Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nae unapenda ligi kama nini. Sijui ni wapi ambapo hatuelewani...inawezekana humu amekaribishwa karibuni lakini ni mzoefu wa kutumia mitandao mingine kwa hiyo hoja yake ameitoa kwa kutumia uzoefu wa mitandao mingine na kama alichosema sio sahihi ulitakiwa umpinge kwa hoja na sio kumpinga kwa sababu ya ugeni..yes ni mgeni Jf lakini social media zingine anatumia. I'm outKwahiyo hoja yake ya kusema kuwa mwenzie hawezi kupata mume bora humu ndio unayoitetea wakati yeye kaombwa kukaribishwa humu sidhani hata kama wiki imeisha na humu kuna member zaidi ya milioni 3.
Nawewe sijui wa wapi ambae unaona mtu kufananisha mitandao mingine na jf ni sawa labda yeye kazoea fb na badoo anadhani najf ni hivyohivyo.We nae unapenda ligi kama nini. Sijui ni wapi ambapo hatuelewani...inawezekana humu amekaribishwa karibuni lakini ni mzoefu wa kutumia mitandao mingine kwa hiyo hoja yake ameitoa kwa kutumia uzoefu wa mitandao mingine na kama alichosema sio sahihi ulitakiwa umpinge kwa hoja na sio kumpinga kwa sababu ya ugeni..yes ni mgeni Jf lakini social media zingine anatumia. I'm out
Then you should have told him that Jf is different from the social media you know. Hoja yangu ulikuwa unaielewa ila ulikuwa unajizungusha tuNawewe sijui wa wapi ambae unaona mtu kufananisha mitandao mingine na jf ni sawa labda yeye kazoea fb na badoo anadhani najf ni hivyohivyo.
Naona unanimalizia charge tu
Him?!..she was specific kuwa mleta uzi hawezi kupata mume bora humu may be hukusoma alichoandika vzr ukaanza kubishana tuThen you should have told him that Jf is different from the social media you know. Hoja yangu ulikuwa unaielewa ila ulikuwa unajizungusha tu
Ujipange kuupunguza au kuuongeza?Huu umri nao ni kikwazo ngoja nijipange
Mchangiaji aliona Jf ni social media kama zingine tu ndio maana katoa komment kulingana na uzoefu alionao kwenye mitandao mingine. Jambo ambalo mimi pia nakubaliana nae...Jf ni mtandao tu kama mitandao mingine kwa hiyo nadhani tofauti kati ya sisi na wewe ni mtazamo kuhusu JfHim?!..she was specific kuwa mleta uzi hawezi kupata mume bora humu may be hukusoma alichoandika vzr ukaanza kubishana tu
I saw the comment kabla hujaidelete!Comment deleted
njoo pm tuyajenge harakaMimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26.najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae MUNGU akipenda awe baba wa watoto.
Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.
Sifa zake.
Dini .....mkristo
Miaka..... Kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua,
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
MSAFI.,mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
SIFA ZANGU.
miaka 26,mfanyabiashara,elimu diploma,
Wanaume wa humu ndio wale uwaonao makanisani, Misikitini, mtaani, makazini n.k, hivyo wanaume wa humu hawajatoka sayari nyingineHeee. Humu sijui kama utapata mume bora. Mitandaoni siyo mahala pakupata mume ILa kila la kheri