mme wa mtu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 438
- 667
Ebu rudi kamsome tena ndio uelewe vizuri, yeye kazungumzia humu Jf lakini wewe unamlisha maneno ya kuwa alizungumzia mitandao yote jambo ambalo si sahihiAmesema mitandaoni sio sehemu ya kupata mume. Na amesema humu kwa sababu hum pia ni mtandaoni
Amesema mitandaoni sio sehemu sahihi ya kupata mwenza. Kwa hiyo Jf sio mtandao?Ebu rudi kamsome tena ndio uelewe vizuri, yeye kazungumzia humu Jf lakini wewe unamlisha maneno ya kuwa alizungumzia mitandao yote jambo ambalo si sahihi
Kwani watu waliojiunga mitandaoni wanatoka wapi hasa hadi watofautishwe na walioko mtaani?Mchangiaji aliona Jf ni social media kama zingine tu ndio maana katoa komment kulingana na uzoefu alionao kwenye mitandao mingine. Jambo ambalo mimi pia nakubaliana nae...Jf ni mtandao tu kama mitandao mingine kwa hiyo nadhani tofauti kati ya sisi na wewe ni mtazamo kuhusu Jf
Jf ni mtandaoAmesema mitandaoni sio sehemu sahihi ya kupata mwenza. Kwa hiyo Jf sio mtandao?
Soma uelewe kijana..Mimi sipo kwenye usahihi ama upotoshaji wa mchangiaji. Ninachomtetea ni kule kumuona hana haki ya kusema alichosema kwa sababu eti yeye ni mgeni Jf...hapa ni mgeni ila mitandao mingine anatumia kwani Jf ina tofauti gani na mitandao mingine?Kwani watu waliojiunga mitandaoni wanatoka wapi hasa hadi watofautishwe walioko mtaani na humu?
KmyaDm rafiki
Hoja yako wewe iko wapi sasa?Jf ni mtandao
Mimi hoja yangu ilikuwa ni kupinga ile dhana yake kwamba Jf siyo pahala sahihi pa kutafutia mwenza, na hoja yangu ni kwamba akina John, Abdallah, Christina, Zuhura n.k uwaonao mtaani ndio hawa hawa akina Khantwe, mme wa mtu n.k, hivyo basi hoja yake inakosa nguvu ya hojaSoma uelewe kijana..Mimi sipo kwenye usahihi ama upotoshaji wa mchangiaji. Ninachomtetea ni kule kumuona hana haki ya kusema alichosema kwa sababu eti yeye ni mgeni Jf...hapa ni mgeni ila mitandao mingine anatumia kwani Jf ina tofauti gani na mitandao mingine?
Basi umekurupuka hoja yangu mimi haikuwa huko. Mimi nilikuwa nawajibu wanaohoji uhalali wa mchangiaji kutoa kile alichotoa wakati amejiunga Jf juzi. Kama mtu anaamini kwamba mtandaoni anaweza kupata mwenza atatafuta popote iwe Jf badoo WhatsApp and the like; ila kama mtu anaamini mtandaoni hawezi kupata mwenza then Jf is no exception.Mimi hoja yangu ilikuwa ni kupinga ile dhana yake kwamba Jf siyo pahala sahihi pa kutafutia mwenza, na hoja yangu ni kwamba akina John, Abdallah, Christina, Zuhura n.k uwaonao mtaani ndio hawa hawa akina Khantwe, mme wa mtu n.k, hivyo basi hoja yake inakosa nguvu ya hoja
Khantwe nimekukumbuka sanaAmezungumzia mitandao kwa ujumla wake na sio Jf peke yake
Mimi pia my friend. Uko poa?Khantwe nimekukumbuka sana
Mbona hujaweka na pic yako ili tukuone kabisaaaa wenye vigezo, na sisi tujitathimin kabla ya kujaMimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26.najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae MUNGU akipenda awe baba wa watoto.
Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.
Sifa zake.
Dini .....mkristo
Miaka..... Kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua,
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
MSAFI.,mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
SIFA ZANGU.
miaka 26,mfanyabiashara,elimu diploma,
Aende sokoni,Heee. Humu sijui kama utapata mume bora. Mitandaoni siyo mahala pakupata mume ILa kila la kheri
Dm nakutumiaMbona hujaweka na pic yako ili tukuone kabisaaaa wenye vigezo, na sisi tujitathimin kabla ya kuja
PM nakutumiaDm nakutumia
Miaka 26 iliyopunguzwa. Inamaana unazidi hapo.....Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26.najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae MUNGU akipenda awe baba wa watoto.
Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.
Sifa zake.
Dini .....mkristo
Miaka..... Kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua,
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
MSAFI.,mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
SIFA ZANGU.
miaka 26,mfanyabiashara,elimu diploma,