Mimi ni mtaalamu wa kilimo, natafuta mtu mwenye mtaji (fedha) ili tuwekeze kwenye kilimo mkoani Katavi

Hakuna mtu wa kukuamini huko kukukodisha shamba kwa makubaliano kuwa utamlipa ukishavuna na kuuza? Au shamba unalo?
Wa kukukodishia shamba wote wanataka cash mkuu ili nao waingize pesa hio kwenye kutatua shida zao zingine zinazowakabili.
 
Hapa utakuwa umelima zao gani?
Kea magesabu haya niamni kuna shida sehemu kama pesa ya dhalula na mengineyo inazidi ya uwekezaji kea asilimia 220%

But still toa nipe namba yako
 
Hapa utakuwa umelima zao gani?
Kea magesabu haya niamni kuna shida sehemu kama pesa ya dhalula na mengineyo inazidi ya uwekezaji kea asilimia 220%

But still toa nipe namba yako
Umesrma roughly 650K au ulimaanisha nini hapo?
 
Umesrma roughly 650K au ulimaanisha nini hapo?
Hiyo 650,000/= ni jumla ya Gharama za mafuta yatakayotumika kwenye mashine ya kumwagilia pamoja na services ndogo ndogo za kila mara za mashine kama vile kubadilisha oil na filter zake n.k

Maana kwa wastani water pump inatumia lita 5 mpaka 7 za petroli kwa kila siku unapo mwagilia mimea.
 
Gunia la karanga likimenywa linatoa kilo 25-30. Kwa hiyo bei wakati wa mavuno inakuwa juu; ukijumlisha Nauli hamna kitu hapo, bora mtu anunulie Dar
Hiyo bei niliyokuwekea ni ya kununulia kwa sokoni sio bei ya karanga kutoka kwa wakulima wazalishaji.
 
Mkuu unatafuta mwekezaji,Weka facts and figures,

Unatka uwekezaji wa kiasi gani kwa ajili ya nini na projected return ni nini na faida inagawanywaje.na kwa muda gani.Ukiweka Hesabu katika namba ni rahisi kueleka na kuvutia mtu
 
Hizi 300gm ni mbegu za zao gani? Hivi uliwahi kufanya kilimo cha umwagiliaji physically. Bado nina maswali nijibu kwanza hilo la mbegu na hilo la kulima
 
Hizi 300gm ni mbegu za zao gani? Hivi uliwahi kufanya kilimo cha umwagiliaji physically. Bado nina maswali nijibu kwanza hilo la mbegu na hilo la kulima
Mbegu za tikiti.... uzoefu ninao wa kutosha katika shughuli hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…