Mimi ni mwanabaiolojia na huu hapa ndio uthibitisho wa uhalali wa Mungu(2)

Mimi ni mwanabaiolojia na huu hapa ndio uthibitisho wa uhalali wa Mungu(2)

Kuna mtindo wa kwenye social media watu kutosoma maelezo marefu sana. Hivyo basi nimeamua kuileta sehemu tu ya ile sehemu ya pili, enjoy;
View attachment 2174800
....................kukazia pointi kadhaa na kufunga;
Ndugu zangu, haidhuru mtu au mfumo kutokujua mwisho au mwanzo wake ili kuleta maana – ‘sense’. Maana inakuja pale kipande cha mfumo husika utakapokuwa unatenda kulingana na muelekeo sahihi ukiuchukulia mfumo mzima juu kabisa hadi chini kabisa. Sense ni ule tu uelekeo sahihi basi. Hata kama labda moyo unafahamu tu kwamba ‘ulimwengu mzima’ ni wenyewe tu na ukajijali wenyewe tu hautakuwa na maana tena mwilini. Lakini ukawa na akili ya kuelewa kwamba kuna mfumo mzima wa mishipa na kazi yake ni kuisambazia hiyo mishipa damu basi tayari utakuwa na maana na utaishi. Utaishi vizuri hata kama haujawahi kuiona mivitu migumu kama mifupa [damu yenyewe inatengenezwa huko]. Moyo ukasema wenyewe unajua kuna nyama tu na nyama ndiyo kila kitu kilichopo. Utaendelea kuishi huku ukilindwa na mifupa hiyohiyo uliyoikataa kwamba haipo na haina maana yoyote. Lakini ukitaka [ufe huo moyo] ni pale utakapofanya kitu ambacho ni non-sense yaani kinyume na ukweli wake. Mfano ukaamua kunyonya damu badala ya kuisukuma. Au kuji mwambafai na kujipa umuhimu wa kwanza badala ya kusambaza damu wenyewe ndiyo uitumie damu kukua na kuitumia zaidi. Kujitukuza kujipa umuhimu wa kwanza wewe badala ya vyote sio jambo zuri. Maana viungo vipo kwa ajili ya viungo wenzake na kwa ajili ya lengo la jumla la kuwepo kwa huo mfumo. Kwa hiyo tukirejea kwa mwili tutasema moyo ni kwa ajili ya mapafu, miguu, mikono, ubongo, moyo na mwiliwote na mtu mzima kwa ujumla. Kwa hiyo moyo unaweza kusema kuwa lile wazo la mtu ndiyo mungu. Mungu wake anaonekana kuwa tofauti kabisa na asili ya moyo wenyewe ulivyo kwanza haonekani wala hashikiki.

Mfano wa seli pia ni hivyohivyo mitochondria ipo kwa ajili ya ribosome, nucleus, membrane, mitochondria yenyewe na seli nzima kwa ujumla wake. Mitochondria akiongeza ujuzi wake atagundua kuwa hata ile idea nzima ya seli sio mwisho. Ni mungu wake kwa level fulani lakini sio mwisho. Atagundua kwamba zipo seli nyingine pia mwilini mamilioni na mamilioni nazo zina mitochondria zake na zoote zinafanya kazi kwa ajili ya kuuendeleza huu mwili mzima. Ndio zinaonekana kama zimaulisha ubongo wa mwili huo lakini ukitizama kwa makini utagundua kuwa hata ubongo unafanya kazi kwa ajili ya mtu ambaye ni jitu zima limalotawala seli zooote moja moja katika makundi. Lakini hapohapo ukipindisha kidogo kubadili mizania ya utazamaji unaweza kusema kuwa huyu mtu naye yupo kwa ajili ya kuvitumikia hivyo viseli [na vimitochondria] vyoote mwilini mwake ili viendelee kuishi. Nayo sio mbaya ukiamua hivyo kwa sababu huo pia ni ukweli na ni kitu kilekile tunachokisema kila siku. Na huyu mtu ameonesha kuwa yuko na upendo woote na kujali kote na uangalizi wote kwa viseli vyote vilivyo chininya uangalizi wake. Kwa hiyo kwa viseli vya mwili mtu ni Mungu wao.

