Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Sidhani Kama Kuna hela nyepesi ivyo kwa watu. Komaa upate kibarua ili upate huo mtaji halafu uwekeze mwenyewe mkuu.
Nina Imani ukiwa kwenye kilimo halafu ukipata shavu hizi ngo za un mfano ama hata serikalini unasepa fasta unamuacha muwekezaji mwenyewe hajarudisha hela yake ama mazao hata hujayavuna
Nina Imani ukiwa kwenye kilimo halafu ukipata shavu hizi ngo za un mfano ama hata serikalini unasepa fasta unamuacha muwekezaji mwenyewe hajarudisha hela yake ama mazao hata hujayavuna