Mimi ndoa ilinipotezea muda wangu, iliniacha na Maumivu na kilema cha Maisha yangu

Mimi ndoa ilinipotezea muda wangu, iliniacha na Maumivu na kilema cha Maisha yangu

Ulipoenda kununua chapati ungesepa !ungemuuliza yule mama wanapouza kitimoto ili ujipake mafuta au ubebe mfupa mdogo!hayo majini wangeshindwa KAZI kabisaa!!
Sema shida hawezi kujua yule mzee amemwekea mtego gani,.
Kama aliweza kujua baba yake anaumwa bila kuambiwa
 
Sema shida hawezi kujua yule mzee amemwekea mtego gani,.
Kama aliweza kujua baba yake anaumwa bila kuambiwa
Kuna yale mawazo unawaza kusmea si ajabu nikiongea hapa anasikia au ata nikiwaza uwenda anajua uoga unazido
 
Mmmh ! Sijamalizia simulizi pole sana..machache ya kujifunza..sijui ni seme wakarimu au wema ni wakatili sana kama simulizi inavomuelezea Sarehe..unapofika ugenini mtazamo wa kwanza wa mazingira yale kwasiku ya kwanza unakupa jibu kuwa umeingia sehemu salama au laa kulingana na simulizi..wazazi tunapotaka kuozesha tunapaswa kuijua familia ya upande wa pili kihistoria sio kuwahi kuchukua mahari tu..unapoingia kwenye himaya ya mtukatili fuata maelekezo yake kama unaona huwezi kupambana naye ila ukipata upenyo wa kusepa usisikie vitisho vyake sepa...tuheshimu na kusikiliza viungo vya mwili kwani vina kazi kubwa katika mwili...mwisho Saida kwasasa upo wapi? mengine taendelea kadri ninavofatilia mkasa.
 
Back
Top Bottom