Tukibakia hapohapo ona jinsi mambo yote yanavyopata majibu ya wazi kabisa. Tunaona ni sahihi kwa seli hai nyekundu za damu kufa kila zinapotimiza wastani wa siku 120. Sijui kama zinalalamika au zinaumia kufanya hivyo sijui. Lakini inaonesha kuwa zimezaliwa zimemtumikia mungu[mtu] na mwisho zimekufa zitaacha nyingine zikifanya kazi. Zitazaliwa seli nyingime. Haya ikatokea mwili umevamiwa na wadudu hatari. Tunaona rasilimali muhimu kwa matumizi ya seli nyingine zikibadilishwa njia na kupewa askari [chembe za kinga] ili zikapambane na wavamizi. Labda seli nyingine huwa zinanungunika na kuleta migomo ndio maana sababu tunaona mwili ukinyon’gonyea. Mfano ni kichwa ndio kinauma au ni damu ndiyo imeambukizwa maralia. Lakini misuli ya miguu, tumbo na viungo vya uzazi vyote vinalala, si hamu ya chakula wala ya kula inayobakia. Au mfano wa pale ambapo mwili unapoamua kuviua vipande vyake vinavyotaka kuleta shida kwa mwili mzima. Mfano; seli zilizokaidi kufa zenyewe zikaamua badala yake kukua tuu pasipo kujali zinaleta faida wala hasara kwa wenzie. Zenyewe zinachojua ni kula kunenepeana na kukua zaidi na zaidi. Kila aliye jirani nazo anaumia tena anachukizwa na uwepo wake. Muda utafika mwili utaamua kuziua japo kutokana na mapendo makubwa utafanya hivyo kwa maumivu makubwa sana. Ukisikia kansa inatesa jua kwamba kansa inatesa kweli kweli. Ni maumivu makali na ndio maana wanaoiugua huwa wanasemwa kuwa ‘they are battling cancer’ ni vita! Lakini hata yanapotokea haya tunapaswa tutambue kuwa yote ni katika upendo tu wa baba yao hizo seli mtu mwenyewe. Maana kwa upendo anaidhinisha seli mbaya ziuwawe hata kama zinazobaki zitayapata maumivu hakuna namna. Yote haya yangeepukika kama seli mbovu zitaamua kufa zenyewe kwa upendo kuwaachia wengine waishi. The key hapa ni upendo. Mungu ni pendo walishasema. Hata kama kwa upendo ataamua kwamba wacha tu vyote viishi [ambavyo mara nyingi hutokea] na mwishoni atauvunjavunja mwili wote huyu mtu katika kifo nao ni upendo. Sema tu namna hii ya pili itawaacha wale seli wengine na mateso makali hadi kufa kwao. Seli wazuri wamapoumia na mtu naye anaumia lakini kwa upendo anavumilia.

Panda hatua moja tuje kwa binadamu binadamu anaweza kujihisi kwamba yeye yupo na anajifanyia kazi kwa ajili yake kwa faida zake lakini hilo jambo haliwezekaniki. Kwanza tukianza tu kwenye kufanya kazi mara nyingi ni kuwatumikia wengine. Mfano umejiajiri unanyoa nywele unawanyoa wengine. Unapika mamantilie umawapikia wengine. Mganga anawatipu watu wenzake wanaomzunguka. Kwa kufanya hivyo unafanya kile ambacho Mungu anataka; kuwatumikia wengime na kumtumikia yeye. Na Mungu naye anajishughulisha na kuendelea kuwepo kwa sisi wote duniani pamoja na vyote vinavyotuzunguka ili tuendelee kuwepo kwa ujumla wake. Wanazaliwa wanadamu wengine wengine wanafariki. Wote tunapendezwa na kukua na maendeleonya kiuchumi. Mungu pia anayafurahia hayo ikiwa yanaleta hali nzuri kwa wote viumbe, wanadamu na mazingira. Wote wanadamu, majirani na Mungu huchukizwa pale mtu anapoamua kukua tuu hata kwa madhara kwa watu wengine. Mtu ambaye badala ya kuwatumikia watu ataamua kuwatumia watu kujikuza pasipo faida yoyote kwa watu na dunia kwa ujumla anaenda kinyume na mantiki senseless. Basi yanaweza kumpata mabaya kutokana na mifumo tuliyojiwekea labda mwizi atafungwa gerezani. Au kuugua kutokana na matumizi yaliyopitiliza ya chochote hadi akajiharibu. Au kwa upendo akaachwa aendelee kuishi japo hii itakuja kwa gharama ya maumivu ya wale wengine wote wenye kuwa wema machoni pa Mungu. Lakini mwisho wa siku utakuja na kila kitu kuvunjwavunjwa na hukumu kupitishwa.

