ELITE POWER
Member
- May 19, 2021
- 42
- 58
- Thread starter
- #21
Wa kukukodishia shamba wote wanataka cash mkuu ili nao waingize pesa hio kwenye kutatua shida zao zingine zinazowakabili.Hakuna mtu wa kukuamini huko kukukodisha shamba kwa makubaliano kuwa utamlipa ukishavuna na kuuza? Au shamba unalo?