Jifunafu
Senior Member
- May 25, 2020
- 182
- 693
Ndugu wanajamvi, natumaini mu wazima katika harakati za hapa na pale za kusaka mkate.
MIMI ni muajiriwa mpya kada ya ualimu msingi. Naombeni kusaidiwa abc kuhusu ni vipi nitapata MKOPO wa kifedha na ni wapi wanatoa kwa riba nafuu. Pia ni nyaraka zipi zinaitajika kupata MKOPO huo, maana sijapata barua ya kuthibitishwa kazini.
Asanteni na pia majibu yenu ni muhimu.
MIMI ni muajiriwa mpya kada ya ualimu msingi. Naombeni kusaidiwa abc kuhusu ni vipi nitapata MKOPO wa kifedha na ni wapi wanatoa kwa riba nafuu. Pia ni nyaraka zipi zinaitajika kupata MKOPO huo, maana sijapata barua ya kuthibitishwa kazini.
Asanteni na pia majibu yenu ni muhimu.