Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume

Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume

Amesema mitandaoni sio sehemu ya kupata mume. Na amesema humu kwa sababu hum pia ni mtandaoni
Ebu rudi kamsome tena ndio uelewe vizuri, yeye kazungumzia humu Jf lakini wewe unamlisha maneno ya kuwa alizungumzia mitandao yote jambo ambalo si sahihi
 
Ebu rudi kamsome tena ndio uelewe vizuri, yeye kazungumzia humu Jf lakini wewe unamlisha maneno ya kuwa alizungumzia mitandao yote jambo ambalo si sahihi
Amesema mitandaoni sio sehemu sahihi ya kupata mwenza. Kwa hiyo Jf sio mtandao?
 
Mchangiaji aliona Jf ni social media kama zingine tu ndio maana katoa komment kulingana na uzoefu alionao kwenye mitandao mingine. Jambo ambalo mimi pia nakubaliana nae...Jf ni mtandao tu kama mitandao mingine kwa hiyo nadhani tofauti kati ya sisi na wewe ni mtazamo kuhusu Jf
Kwani watu waliojiunga mitandaoni wanatoka wapi hasa hadi watofautishwe na walioko mtaani?
 
Kwani watu waliojiunga mitandaoni wanatoka wapi hasa hadi watofautishwe walioko mtaani na humu?
Soma uelewe kijana..Mimi sipo kwenye usahihi ama upotoshaji wa mchangiaji. Ninachomtetea ni kule kumuona hana haki ya kusema alichosema kwa sababu eti yeye ni mgeni Jf...hapa ni mgeni ila mitandao mingine anatumia kwani Jf ina tofauti gani na mitandao mingine?
 
Soma uelewe kijana..Mimi sipo kwenye usahihi ama upotoshaji wa mchangiaji. Ninachomtetea ni kule kumuona hana haki ya kusema alichosema kwa sababu eti yeye ni mgeni Jf...hapa ni mgeni ila mitandao mingine anatumia kwani Jf ina tofauti gani na mitandao mingine?
Mimi hoja yangu ilikuwa ni kupinga ile dhana yake kwamba Jf siyo pahala sahihi pa kutafutia mwenza, na hoja yangu ni kwamba akina John, Abdallah, Christina, Zuhura n.k uwaonao mtaani ndio hawa hawa akina Khantwe, mme wa mtu n.k, hivyo basi hoja yake inakosa nguvu ya hoja
 
Mimi hoja yangu ilikuwa ni kupinga ile dhana yake kwamba Jf siyo pahala sahihi pa kutafutia mwenza, na hoja yangu ni kwamba akina John, Abdallah, Christina, Zuhura n.k uwaonao mtaani ndio hawa hawa akina Khantwe, mme wa mtu n.k, hivyo basi hoja yake inakosa nguvu ya hoja
Basi umekurupuka hoja yangu mimi haikuwa huko. Mimi nilikuwa nawajibu wanaohoji uhalali wa mchangiaji kutoa kile alichotoa wakati amejiunga Jf juzi. Kama mtu anaamini kwamba mtandaoni anaweza kupata mwenza atatafuta popote iwe Jf badoo WhatsApp and the like; ila kama mtu anaamini mtandaoni hawezi kupata mwenza then Jf is no exception.
 
Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26.najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae MUNGU akipenda awe baba wa watoto.
Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.
Sifa zake.
Dini .....mkristo
Miaka..... Kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua,
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
MSAFI.,mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
SIFA ZANGU.
miaka 26,mfanyabiashara,elimu diploma,
Mbona hujaweka na pic yako ili tukuone kabisaaaa wenye vigezo, na sisi tujitathimin kabla ya kuja
 
Kweli Maisha popote nilikua sijui kama kuna sehemu inaitwa PM Tanzania hii hii

Kila la kheri dadaangu [emoji4]
 
Vp bado hujapata mtu mwenye vigezo ulivyotaja ? Njoo pm nikusafishie nyota yako hii wiki haitaisha utafanikiwa tu
 
Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26.najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae MUNGU akipenda awe baba wa watoto.
Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.
Sifa zake.
Dini .....mkristo
Miaka..... Kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua,
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
MSAFI.,mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
SIFA ZANGU.
miaka 26,mfanyabiashara,elimu diploma,
Miaka 26 iliyopunguzwa. Inamaana unazidi hapo.....
 
Back
Top Bottom