Mbowe hana uwezo huo, tunachotaka ni rais mwanaume mwenye uwezo mkubwa kama walivyokuwa hayati Nyerere na JPMSisi wanaccm wooote mkoa wa Unguja Magharibi tutampa kura zetu zooooote mh Dr Freeman Mbowe awe Rais wa Tanzania mwaka 2025, watake wasitake Mbowe lazima awe Rais.
Hawa binadamu huwa wanajifanya kama upepo, yaani wakiwa kwenye nyumba za ibada wanaJIFANYA watiifu kwa Mungu, wakitoka wanapingana na maandiko.Naungana Na wewe kweli hili,Women are very and dependant in terms of sensitive decision making
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.
Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.
Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.
Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
Ni mawazo yangu, naomba sana Moderator usiyapige rungu.
Marekani ni taifa la kujifunza kutokana na makosa ya kihistoria yaliyowahi kutokea huko nyuma.Nikweli, Bi Hillary alioneshwa chamtemakuni
Mataga utatagaMbowe hana uwezo huo, tunachotaka ni rais mwanaume mwenye uwezo mkubwa kama walivyokuwa hayati Nyerere na JPM
Ongeza na monita wa darasa, kiranja mkuu msaidizi, mwalimu wa sayansi kimu, mwalimu wa kusoma na kuandika darasa la kwanza na la pili, mwalimu wa chekechea, matroni, msimamizi wa kamati ya mapambo, mwalimu mkuu (head teacher), msimamizi wa kwaya, mwalimu mkuu wa kindergaten, msimamizi wa bustani ya maua na mboga mboga, msimamizi wa wasusi, wapaka rangi kucha, wabandika kucha, kope na nyusi nk. nk. nk.......Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.
Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.
Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.
Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
Baadhi ya wanawake hawana sifa za kua viongozi ,kuna namna flani huwa wana kwamisha mamboMwanamke uwa anapenda Mwanaume mwenye hela tu,akiwa bosi atapenda handsome boy,akishadata na penzi anauza ramani ya vita.
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]nchi inaendeshwa kimamiloo sana.
Taliban wakisikia rais wetu ni demu watatuona makenge sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nchi inaendeshwa kimamiloo sana.
Taliban wakisikia rais wetu ni demu watatuona makenge sana.
Wazo zuri sana ila hao viongozi wanaume wasiwe wamezaliwa na wanawake, maana wakiwa wamezaliwa na wanawake pia wataambukizwa udhaifu wa kike.Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.
Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.
Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.
Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.