Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
Sound huyoNashindwa kuelewa unakuje na. Vitendea kaxi vyote hivyo ukose pesa ya kuvienfesha; it's a joke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sound huyoNashindwa kuelewa unakuje na. Vitendea kaxi vyote hivyo ukose pesa ya kuvienfesha; it's a joke
Nashindwa kuelewa unataka nini Kama umesomea kilimo unataka utumia elimu ya kilimo kupata pesa au shida yako upate pesa kutoka kwa watu kisha ukimbie?Nashindwa kuelewa unakuje na. Vitendea kaxi vyote hivyo ukose pesa ya kuvienfesha; it's a joke
Nadhani una quote mtu ambae sio. Wapi umeona nimesema nimesomea kilimo na nimeomba pesa?Nashindwa kuelewa unataka nini Kama umesomea kilimo unataka utumia elimu ya kilimo kupata pesa au shida yako upate pesa kutoka kwa watu kisha ukimbie?
Mimi sijasomea kilimo sijui hata A,B ya kilimo lakini vifaa vya kilimo vipo nilivileta hapa nchini kwa lengo la kuviuza kisha nikabadili mawazo.
Unaoneka kama unataka upewe pesa mkononi ili ununua vifaa au unatakaje?
Kasema alivileta kwa ajili ya biashara akaghairi kuviuza. Hapo kidogo namwelewaSound huyo
Anhaa! Hapo sawaKasema alivileta kwa ajili ya biashara akaghairi kuviuza. Hapo kidogo namwelewa