Mimi ni mtaalamu wa kilimo, natafuta mtu mwenye mtaji (fedha) ili tuwekeze kwenye kilimo mkoani Katavi

Mimi ni mtaalamu wa kilimo, natafuta mtu mwenye mtaji (fedha) ili tuwekeze kwenye kilimo mkoani Katavi

Hahaha mkuu, comment kama hii niliitegemea kwa asilimia mia maana ninajua changamoto ya uaminifu inatukabili watanzania si vijana, si wazee!!
Nikutoe tu hofu mkuu na nipende kukujulisha kuwa vijana waaminifu bado tupo nchini na tuna kila sababu ya kutembea kifua mbele maana "uaminifu" umekua "Lulu" zama hizi.
Hv unajua kuna dawa za kuongeza nguvu za kiume huko Dar inaitwa Elite Power.?
 
Uaminifu uko kiasi gani? Kuna mwanasheria tunaweza kuandaa mkataba?
Mtoa mada fanya kutafuta mwanasheria , huyu ma'am uwezo wa kupatner na wewe anao.

Niliwahi andika proposal ya startup ambayo haipo na kwenda kuiombea mtaji .. nkaulizwa mnae ofisi .. hapana ..unae legal documents .. hapana ... Na nilisema return on 15 percent equity 😂😂😂 damn me .. ningekuwa nimejipanga Tungekula mena ya nchi na waliotaka kunishika mkono.

Tuwe na utaratibu wa kufanya kazi kisheria hii itatufanya tuaminike zaidi.
Pia utaratibu wa kuweka kumbukumbu za mauzo , projects ambazo tushafanya .. ofisi ... Zina msaada Sana kutukwamua vijana
 
4) Kwa upande wa kilimo biashara bei za mazao huku ziko chini sana hivyo kutoa fursa ya kununua mazao ya huku kwa bei ndogo na kusafirisha kwenye masoko ya walaji wakubwa mikoa mingine ili kutengeneza faida maradufu.
Nipe list ya aina za cereals, legumes na pulses zinazo patikana mkoa huo; kama utaweza kujua kiasi cha tani zinazoweza kupatikana; msimu wa kuanza kupanda kuvuna pamoja na bei zake itakuwa bora.

Come May nitakupa ishu
 
Mtoa mada fanya kutafuta mwanasheria , huyu ma'am uwezo wa kupatner na wewe anao.

Niliwahi andika proposal ya startup ambayo haipo na kwenda kuiombea mtaji .. nkaulizwa mnae ofisi .. hapana ..unae legal documents .. hapana ... Na nilisema return on 15 percent equity [emoji23][emoji23][emoji23] damn me .. ningekuwa nimejipanga Tungekula mena ya nchi na waliotaka kunishika mkono.

Tuwe na utaratibu wa kufanya kazi kisheria hii itatufanya tuaminike zaidi.
Pia utaratibu wa kuweka kumbukumbu za mauzo , projects ambazo tushafanya .. ofisi ... Zina msaada Sana kutukwamua vijana
Kweli kabisa kijana mwenzangu....sisi wasomi ni lazima tufanye vitu a bit smart kuliko wasio wasomi ili Elimu yetu ionekane ina "maana".

Mkuu, kama hutojali naomba mawasiliano yako PM ili tuwe tunabadilishana mawazo mawili matatu maana kutokana na ulichokiandika hapa kwenye post yangu kinaonesha kabisa you have a gentle heart na sio mchoyo wa fursa/ information.
 
Hv unajua kuna dawa za kuongeza nguvu za kiume huko Dar inaitwa Elite Power.?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787].....Daah!!

Binafsi sikuchagua kutumia username hiyo kwa kumaanisha hiyo dawa unayoizungumzia wewe ila nimeamua kujiita "Elite power" katika muktadha wa kuamini mimi kama msomi (Elite, katika muktadha huu) ninao uwezo (power) na wajibu wa kubadilisha taswira ya jamii katika muelekeo chanya.
 
Nipe list ya aina za cereals, legumes na pulses zinazo patikana mkoa huo; kama utaweza kujua kiasi cha tani zinazoweza kupatikana; msimu wa kuanza kupanda kuvuna pamoja na bei zake itakuwa bora.

Come May nitakupa ishu
Mpunga, mahindi, alizeti, ufuta maharagwe ,na karanga zinalimwa kwa wingi sana pia.

Karanga, mahindi na alizeti ndio mazao ambayo baadhi ya wakulima wameanza kuvuna since last month.
 
Mpunga, mahindi, alizeti, ufuta maharagwe ,na karanga zinalimwa kwa wingi sana pia.

Karanga, mahindi na alizeti ndio mazao ambayo baadhi ya wakulima wameanza kuvunza since last month.
Wakulima ni wengi sana huku (almost 85% ya wakazi wa huku) wanajishughulisha na kilimo kwahiyo upatikanaji wa mazao ni wa uhakika yaani itahitaji tu utayari wako wa kutenga muda wa kuwazungukia wakulima kipindi cha mavuno.
 
Hahaha mkuu, comment kama hii niliitegemea kwa asilimia mia maana ninajua changamoto ya uaminifu inatukabili watanzania si vijana, si wazee!!
Nikutoe tu hofu mkuu na nipende kukujulisha kuwa vijana waaminifu bado tupo nchini na tuna kila sababu ya kutembea kifua mbele maana "uaminifu" umekua "Lulu" zama hizi.
Hakuna mtu wa kukuamini huko kukukodisha shamba kwa makubaliano kuwa utamlipa ukishavuna na kuuza? Au shamba unalo?
 
Back
Top Bottom