Mimi ndiye niliyefanya soda iuzwe shilingi 500 badala ya shilingi 600

Mimi ndiye niliyefanya soda iuzwe shilingi 500 badala ya shilingi 600

Mwaka 2013 Agosti nilipewa kazi ya MBR (Marketing Representative Body) mkoa wa Lindi.

Kipindi hicho soda ya chupa ilikuwa ikiuzwa sh. 600 kwa kampuni zote za COCA-COLA na SBC/ Pepsi almaarufu.

Kipindi hicho kampuni ya coca-cola ilikuwa na mauzo makubwa zaidi ya Pepsi nikapendekeza mapendekezo kadhaa ikiwemo soda ya chupa iuzwe sh. 500 tu na nikatoa sababu.

Wazo likafika HQ Dar es salaam likapita, kampuni ya SBC /Pepsi ikapunguza soda na kuanza kuuza soda kwa sh. 500 tu huku coca-cola wakiendelea kuuza soda kwa sh. 600, hali ikawa ngumu kwao wakanyoosha mikono, wakabadili bei na kuuza soda ya chupa kwa sh.500 mpaka leo.

Majuzi ndio nimekumbuka, nilishasahau kuhusu hili jambo.

Haya mnishukuru basi ili niwafanyie jambo jingine zuri.

Sasa siko huko kwenye masoda tafadhali.
Punguza bei ya mafuta ya petrol iwe 1,500Tzs badala ya 2501Tzs
 
Mwaka 2013 Agosti nilipewa kazi ya MBR (Marketing Representative Body) mkoa wa Lindi.

Kipindi hicho soda ya chupa ilikuwa ikiuzwa sh. 600 kwa kampuni zote za COCA-COLA na SBC/ Pepsi almaarufu.

Kipindi hicho kampuni ya coca-cola ilikuwa na mauzo makubwa zaidi ya Pepsi nikapendekeza mapendekezo kadhaa ikiwemo soda ya chupa iuzwe sh. 500 tu na nikatoa sababu.

Wazo likafika HQ Dar es salaam likapita, kampuni ya SBC /Pepsi ikapunguza soda na kuanza kuuza soda kwa sh. 500 tu huku coca-cola wakiendelea kuuza soda kwa sh. 600, hali ikawa ngumu kwao wakanyoosha mikono, wakabadili bei na kuuza soda ya chupa kwa sh.500 mpaka leo.

Majuzi ndio nimekumbuka, nilishasahau kuhusu hili jambo.

Haya mnishukuru basi ili niwafanyie jambo jingine zuri.

Sasa siko huko kwenye masoda tafadhali.
Tupatie uthibitisho ambao ni vivid kuhusu suala hili, hauwezi kupata pongezi za kirahisi rahisi tu, huu ni mwezi January, sawa kijana?
 
Mwaka 2013 Agosti nilipewa kazi ya MBR (Marketing Representative Body) mkoa wa Lindi.

Kipindi hicho soda ya chupa ilikuwa ikiuzwa sh. 600 kwa kampuni zote za COCA-COLA na SBC/ Pepsi almaarufu.

Kipindi hicho kampuni ya coca-cola ilikuwa na mauzo makubwa zaidi ya Pepsi nikapendekeza mapendekezo kadhaa ikiwemo soda ya chupa iuzwe sh. 500 tu na nikatoa sababu.

Wazo likafika HQ Dar es salaam likapita, kampuni ya SBC /Pepsi ikapunguza soda na kuanza kuuza soda kwa sh. 500 tu huku coca-cola wakiendelea kuuza soda kwa sh. 600, hali ikawa ngumu kwao wakanyoosha mikono, wakabadili bei na kuuza soda ya chupa kwa sh.500 mpaka leo.

Majuzi ndio nimekumbuka, nilishasahau kuhusu hili jambo.

Haya mnishukuru basi ili niwafanyie jambo jingine zuri.

Sasa siko huko kwenye masoda tafadhali.
Hongera sana

Are you a victim of a frequent power outage at your office, factory, workshop, or home like the rest of us ?

If the answer is YES! then you must be looking for a reliable, budget-friendly and pollution-free alternative solution to a frequent power outage problem.

Meet the team of professional and experienced mechanical engineers who are well-recognised for fixing, installing, supplying and repairing all kinds of power-supplying generators within and outside the country.

Reach out to them for the quality and unprecedented generators services.
:
+255713302846

+255693296809

Premises location: Tabata Sheli.

4core power and Machine Company Limited
 
Back
Top Bottom