Baada ya kufa sasa ndiyo kila kipengele kitajihukumu kutokana na kiwango kilichofuata hiyo mantiki. Kama kilifanya vyema ni furaha tuu milele na kama kilifanya visivyo ni shida tuu milele. Kama ambavyo sisi binafsi hufanya makosa na kuumia nafsini. Na wakati mwingine kutamani kurudi nyuma na kurekebisha makosa. Labda ni kweli huwa zinatolewa nafasi za pili ili kuja kurekebisha makosa hilo sina hakika japo uwezekano ni mkubwa wa ukweli huo. Au labda kile kilichotenda vibaya kinarudishwaga tena levo ya chini ili kikajifunze kutenda mema baadaye kitapandishwa. Kwa usemi huohuo na kile kilichotenda vema basi kitarudishwa katika levo ya juu yake maana kimeuthibitishia mfumo kwamba kinafahamu lengo lake. Aliye mwaminifu kwa kidogo tunaweza kumuongeza majukumu zaidi maana tunamuamini au sio? Wapo watu wanaoamini hivyo. Mfano labda kwenye ufufuo ile kuvikwa miili mipya itakuwa na zile taarifa za seli zilizofanya vizuri wakati wa uhai wake. Maana tofauti na kufanyiana kazi hapa duniani tupo pia kwa ajili ya kujifunza kitu fulani.

Basi ndugu zangu nahitimisha; kama ambavyo neutroni zipo kwa ajili ya protoni, nyutroni wenzake zenyewe na ulimwengu mzima kwa ujumla. Ndivyo ambavyo atomu nzima ipo kwa ajilinya atomu wenzake, lengo fulani la uwepo wa maada na ulimwengu mzima kwa ujumla. Ndivyo ambavyo seli zipo kwa ajili ya seli wenzake, viungo na tishu mtu na dunia na ulimwengu mzima kwa ujumla. Ndivyo ambavyo sayari zipo kwa ajili ya zayari nyingine, vimondo, jua na lengo zima la kuanzishwa kwa sayari na mfumo wa jua na ulimwengu mzima kwa ujumla. Ndivyo hivyohivyo ndugu zangu magalaksi yapo kwa ajili ya magalaksi mengine na gesi, na nafasi na ulimwengu mzima kwa ujumla. Basi kwa mfananisho huo mimi nasema wazo la Mungu ni wazo halali kabisa na linaleta mantiki kuliko ile kuwepowepo tu bila lengo lolote, bila jukumu lolote. [Ili unielewe basi rudia hii aya ya mwisho ukibadili [replace] neno ulimwengu mzima kwa ujumla na neno Mungu.] Mungu yupo ndugu zangu Mungu yupo. Nakubali kuwa anaweza kuwa katika muonekano tusioweza kuung’amua kisawasawa hadi inapelekea kuambizana sisi kwa sisi kuwa hachunguziki. Ni sawa lakini lile wazo la kwamba yupo linabaki palepale. Na sifa zake za kuwa na upendo wote na ujuzi wote ni sahihi kabisa. Kuwepo pote hiyo ndiyo haswaa imejionesha katika makala hii ndefu. Hata kama sayansi au watu wataamua kumficha mbali juu kabisa infinity au kumficha chini kabisa infinitesimall bado Mungu ataonekana tu kwa sababu yeye ni mwanzo na mwisho, hana mwanzo wala mwisho ni hamna na ndo kila kitu. Ukivichunguza vitu vikubwa juu kabisa yako utamkuta mungu. Na hata ukivichunguzwa vitu vidoogo vya wewe na chini yako utamkuta Mungu pale. Somo lolote ukilichukua ukalifafanua ukalisoma na ukalichunguza mpaka mwisho wake utamkuta Mungu. Kwa hiyo iwe ni baiolojia, fizikia, filosophia mwisho utamkuta Mungu. Nawasilisha.
View attachment 2174803

