Mimi ni Mkristo mlokole, nimeanza kukosa Imani na ukristo nahisi Uislam ndiyo dini ya kweli

Mimi ni Mkristo mlokole, nimeanza kukosa Imani na ukristo nahisi Uislam ndiyo dini ya kweli

Kokote uendeka uzushi ni uleule hakuna cha siku ya mwisho wala mwanzo ni kujiliwaza tu kama binadamu.
 
Yani ni maigizo kweli kweli mkuu.
Kuna muda mambo yanayoendelea kanisani ni bora walevi bar.
Kwaya zimejaa uzinzi, wachungaji na manabii nao pia, mavazi na uimbaji utadhani uko fiesta.
Mahubiri siku hizi 99% ni toa ndugu, na yanamfaidisha mchungaji anakula bata dubai na kuishi kama elon musk.
Ukiwauliza, majibu ni Mungu anaangalia moyo.
Wakati imeandikwa kilicho ndani mwako kitajidhihirisha nje.
Hao akina geodavie wanajiita manabii kila sku kuna nabii mpya.
Ukweli ni kwamba siku hizi watu hawaendi kanisani kuabudu bali wanataka kuwa part of a community tu.
Na wengi wa viongozi ni ukimwi tu
 
Mkakati ni ule ule haujawahi badilika,

Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

Marko 16:15-16
Aliyewahi kuona hiyo hukumu ni nani?
 
Pole sana mkuu!

I know how you feel!

Had that experience before!

Tatizo kuu uliwekeza imani KWA watumishi wa MUNGU ambao HUWA Wana disapoint sana hasa nyakati hizi!!

Kinachohubiriwa SASA ni mafanikio ya majumba magari mapesa n.k

Hata huko KWA waislam ni hayo hayo utayakuta!!coz nikiwa mdogo niliwahi shuhudia vita vya kusaka uimam maikitini hengo zilitaka kutumia kukatana shingo watu wakazuia!!

Nikiwa mkubwa nimeshuhudia Kurudi nyuma KWA mtu makini niliemkubali sana anaitwa solomon kisa Askofu alimpa uchungaji mstaafu wa tanesco akamuacha solomon ambae walianza nae kazi ikiwa changa kabisa yaani kwenye kanisa la nyasi!!!

Mtafute Mungu binafsi hasa nyumbani kwako tu na porini !makanisani nenda kutembea tu kama mtalii yaani leo hapa kesho pale kama mtu anaetaka experience uzoefu tofauti!!


Ikikupendeza uamke saa tisa usiku wa manane umuite Mungu akupe muongozo!saa nane,saba,tisa ,kumi,kumi na MOJA alfajiri Mungu atakusikia Mkuu!!!

Naamini utapata MSAADA Mkuu!!
Hapo umenena, naamini uniuia kufanya kitu kitakuwa pasipo kwenda kwenye hayo majumba.
 
Kwahiyo mke zaidi ya mmoja kuna athari gani?!
Kwamba bora mke mmoja 'na vimada?
Mzee ukitaka battle hatutafika mimi naandika fact siandiki nisiyoyajua screenshot uliyoweka hapo sijui inahusiana nini na ulichoni-quote.

Tanzania hii wengi wetu ni maskini wa kutupwa ni wangapi wenye uwezo wa kulisha wake wanne na watoto kumi na mbili?(assuming kila mke atakuwa na watoto watatu) akawapa malazi ya uhakika na elimu bora ya kueleweka?mnajifanya kufuata dini kuoa wake wengi huku mkiishia kuwapa wake zenu mitaji ya kuuza vitumbua chapatti na maandazi vibarazani kwenye nyumba za kupanga ili kulisha watoto mnaowazalisha mwisho taifa linazidi kuwa la kipopoma.

Inabidi akili zenu zirudi normal ili mjue kwamba nguvu za kiume ni zaidi ya kusimamisha uume na aliyekudanganya wenye wake wengi hawana vimada nani?usijifiche kwenye kichaka cha dini kufikiri upo smart kuliko wengine.
 
Allah ameweka wazi

Koran 9;23. Enyi mlio amini!(waislamu) Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri (wasio waislamu)kuliko Imani (uislam)....
Sawa! Na vilevile ikaweka wazi kwenye hizi aya surat Luqman. Nikakuuliza; unaelewaje? Unafafanuaje?


14. Na tumemuusia mtu kwa wazazi wake wawili. Mama yake ameichukua mimba yake kwa udhaifu juu ya udhaifu, na kumwachisha ziwa baada ya miaka miwili. (Tumemuusia): Nishukuru Mimi na wazazi wako. Ni kwangu Mimi ndiyo marudio. 14


15. Na pindi wakikushikilia kunishirikisha na ambayo huna ilimu nayo, basi usiwat'ii. Lakini kaa nao kwa wema duniani, nawe ishike njia ya anaye elekea kwangu. Kisha marejeo yenu ni kwangu Mimi, na Mimi nitakuambieni mliyo kuwa mkiyatenda
 
Sawa! Na vilevile ikaweka wazi kwenye hizi aya surat Luqman. Nikakuuliza; unaelewaje? Unafafanuaje?


