Ngiama makanda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,552
- 2,741
Mwenyezimungu wa waislamu ni tofauti na waungu wa dini nyingineMungu ni mmoja,
Ukristo,
Uyahudi,
Uislam na dini zingine,ni njia tu ya kumfikia Mungu mwenye haki.
Yaani umeshuka kwenye Golden deer umeamua kupanda Majinjah kifupi safari yako utafika tu
Kwani kuna tofauti kati ya ukristo na uislamu mwanangu?Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki
Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.
Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!
Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.
Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake
Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu
Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri
Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Kwahiyo unaamini kuwa ikifika usiku ni kwamba jua linaingia kwenye matope? Au ukifa shahidi utapewa madem 72 bikra kwenye bustani yenye mito ya maziwa na asali?🤣...Naheshimu imani yako lakini 100%Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki
Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.
Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!
Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.
Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake
Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu
Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri
Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
ndege JOHN ebu nitajie sheria 3 ambazo kwa wewe binafs umeona ni ngumu mno kutekelezekaUislam umeumbwa kwenye sheria
Ni kazi sana kufuata sheria zote ndo maana ni ngumu kuitekeleza ila Quran Yao nzuri ukipata ya kiswahili inamrudishia Mola mamlaka kama tu neno la Mungu katika biblia
Ukristo ni Imani kukombolewa kwa neema umepewa nafasi ujiongeze
ZOTE NZURI
ME NI MKRISTI MLUTHERI ILA NINAJUA KUTAWADHA NA KUSUJUDU NA NISHAINGIA MASJID ZAIDI YA MARA 20 KUSWALI JAPO MANENO YALE YA KIARABU SIYAJUI NA SIPENDI KUYAJUA
ZOTE NZURI..
KWENYE BIBLE NAPENDA ZAIDI KUSOMA NYARAKA ZA PAULO NA YOHANA NA UFUNUO KULIKO AGANO LA KALE NA INJILI
Na hiki ndio kimemvutia tu hakuna kingine! Kaona ahadi ya mabikra haipo ukristoni, huko wanaambiwa hakutakuwa na kuoa Wala kuolewa wakati yeye ni mzinzi nguli kaona ohoo!Subiria mabikira 70 wenye macho ka vikombe
Nilianza kuwa na shaka miaka mingi lakini nilikuja kuhakikisha kabisa kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo mwaka 1995.Hivi wewe lini uligundua kuwa Mungu hayupo
Uongo huo, wakristo hawana mungu mmoja, alafu majinjah ni ukristoMungu ni mmoja,
Ukristo,
Uyahudi,
Uislam na dini zingine,ni njia tu ya kumfikia Mungu mwenye haki.
Yaani umeshuka kwenye Golden deer umeamua kupanda Majinjah kifupi safari yako utafika tu
mtume alimuoa akiwa na miaka 9 kisha akamuacha mpk alipobalehe kuwa mwanamke kamili ndio akamfanya mke wake kamiliDini ya Haki inayoruhusu Mzee wa miaka 56 kumuingilia kimwili mtoto wa miaka 9 kama mke halali wa ndoa,hii ni zaidi ya unyama hata jogoo hafanyi hivyo
Sasa hapa umefata nini, hapa ni Wanaona Mtafuta mungu wa kweli na si weweNilianza kuwa na shaka miaka mingi lakini nilikuja kuhakikisha kabisa kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo mwaka 1995.
Bora waende kule huku wanazinguaWatauana kwa maneno
Hapa ni public forum, kila mada ni ya kujadiliwa na watu wote.Sasa hapa umefata nini, hapa ni Wanaona Mtafuta mungu wa kweli na si wewe
Pole sana, kwa sababu ulizaliwa kwenye Ukristu na kukulia kwenye imani ya Kikristu lakini hujui Maandiko ya Biblia yanafundisha nini. Yote unayoyaona na kuyasikia nyakati hizi kuhusiana na Manabii wa Uongo, Makristo wa Uongo, Wachungaji ambao mungu wao ni tumbo, yote hayo yameandikwa kwenye Biblia. Hivyo matukio unayoyana sasa hayafanyi Ukristo kuwa dini ya uongo, badala yake yanadhihirisha kuwa Biblia ni kitabu chenye ukweli, na wanaoamini yaliyoandikwa katika Biblia wanaifuata njia ya kweli.Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu
Ni hatua nzuri sana, kila mtu aamini anachokiamini.Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki
Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.
Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!
Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.
Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake
Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu
Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri
Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Well saidHapa ni public forum, kila mada ni ya kujadiliwa na watu wote.
Si kanisani wala msikitini hapa.