Kwa ufupi sijamaliza kulisoma bandiko lako lote zaidi ya mistari minne ya mwanzo ila nimebaini limezungumzia kutegemeana kwa kila kitu katika mazingira yake kama chanzo na sababu ya uwepo wake.

Lakini pia Mungu nae kumbe nikama binadamu tu na upo uwezekano wa kuishi na kufa kama sisi (kinachotutofautisha na kila kinacho-exist ikiwemo Mungu mwenyewe pengine ni lifespan tu na occupancy).

Ikiwa viungo vya mwili wa binadamu ikiwemo organ zake ufanya kazi kwa ajili ya Mungu wao(MTU) vile vile hata sisi ufanya vyote kwa ajili ya Mungu wetu na yawezekana kama ilivyo viungo vyetu vya ndani pengine na sisi tupo ndani ya huyo Mungu na huu ulimwengu wote ni part ya mwili wake(nirekebishe kama sijakuelewa vizuri)

Kama niko sawa uoni kama hizi ni imaginations tu na nadharia zisizo na mashiko ya kuwepo humu jamii intelligence kama uthibitisho juu ya uwepo wa Mungu?
 
Kabla sijaendelea niweke wazi kuwa huu ni uthibitisho wa uhalali wa lile wazo la Mungu. Yaani the idea of God is sensible and not otherwise. Kwenda kinyume na wazo hili ndio utakuwa humake sense Kong Chi

Undava King tuchukulie mfano huohuo wa organs. Organs ndani ya miili yetu zipo limited in terms of space haziwezi kujongea hapa na pale. Labda humo ndani zinaambizanaga kuwa yule anayezibeba [Mtu] yeye ana uwezo wa kwenda popote anapotaka yaani ana uwezo wa ajabu. Yupo nje ya space na yupo pote katika space hata kwenye hivyo viungo yumo. Kiungo cha ndani kinawaza kuwa laiti kama ningeweza na mie kuwa naweza kwenda kila sehemu yaani ningefurahi acha tu. Sasa kuna namna mbili za kuachieve hiyo hali:

a. Kujiyeyusha na kuwa kama liquid fulani itakayosafirishwa na damu kuenea mwili mzima hadi ngozi, macho masikio. Lakini tunaona hili halitamfaidi chochote maana atakuwa hana organization ya yeye ni kama amekufa. Kwa hiyo kutaka kutoboa ki material material ni futile haisaidii. Mwili wa mtu ukifa unaoza halafu zile atoms zake [mnaita virutubisho] vinaishia kutawanyika dunia nzima kwenye funza, miti, bacteria na wanyama.

b. Kuongeza tu ile awareness yake na kuweza kuinteract na mazingira kama ambavyo mtu anainteract na mazingira hayo. Hawezi moja kwa moja bali ni mpaka aungane na awareness ya mtu mzima! Akifanya hivi huyo organ atafaidi na atakuwa kila sehemu ambako mtu anafika pote ndani na nje. Kumbe ili kuweza kuinteract na mungu wako inabidi ukubaliane naye katika hali ya utambuzi na sio material. Na ili kufanikiwa ni mpaka yeye akubali kukukaribisha kwake. Na unakaribishwa kwake unapokuwa na sense anazozikubali yeye.

