G.Man
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 1,040
- 2,157
1. Kwa kipindi chote cha Ukristo wako ni wazi kabisa hukujua ulichokuwa unakiabudu.
2. Mungu ni Roho nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
3. Ibada yako ime base kwenye sheria zaidi. Wakati msingi wa Ukristo ni neema.
4. Mwisho, ni muhimu kutambua ibada ni ya mtu mmoja, na inahusu mahusiano yako binafsi na Mungu, sio kikundi.
2. Mungu ni Roho nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
3. Ibada yako ime base kwenye sheria zaidi. Wakati msingi wa Ukristo ni neema.
4. Mwisho, ni muhimu kutambua ibada ni ya mtu mmoja, na inahusu mahusiano yako binafsi na Mungu, sio kikundi.