Inawezekana mtumishi wa serikali akalipwa miezi mitatu bila kuthibitishwa kazini?Jaribu NMB.
Hawa naona wanatoa mikopo kwa Watumishi wa serikali hata wale ambao bado hawajathibitishwa kazini.
Muhimu uwe na barua ya uteuzi ( letter of appointment ), kitambulisho cha kazi ( kama huna inabidi uende kwa Afisa Utumishi akuandikie barua ya utambulisho ) pamoja na salary slip zako za miezi mitatu nyuma.
Kuthibitishwa kazini ni baada ya mwaka mmoja.Inawezekana mtumishi wa serikali akalipwa miezi mitatu bila kuthibitishwa kazini?
Ukiitwa kazini, unathibitishwa baada ya mwaka mmoja km sijakosea! Utapokea mshahara km kawaida Ila muda huo unaitwa Probation timeInawezekana mtumishi wa serikali akalipwa miezi mitatu bila kuthibitishwa kazini?
Zipo Saccos nzuri na nyingine za kiboya tu.Nakupa ushauri
Umeajiriwa una muda gani? Angalia Saccos yenye sifa nzuri katika eneo ulilopo, Kisha jiunge huko (hakikisha ni Saccos nzuri yenye sifa zote za kifedha) riba zao huwa ni nafuu sana na hutojutia.
Banks nyingi bado Wana riba kubwa unaweza kopa mil.5 na ukalipa milion 8/9 huko.
Ushauri huu ni mbaya mleta uzi usijaribuNakupa ushauri
Umeajiriwa una muda gani? Angalia Saccos yenye sifa nzuri katika eneo ulilopo, Kisha jiunge huko (hakikisha ni Saccos nzuri yenye sifa zote za kifedha) riba zao huwa ni nafuu sana na hutojutia.
Banks nyingi bado Wana riba kubwa unaweza kopa mil.5 na ukalipa milion 8/9 huko.
Mikopo siyo mibaya ila fuata kanuni:Mkuu unakopa iliiweje. Ishi kulingana na kipato chako. Jikaze ufanye savings, uwe na subra. Usitumie pesa ambayo hujai-earn
Asipo fuata huu ushauri imekula kwake..Mikopo siyo mibaya ila fuata kanuni:
1. Usikope kwenye vitaasisi vyenye riba ya zaidi ya asilimia 2 kwa mwezi.
2. Usikope mkopo wa muda mrefu sana. Kama unahitaji mkopo wa muda mrefu sana, usizidishe miaka mine (4).
3. Usikope pesa kama huna uhakika wa kitu unachoenda kufanya.
4. Usikope kununua liabilities ( Vitu vya ndani, pikipiki, gari, radio, kulipa madeni mengine )
5. Linda sana Check No. Yako. epuka sana. Kutaoa Access ya Check No yako kukatwa katwa pesa na vitaasisi uchwara.
Walimu wanna matatizo sana. Yaani sijui wametupiwa jini, hata sielewi.Asipo fuata huu ushauri imekula kwake..
#MaendeleoHayanaChama
Utakuwa uliwahi kupitia same experience sio kwa kudadavua hukoπππWalimu wanna matatizo sana. Yaani sijui wametupiwa jini, hata sielewi.
Juzi hapa nilikuwa na mwalimu fulani, amekopa 8.5M NMB kwenda kununua gari.
Gari lenyewe hajanunua na pesa sijui kapeleka wapi. Mwenyewe anadai ana biashara, lakini muda wote kafulia.
Juzi tu hapa, nimemkuta tena anataka kukopa CRDB kwa kile kiasi kilichobaki.
Kumbuka ,huyu mwalimu hata kuthibitishwa kazini bado, na hata Bodi ya Mikopo hawajaanza kumkata.
Ina maana kwa kiasi cha pesa anachpata sasa hivi, akikikopea CRDB na Loan Board wakianza kumkata atakiwa hapati mshahara π
Na kama atapata, basi itakuwa labdaTsh 50,000
Hapana. Nimebahatika tu kuwa na experience na haya Mambo.Utakuwa uliwahi kupitia same experience sio kwa kudadavua hukoπππ
Au ni yeye mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1732]Utakuwa uliwahi kupitia same experience sio kwa kudadavua huko[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kuelewa kwa sasa maana akili yake yooote inawaza apate milioni kadhaa kwa ajili ya kununua gari.Mpaka uchomoke hapo hakuna rangi utaacha kuona. Sikutishi ila utaleta mrejesho baada ya 2yearsView attachment 2118005