Kwetu sisi watu tatizo letu ni muda. Labda ndo na sisi tunapowaza kuhusu muda; Mungu yupo nje ya muda na ndio maana tunatamani kwenda kwake ili tuweze kuishi milele katika raha bila kudhibitiwa na muda. Dini zote zinasolvu hichi kitu, zinampa mtu some form of imortality. To be not bound by time or space whatsover. Na hii ni kama tu utakubali katika akili yako kutenda ya kumpendeza Mungu ili akukaribishe kwake. Mungu yupo juu ya muda. Hafi. Kufa ni kama muda kukuishia, sasa nje ya muda hakuna kifo. Usiongelee mambo ya lifespan kwenye milele.
 
Kama niko sawa uoni kama hizi ni imaginations tu na nadharia zisizo na mashiko ya kuwepo humu jamii intelligence kama uthibitisho juu ya uwepo wa Mungu?
Nakubaliana kuwa hii ni nadharia, na nakubalinkuwa ni imagination. Ila kwenye suala la kutokuwa na mashiko hapo hapana. Hii mifano ndiyo mashiko yenyewe.

Au unaweza nijibu kuwa ni kwa nini katika kila jamii kulikuwa na hili wazo la Mungu bila kufundishwa na mtu yeyote?. Watu wenye intelligence siku zote wanazo imagination zinazotokana na kilichopo na kuextend to infinity [infinity ikiwa ni kutegemeana tu na kinachoweza kujulikana kwa wakati huo]
 
Ukifuatilia uingiaji wa mimba,mtoto akiwa tumboni,mpaka anazaliwa
Utagundua mungu yupo
Hii mimi huwa nachukulia kama simulation ya kuanza kwa ulimwengu.

Kama ambayo mwanzo kulikuwa na kanuni na maelekezo tu katika seli ya kwanza iliyorutubishwa. Lile wazo na kusudi na kanuni iliyokuwapo hiyo ndiyo ikaamuru seli zote zije, ikaamuru moyo uwepo, macho yawepo, miguu iwepo, ubongo uwepo kila kiungo na viungo kiwepo ili vitumikiane vyenyewe na kwa kufanya hivyo vimtumikie yeye 'mtu'. Kanuni zilezile zilizoratibu uanzishwaji wa mwili ndizo hizohizo zinazotumika kuuendesha.

Ulimwengu nao vivyo hivyo: labda
 
Kuna mtindo wa kwenye social media watu kutosoma maelezo marefu sana. Hivyo basi nimeamua kuileta sehemu tu ya ile sehemu ya pili, enjoy;
View attachment 2174800
....................kukazia pointi kadhaa na kufunga;
Ndugu zangu, haidhuru mtu au mfumo kutokujua mwisho au mwanzo wake ili kuleta maana – ‘sense’. Maana inakuja pale kipande cha mfumo husika utakapokuwa unatenda kulingana na muelekeo sahihi ukiuchukulia mfumo mzima juu kabisa hadi chini kabisa. Sense ni ule tu uelekeo sahihi basi. Hata kama labda moyo unafahamu tu kwamba ‘ulimwengu mzima’ ni wenyewe tu na ukajijali wenyewe tu hautakuwa na maana tena mwilini. Lakini ukawa na akili ya kuelewa kwamba kuna mfumo mzima wa mishipa na kazi yake ni kuisambazia hiyo mishipa damu basi tayari utakuwa na maana na utaishi. Utaishi vizuri hata kama haujawahi kuiona mivitu migumu kama mifupa [damu yenyewe inatengenezwa huko]. Moyo ukasema wenyewe unajua kuna nyama tu na nyama ndiyo kila kitu kilichopo. Utaendelea kuishi huku ukilindwa na mifupa hiyohiyo uliyoikataa kwamba haipo na haina maana yoyote. Lakini ukitaka [ufe huo moyo] ni pale utakapofanya kitu ambacho ni non-sense yaani kinyume na ukweli wake. Mfano ukaamua kunyonya damu badala ya kuisukuma. Au kuji mwambafai na kujipa umuhimu wa kwanza badala ya kusambaza damu wenyewe ndiyo uitumie damu kukua na kuitumia zaidi. Kujitukuza kujipa umuhimu wa kwanza wewe badala ya vyote sio jambo zuri. Maana viungo vipo kwa ajili ya viungo wenzake na kwa ajili ya lengo la jumla la kuwepo kwa huo mfumo. Kwa hiyo tukirejea kwa mwili tutasema moyo ni kwa ajili ya mapafu, miguu, mikono, ubongo, moyo na mwiliwote na mtu mzima kwa ujumla. Kwa hiyo moyo unaweza kusema kuwa lile wazo la mtu ndiyo mungu. Mungu wake anaonekana kuwa tofauti kabisa na asili ya moyo wenyewe ulivyo kwanza haonekani wala hashikiki.

