Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Nimeshindwa kusoma 🙌Chai Bora
Mnisaidie summary 😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshindwa kusoma 🙌Chai Bora
Ahhaha usinifanyie ivyo mkwehatukujui haijalishi unatokea ukoo gani nchi hii unaweza tokea ukoo wa matajiri tunajua tunakuozesha mke kumbe wewe uneambulia wa kutoa kafara
Ungeanza mwanzo ingekuwa vyepes umechelewa kufikaNimeshindwa kusoma 🙌
Mnisaidie summary 😃
katafute kwengine mwanangu nishamsundisha aachane na ww la sivo nampa radhiAhhaha usinifanyie ivyo mkwe
Huko mwanzo ndo tatizoUngeanza mwanzo ingekuwa vyepes umechelewa kufika
Nilipoona mtu kà toka rukwa à kaeñda sumbà wanga nikajua hii ni çhai yà mahindi mabiçhiSukari imezidi au majani?
😂😂 kumwendea kwa mganga bei gani?katafute kwengine mwanangu nishamsundisha aachane na ww la sivo nampa radhi
Pole jikaze soma bila preshaHuko mwanzo ndo tatizo
Yaani ni parefu mkuu
Nawaza hapa namalizaje😃😃
mimi mama yake ni mganga sasa sui utatushia nn😂😂 kumwendea kwa mganga bei gani?
Mbinu hii ifafanue vzr mkuuUlipoenda kununua chapati ungesepa !ungemuuliza yule mama wanapouza kitimoto ili ujipake mafuta au ubebe mfupa mdogo!hayo majini wangeshindwa KAZI kabisaa!!
Ahahha kumbe ngoja tuonemimi mama yake ni mganga sasa sui utatushia nn
mtoto mdogo ubwabwa wa shingo haujakutoka unataka utushiniane misuli na walioonajua kabla yako?Ahahha kumbe ngoja tuone
Ahhaah kasome nyingine ukomtoto mdogo ubwabwa wa shingo haujakutoka unataka utushiniane misuli na walioonajua kabla yako?
ndio napambana na sanga na huyo desmundAhhaah kasome nyingine uko
Ahahah bi mkubwa upoi 😂😂 kimya kimyandio napambana na sanga na huyo desmund
mwizi anakimbizwa kimya kimya ukipiga kelele utampotezaAhahah bi mkubwa upoi 😂😂 kimya kimya
Duh ase we kibokomwizi anakimbizwa kimya kimya ukipiga kelele utampoteza
lakini sio ya wachawi, sasaunaendelea au kutupigisha storyDuh ase we kiboko
Ahaha naendelea ww tulialakini sio ya wachawi, sasaunaendelea au kutupigisha story