Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

kumbe wewe unabishana, mimi sibishani nakueleza ukweli, allah wa waislam kaingiza unyayo kwenye moto huko

Yesu kaingia mzima motoni si unyayo

maxresdefault.jpg
 
Ukristo ndio njia ndugu, Uislam ulianzishwa na shetani ili kupingani na Jesus. Hiko kigezo cha lugha ya kuanzia kulia kuja kushota ni utumwa tu tena ni upinzani dhidi ya ukweli

Yesu haujui ukristo hata harufu yake haujui
 
Wewe umesema ame m made tuambie amewezaje?
Sijasema Mimi ni biblia ndiyo iliyoandila Eti Yesu alikuwa na kijana aliyeweka chupi begani kule vichakani vya bustani ya Gesthemane saa Za alfajiri. Labda kule ndiyo kiliko kiwanda chake
 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
😀😀labda km uislam una Mungu mwingine.

Wewe hata matatizo yakitokea kwa familia yako sishangai ukiitelekeza
 
Jamani, tusitukanane kwa Imani za kuletewa! Kwanini kuvuruga utulivu wa wenzako? India wanaabudu miti, mito, wanawali, ng'ombe, wanadamu, mawe nk mbona hawalumbani? Kwanza ndiyo wanaendekea! Lakini miafrika kila siku inauwana kwa ajili ya dini! Uliongea na Mungu akakwambia yeye dini yake ni ipi? Waafrika acheni kuonekana kama nyie ndiyo wajinga viongozi hapa duniani!
 
Unajifanya umejizima data na hujui mashetani yanapotoka

Allah anasema
Koran 19.83 Kwani huoni ya kwamba tumewatuma mashet'ani kwa makafiri wawachochee kwa uchochezi?

Yataisha siku Allah akiacha kuyatuma
Sawa endelea kutukana yaani wewe uzini uwibe utapeli watu udanganya watu alafu eti mungu wenu yesu anasema anakufa na kuwondoka na dhambi zenu wote mmmh soma vizuri Bible yako mzee uwone jinsi gani inavyokudanganya mungu gani ametoka sehemu ambayo ata wewe umetoka mungu gani anakwenda chooni mungu gani anakula mungu gani ametailiwa soma vizuri Bible
 
Huna elimu ya kutosha ya ulimwengu!

Hakuna dini ya haki Wala ya nini!

Dini zote lengo kuu ni kutawala wanyonge kifikra kupitia serikali za ulimwengu!ndio maaana dini na serikali ni mapacha kabisa!
 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Hongera!
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Ni kweli kabisa
downloadfile-1.png
 
Sema wewe ni mtu wa dini wala sio Mkristo na hujawai kumkiri Kristo kama Bwana na Mwokozi ,ila jua hakuna anaekuja Kwa Baba pasipo mimi( Kristo) endelea na hizo sarakasi mkuu
 
Sema wewe ni mtu wa dini wala sio Mkristo na hujawai kumkiri Kristo kama Bwana na Mwokozi ,ila jua hakuna anaekuja Kwa Baba pasipo mimi( Kristo) endelea na hizo sarakasi mkuu
Huyo ni shekh ila anaruka sarakasi ili abebe wafuasi. Kiukweli Uislamu haujawi kunivutia kwasababu
1. Allah anatumia lugha moja tu ya kiarabu
2. Mohamad alioa binti wa miaka 9
3. Mohamad alikuwa hajui kusoma na kuandika. Hiyo Quran alijua imeandikwa nini?
4. Dini kufungamana na majini
5. Kuua na kuchoma za makanisa ili kutetea uislamu
6. Kuwa na mahakama
7. Kujiona wao ni bora kuliko wengine
8. Waislamu na waarabu hawana akili ya kutengeneza bidhaa au vitu. Mifumo yote duniani mpaka bidhaa 99.9% wametengeneza wao wanaowaitwa makafiri. Waislamu duniani wametengeneza nini? Ujinga tu
9. Uislamu ni dini ambayo haijitoshelezi mafundisho, ukitaka uhubiri kuhusu uislamu au kuutangaza uislamu lazima uukashifu ukristo
10. Ujinga huu Hapana
downloadfile-1.png
 
Back
Top Bottom