Mfano wa seli pia ni hivyohivyo mitochondria ipo kwa ajili ya ribosome, nucleus, membrane, mitochondria yenyewe na seli nzima kwa ujumla wake. Mitochondria akiongeza ujuzi wake atagundua kuwa hata ile idea nzima ya seli sio mwisho. Ni mungu wake kwa level fulani lakini sio mwisho. Atagundua kwamba zipo seli nyingine pia mwilini mamilioni na mamilioni nazo zina mitochondria zake na zoote zinafanya kazi kwa ajili ya kuuendeleza huu mwili mzima. Ndio zinaonekana kama zimaulisha ubongo wa mwili huo lakini ukitizama kwa makini utagundua kuwa hata ubongo unafanya kazi kwa ajili ya mtu ambaye ni jitu zima limalotawala seli zooote moja moja katika makundi. Lakini hapohapo ukipindisha kidogo kubadili mizania ya utazamaji unaweza kusema kuwa huyu mtu naye yupo kwa ajili ya kuvitumikia hivyo viseli [na vimitochondria] vyoote mwilini mwake ili viendelee kuishi. Nayo sio mbaya ukiamua hivyo kwa sababu huo pia ni ukweli na ni kitu kilekile tunachokisema kila siku. Na huyu mtu ameonesha kuwa yuko na upendo woote na kujali kote na uangalizi wote kwa viseli vyote vilivyo chininya uangalizi wake. Kwa hiyo kwa viseli vya mwili mtu ni Mungu wao.

Tukibakia hapohapo ona jinsi mambo yote yanavyopata majibu ya wazi kabisa. Tunaona ni sahihi kwa seli hai nyekundu za damu kufa kila zinapotimiza wastani wa siku 120. Sijui kama zinalalamika au zinaumia kufanya hivyo sijui. Lakini inaonesha kuwa zimezaliwa zimemtumikia mungu[mtu] na mwisho zimekufa zitaacha nyingine zikifanya kazi. Zitazaliwa seli nyingime. Haya ikatokea mwili umevamiwa na wadudu hatari. Tunaona rasilimali muhimu kwa matumizi ya seli nyingine zikibadilishwa njia na kupewa askari [chembe za kinga] ili zikapambane na wavamizi. Labda seli nyingine huwa zinanungunika na kuleta migomo ndio maana sababu tunaona mwili ukinyon’gonyea. Mfano ni kichwa ndio kinauma au ni damu ndiyo imeambukizwa maralia. Lakini misuli ya miguu, tumbo na viungo vya uzazi vyote vinalala, si hamu ya chakula wala ya kula inayobakia. Au mfano wa pale ambapo mwili unapoamua kuviua vipande vyake vinavyotaka kuleta shida kwa mwili mzima. Mfano; seli zilizokaidi kufa zenyewe zikaamua badala yake kukua tuu pasipo kujali zinaleta faida wala hasara kwa wenzie. Zenyewe zinachojua ni kula kunenepeana na kukua zaidi na zaidi. Kila aliye jirani nazo anaumia tena anachukizwa na uwepo wake. Muda utafika mwili utaamua kuziua japo kutokana na mapendo makubwa utafanya hivyo kwa maumivu makubwa sana. Ukisikia kansa inatesa jua kwamba kansa inatesa kweli kweli. Ni maumivu makali na ndio maana wanaoiugua huwa wanasemwa kuwa ‘they are battling cancer’ ni vita! Lakini hata yanapotokea haya tunapaswa tutambue kuwa yote ni katika upendo tu wa baba yao hizo seli mtu mwenyewe. Maana kwa upendo anaidhinisha seli mbaya ziuwawe hata kama zinazobaki zitayapata maumivu hakuna namna. Yote haya yangeepukika kama seli mbovu zitaamua kufa zenyewe kwa upendo kuwaachia wengine waishi. The key hapa ni upendo. Mungu ni pendo walishasema. Hata kama kwa upendo ataamua kwamba wacha tu vyote viishi [ambavyo mara nyingi hutokea] na mwishoni atauvunjavunja mwili wote huyu mtu katika kifo nao ni upendo. Sema tu namna hii ya pili itawaacha wale seli wengine na mateso makali hadi kufa kwao. Seli wazuri wamapoumia na mtu naye anaumia lakini kwa upendo anavumilia.

