Naungana na wewe. Huwezi kutoboa bila mikopo. Matajiri wote wanakopa. Cha muhimu ambacho tunapaswa kujua ni matumizi ya huo mkopo. Hapo ndio somo haswaMkuu mbona umeongea point mbofumbofu sana leo? Huwa nakuaminia sana lkn leo umeniangusha. Kukopa kupo, hata akina mo wanakopa. Cha msingi mshauli mtu namna ya kuutumia mkopo.
Sio kila mtu ana mali ambazo anaweza kuuza akapata hela nzuri.
Eti kula kula hahahahsh[emoji2][emoji2]Sentensi ya mwisho inaonyesha wazi wewe ni kula kulala kwa shemeji yako tena graduate usiyekuwa na ajira ya kueleweka mzee wa vizinga.
#MaendeleoHayanaChama
Kuna tofauti gani ya kukopa kwenye hizo taasisi na benki mkuu fafanua kidogo kwa faida zaidiKakope kote! Ila ukijiroga tu kuingia kwenye 18 za Bayport, Platinum credit, Finca, Faidika, au taasisi yoyote ile ya kifedha! Badala ya benki kama crdb, nmb, nbc, tpb, nk basi ujiandae kuishi kama shetani.
Ufupi tu ni kwamba riba za kwenye mabenk zina unafuu ukilinganisha na riba za kwenye hizo taasisi za kifedha.Kuna tofauti gani ya kukopa kwenye hizo taasisi na benki mkuu fafanua kidogo kwa faida zaidi