie pia Kupendekeza Job Ndugai arejeshwe kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bado bei kubwa.Pigania ifike 250/=
Mkuu hongera sana. Sasa Fanya mpango ukafanye kazi kwenye viwanda vya nondo na mabati aiseeMwaka 2013 Agosti nilipewa kazi ya MBR (Marketing Representative Body) mkoa wa Lindi.
Kipindi hicho soda ya chupa ilikuwa ikiuzwa sh.600 kwa kampuni zote za COCA-COLA na SBC/ Pepsi almaarufu.
Kipindi hicho kampuni ya coca-cola ilikuwa na mauzo makubwa zaidi ya Pepsi
Nikapendekeza mapendekezo kadhaa ikiwemo soda ya chupa iuzwe sh.500 tu na nikatoa sababu. Wazo likafika HQ Dar es salaam likapita, kampuni ya SBC /Pepsi ikapunguza soda na kuanzia kuuza soda kwa sh . 500 tu huku coca-cola wakiendelea kuuza soda kwa sh.600 , hali ikawa ngumu kwao wakanyoosha mikono, wakabadili bei na kuuza soda ya chupa kwa sh.500 mpaka leo .
Majuzi ndio nimekumbuka nilishasahau kuhusu hili jambo.
Haya mnishukuru basi ili niwafanyie jambo jingine zuri.
Sasa siko huko kwenye masoda tafadhali.
Mwaka 2013 Agosti nilipewa kazi ya MBR (Marketing Representative Body) mkoa wa Lindi.
Kipindi hicho soda ya chupa ilikuwa ikiuzwa sh. 600 kwa kampuni zote za COCA-COLA na SBC/ Pepsi almaarufu.
Kipindi hicho kampuni ya coca-cola ilikuwa na mauzo makubwa zaidi ya Pepsi
Nikapendekeza mapendekezo kadhaa ikiwemo soda ya chupa iuzwe sh. 500 tu na nikatoa sababu.
Wazo likafika HQ Dar es salaam likapita, kampuni ya SBC /Pepsi ikapunguza soda na kuanzia kuuza soda kwa sh. 500 tu huku coca-cola wakiendelea kuuza soda kwa sh. 600, hali ikawa ngumu kwao wakanyoosha mikono, wakabadili bei na kuuza soda ya chupa kwa sh.500 mpaka leo.
Majuzi ndio nimekumbuka nilishasahau kuhusu hili jambo.
Haya mnishukuru basi ili niwafanyie jambo jingine zuri.
Sasa siko huko kwenye masoda tafadhali.
Na 1,000/= nayo ni bei elekezi pia.Hao wanaouza na kununua kwa 1000 ni maamuzi yao ila bei elekezi ni sh.500
Hongera. Huo ndio muda Pepsi ilianza kuuza kuliko Coca na mpaka leo Pepsi inapendwa sana.Mwaka 2013 Agosti nilipewa kazi ya MBR (Marketing Representative Body) mkoa wa Lindi.
Kipindi hicho soda ya chupa ilikuwa ikiuzwa sh. 600 kwa kampuni zote za COCA-COLA na SBC/ Pepsi almaarufu.
Kipindi hicho kampuni ya coca-cola ilikuwa na mauzo makubwa zaidi ya Pepsi nikapendekeza mapendekezo kadhaa ikiwemo soda ya chupa iuzwe sh. 500 tu na nikatoa sababu.
Wazo likafika HQ Dar es salaam likapita, kampuni ya SBC /Pepsi ikapunguza soda na kuanza kuuza soda kwa sh. 500 tu huku coca-cola wakiendelea kuuza soda kwa sh. 600, hali ikawa ngumu kwao wakanyoosha mikono, wakabadili bei na kuuza soda ya chupa kwa sh.500 mpaka leo.
Majuzi ndio nimekumbuka, nilishasahau kuhusu hili jambo.
Haya mnishukuru basi ili niwafanyie jambo jingine zuri.
Sasa siko huko kwenye masoda tafadhali.
Ili akamalizie nini akae nje huko nae achambwe kwenye mimbari ya bungeTusaidie pia Kupendekeza Job Ndugai arejeshwe kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.