Panda hatua moja tuje kwa binadamu binadamu anaweza kujihisi kwamba yeye yupo na anajifanyia kazi kwa ajili yake kwa faida zake lakini hilo jambo haliwezekaniki. Kwanza tukianza tu kwenye kufanya kazi mara nyingi ni kuwatumikia wengine. Mfano umejiajiri unanyoa nywele unawanyoa wengine. Unapika mamantilie umawapikia wengine. Mganga anawatipu watu wenzake wanaomzunguka. Kwa kufanya hivyo unafanya kile ambacho Mungu anataka; kuwatumikia wengime na kumtumikia yeye. Na Mungu naye anajishughulisha na kuendelea kuwepo kwa sisi wote duniani pamoja na vyote vinavyotuzunguka ili tuendelee kuwepo kwa ujumla wake. Wanazaliwa wanadamu wengine wengine wanafariki. Wote tunapendezwa na kukua na maendeleonya kiuchumi. Mungu pia anayafurahia hayo ikiwa yanaleta hali nzuri kwa wote viumbe, wanadamu na mazingira. Wote wanadamu, majirani na Mungu huchukizwa pale mtu anapoamua kukua tuu hata kwa madhara kwa watu wengine. Mtu ambaye badala ya kuwatumikia watu ataamua kuwatumia watu kujikuza pasipo faida yoyote kwa watu na dunia kwa ujumla anaenda kinyume na mantiki senseless. Basi yanaweza kumpata mabaya kutokana na mifumo tuliyojiwekea labda mwizi atafungwa gerezani. Au kuugua kutokana na matumizi yaliyopitiliza ya chochote hadi akajiharibu. Au kwa upendo akaachwa aendelee kuishi japo hii itakuja kwa gharama ya maumivu ya wale wengine wote wenye kuwa wema machoni pa Mungu. Lakini mwisho wa siku utakuja na kila kitu kuvunjwavunjwa na hukumu kupitishwa.

Baada ya kufa sasa ndiyo kila kipengele kitajihukumu kutokana na kiwango kilichofuata hiyo mantiki. Kama kilifanya vyema ni furaha tuu milele na kama kilifanya visivyo ni shida tuu milele. Kama ambavyo sisi binafsi hufanya makosa na kuumia nafsini. Na wakati mwingine kutamani kurudi nyuma na kurekebisha makosa. Labda ni kweli huwa zinatolewa nafasi za pili ili kuja kurekebisha makosa hilo sina hakika japo uwezekano ni mkubwa wa ukweli huo. Au labda kile kilichotenda vibaya kinarudishwaga tena levo ya chini ili kikajifunze kutenda mema baadaye kitapandishwa. Kwa usemi huohuo na kile kilichotenda vema basi kitarudishwa katika levo ya juu yake maana kimeuthibitishia mfumo kwamba kinafahamu lengo lake. Aliye mwaminifu kwa kidogo tunaweza kumuongeza majukumu zaidi maana tunamuamini au sio? Wapo watu wanaoamini hivyo. Mfano labda kwenye ufufuo ile kuvikwa miili mipya itakuwa na zile taarifa za seli zilizofanya vizuri wakati wa uhai wake. Maana tofauti na kufanyiana kazi hapa duniani tupo pia kwa ajili ya kujifunza kitu fulani.

