Mimi ndiye niliyefanya soda iuzwe shilingi 500 badala ya shilingi 600

Kumbe wewe ndio ulishusha bei ya sumu?Soda ilipaswa kuwa ghali ili watu wasizinunue kabisa!Kama ni wewe nakutumia risala za Lawama!
 
Umeacha kaz ya ulinzi??
Nitaachaje huku inaniweka mjini na life linasonga?
Swali lako ni sawa na kumuuliza mhasibu umeshaacha kazi uhasibu?
Ulinzi sio alternative way ya kuingiza income, it's a career that pay
 
Hongera sana kwa hilo, umeonyesha uwezo wako, ila sasa kuna naoni ya wadau kuwa upambane ishuke hadi 150, mi naona 150 haijakaa kibiashara, pambana bei iwe 100.
 
Hangaya waziri mwingine huyu hapa.
 
Kwa kuwa umeamua kujisifia ngoja nami nijisifie kidogo.
Mimi ndiye niliyependekeza bando za simu zisiwe zinaisha,ndiyo mitandao ya simu kama Tigo na Voda wakaja na kitu kinaitwa HALICHACHI bando.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…