Mimi ni muumini wa mfumo Dume

Mimi ni muumini wa mfumo Dume

Naungana Na wewe kweli hili,Women are very and dependant in terms of sensitive decision making
Hawa binadamu huwa wanajifanya kama upepo, yaani wakiwa kwenye nyumba za ibada wanaJIFANYA watiifu kwa Mungu, wakitoka wanapingana na maandiko.

Mungu alifahamu muenendo mzima wa huyu kiumbe utakuwaje ndiyo maana akampa maelekezo ambayo leo hayataki, anakuja na haki sawa.

👉🏾Twende taratibu tupate elimu hapa
 
Na huo ndo ukweli wenyewe.
Yesu mwenyewe wanafunzi wake kumi na wawili, hakukuwa na mwanamke pale alishajua Kuna ubabaishaji kwa viumbe hao
 
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.

Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.

Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.

Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.

Ni mawazo yangu, naomba sana Moderator usiyapige rungu.


Kuna walifikiria watu weusi hatuwezi uongozi! Fikra ambazo ni za ki historia hazina mshiko kwenye dunia hii ya teknologia. German wamepaishwa sana na kiongozi mwanamke
 
Kuna walifikiria watu weusi hatuwezi uongozi! Fikra ambazo ni za ki historia hazina mshiko kwenye dunia hii ya teknologia. German wamepaishwa sana na kiongozi mwanamke
Wewe, labda kama hujui historia ya Ujerumani
 
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.

Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.

Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.

Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
Ongeza na monita wa darasa, kiranja mkuu msaidizi, mwalimu wa sayansi kimu, mwalimu wa kusoma na kuandika darasa la kwanza na la pili, mwalimu wa chekechea, matroni, msimamizi wa kamati ya mapambo, mwalimu mkuu (head teacher), msimamizi wa kwaya, mwalimu mkuu wa kindergaten, msimamizi wa bustani ya maua na mboga mboga, msimamizi wa wasusi, wapaka rangi kucha, wabandika kucha, kope na nyusi nk. nk. nk.......
 
Mwanamke abaki kuwa mwanamke tu. Ngazi ya taifa haitaki mwanamke aishike, that's it. Upumbavu uliofanywa ni kumuweka mwanamke kuwa VP...ona sasa!
 
Mwanamke abaki kuwa mwanamke tu. Ngazi ya taifa haitaki mwanamke aishike, that's it. Upumbavu uliofanywa ni kumuweka mwanamke kuwa VP...ona sasa!
Sema hatukujua ila hii iwe fundisho, madem hawatakiwi kushika urais
 
Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.

Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana chini ya kiongozi mwanamke, haipo narudia haipo,ndoja nirudie kwa herufi kubwa HAIPO.

Simaanishi kuwa wanawake wasiongoze, ila wanaweza kupewa nafasi Kama za ukuu wa shule kwenye shule za wasichana, uongozi wa wizara kama wizara ya afya, jinsia, wanawake, wazee na watoto nk.

Mimi naamini tunapaswa kupata rais mwanaume 2025 na makamo wake awe mwanaume.
Wazo zuri sana ila hao viongozi wanaume wasiwe wamezaliwa na wanawake, maana wakiwa wamezaliwa na wanawake pia wataambukizwa udhaifu wa kike.
Cha msingi kuanza kuwaandaa wanaume ngangari ili waweze kuwekewa ujauzito ili watoe pyua breed , yaani mbegu dume bora bila unajisi wa wanawake.
What a pathetic excuse for a man you are!
 
Back
Top Bottom