14. Na tumemuusia mtu kwa wazazi wake wawili. Mama yake ameichukua mimba yake kwa udhaifu juu ya udhaifu, na kumwachisha ziwa baada ya miaka miwili. (Tumemuusia): Nishukuru Mimi na wazazi wako. Ni kwangu Mimi ndiyo marudio. 14


15. Na pindi wakikushikilia kunishirikisha na ambayo huna ilimu nayo, basi usiwat'ii. Lakini kaa nao kwa wema duniani, nawe ishike njia ya anaye elekea kwangu. Kisha marejeo yenu ni kwangu Mimi, na Mimi nitakuambieni mliyo kuwa mkiyatenda
Sasa hapo wewe huelewi nini wakati kila kitu kimeshabainishwa apo
 
Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.

Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.

Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!

Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!

Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
Pole sana. Inaonekana ulikuwepo tu kwenye hayo makanisa kama kwa mkumbo fulani, kama muumini wa dini ya kilokole, lakini hujawahi kuupata wokovu wa Bwana wetu Yesu Kristo. Yaani, Yesu hajawahi kuingia ndani yako, wala wewe haujawahi kuwa ndani yake.
Mtu akiisha kuijua kweli na kumpokea Bwana ndani ya moyo hawezi kuwaza hayo unayoyawaza.
Wokovu sio dini, wala sio kuwa muumini wa dhehebu au dini fulani. Wokovu ni Kristo kuwa ndani yako na wewe kuwa ndani yake.
Nikushauri tu, utafute wokovu, mtafute mwokozi, mtafute Yesu Kristo.
Mtu akihitaji msaada zaidi juu ya kuufahamu wokovu, karibu sana inbox.
 
Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.

Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.

Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!

Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!

Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
...Badili. Kila la Heri. Mungu ni yule yule TU. Kanuni za Kumuabudu ndio zinatofautiana...!
 
Inamaana shia hawaamini Muhammad na Allah wapo sawa

Soma
Koran 33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
Kawaulize hao mashia unowatetea mtume wao ni yupi? Na Qur-an yao ni ipi?
 
kwamba shia hawaamini katika Allah na muhammad mtume wake!!!!
Ndio Mashia hawamuamini Muhammad wao mtume wao ni mwingine kabisaa

Wanamkubali Allan ila Muhammad hawamkubali na wanamzushia mengi tu

Ukitaka Elimu kaa chini Usome kwa wenye Elimu Sahihi

Niishie hapa
 
Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.

Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.

Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!

Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!

Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
Unataka kusema hata kwenye Kanisa lako la miaka hiyo ya 80 nalo limebadilika?
 
Ndio Mashia hawamuamini Muhammad wao mtume wao ni mwingine kabisaa

Wanamkubali Allan ila Muhammad hawamkubali na wanamzushia mengi tu

Ukitaka Elimu kaa chini Usome kwa wenye Elimu Sahihi

Niishie hapa
Unao udhibitisho??
 
Mzee ukitaka battle hatutafika mimi naandika fact siandiki nisiyoyajua screenshot uliyoweka hapo sijui inahusiana nini na ulichoni-quote.

Tanzania hii wengi wetu ni maskini wa kutupwa ni wangapi wenye uwezo wa kulisha wake wanne na watoto kumi na mbili?(assuming kila mke atakuwa na watoto watatu) akawapa malazi ya uhakika na elimu bora ya kueleweka?mnajifanya kufuata dini kuoa wake wengi huku mkiishia kuwapa wake zenu mitaji ya kuuza vitumbua chapatti na maandazi vibarazani kwenye nyumba za kupanga ili kulisha watoto mnaowazalisha mwisho taifa linazidi kuwa la kipopoma.

Inabidi akili zenu zirudi normal ili mjue kwamba nguvu za kiume ni zaidi ya kusimamisha uume na aliyekudanganya wenye wake wengi hawana vimada nani?usijifiche kwenye kichaka cha dini kufikiri upo smart kuliko wengine.
Mimi kwetu Mzee kaoa wake watatu watoto 12 tulohai mpka sasa na sote tumesoma wengine bado wanasoma vzr tu

Maisha ni mipango tu ukishazoea uzinzi ndoa hutoitaka

Tena afadhali ya Mzee wangu wapo wengine zaidi yake na watoto wanasoma private schools
 
Mimi kwetu Mzee kaoa wake watatu watoto 12 tulohai mpka sasa na sote tumesoma wengine bado wanasoma vzr tu

Maisha ni mipango tu ukishazoea uzinzi ndoa hutoitaka

Tena afadhali ya Mzee wangu wapo wengine zaidi yake na watoto wanasoma private schools
Majority Tanzania hii wangapi wana uwezo huo?na siyo kila mtu mwenye ndoa moja ni mzinzi nimemwambia mwenzako hapo juu wapo wenye wake zaidi ya mmoja and still ni wazinzi.

Usizungumzie mtu mmoja mmoja hata hao wenye mke mmoja kuna ambao nanga zinapaa watoto wanalala njaa elimu hawapewi etc maisha mabovu kama wengine tu.
 
Back
Top Bottom