Basi ndugu zangu nahitimisha; kama ambavyo neutroni zipo kwa ajili ya protoni, nyutroni wenzake zenyewe na ulimwengu mzima kwa ujumla. Ndivyo ambavyo atomu nzima ipo kwa ajilinya atomu wenzake, lengo fulani la uwepo wa maada na ulimwengu mzima kwa ujumla. Ndivyo ambavyo seli zipo kwa ajili ya seli wenzake, viungo na tishu mtu na dunia na ulimwengu mzima kwa ujumla. Ndivyo ambavyo sayari zipo kwa ajili ya zayari nyingine, vimondo, jua na lengo zima la kuanzishwa kwa sayari na mfumo wa jua na ulimwengu mzima kwa ujumla. Ndivyo hivyohivyo ndugu zangu magalaksi yapo kwa ajili ya magalaksi mengine na gesi, na nafasi na ulimwengu mzima kwa ujumla. Basi kwa mfananisho huo mimi nasema wazo la Mungu ni wazo halali kabisa na linaleta mantiki kuliko ile kuwepowepo tu bila lengo lolote, bila jukumu lolote. [Ili unielewe basi rudia hii aya ya mwisho ukibadili [replace] neno ulimwengu mzima kwa ujumla na neno Mungu.] Mungu yupo ndugu zangu Mungu yupo. Nakubali kuwa anaweza kuwa katika muonekano tusioweza kuung’amua kisawasawa hadi inapelekea kuambizana sisi kwa sisi kuwa hachunguziki. Ni sawa lakini lile wazo la kwamba yupo linabaki palepale. Na sifa zake za kuwa na upendo wote na ujuzi wote ni sahihi kabisa. Kuwepo pote hiyo ndiyo haswaa imejionesha katika makala hii ndefu. Hata kama sayansi au watu wataamua kumficha mbali juu kabisa infinity au kumficha chini kabisa infinitesimall bado Mungu ataonekana tu kwa sababu yeye ni mwanzo na mwisho, hana mwanzo wala mwisho ni hamna na ndo kila kitu. Ukivichunguza vitu vikubwa juu kabisa yako utamkuta mungu. Na hata ukivichunguzwa vitu vidoogo vya wewe na chini yako utamkuta Mungu pale. Somo lolote ukilichukua ukalifafanua ukalisoma na ukalichunguza mpaka mwisho wake utamkuta Mungu. Kwa hiyo iwe ni baiolojia, fizikia, filosophia mwisho utamkuta Mungu. Nawasilisha.
View attachment 2174803
It seems that you are not a real scientist
 
It seems that you are not a real scientist
You know what sir. There is no need to limit oneself in a single field wakati zipo field nyingi tu. Sio vibaya mtu akawa kawa mwanasayansi, muumini, mwanasiasa na mwanafalsafa. Life requires the harmonious working together of........ of aaa..--- of kila kitu tu😂😂
 
You know what sir. There is no need to limit oneself in a single field wakati zipo field nyingi tu. Sio vibaya mtu akawa kawa mwanasayansi, muumini, mwanasiasa na mwanafalsafa. Life requires the harmonious working together of........ of aaa..--- of kila kitu tu😂😂
Ndio maana nimekwambia you are not a real sciencitist because you believe on the absurdity of young Earth
 
Hili suala la mwanabaiolojia kuwa na dhana ya uwepo wa kitu kama "nafsini" au roho linatisha sana. Baiolojia sio mambo yasiyopimika au ya kutungatunga tu. Huwezi kufikia hitimisho la ajabu kama kwamba mungu yupo bila kiunganishi cha moja kwa moja na kinachopimika kwa yeyote atakayejaribu kuchunguza tatizo husika ili lithibitike.

Hakuna consensus ya mambo ya imani sehemu yoyote duniani. Kuna shida sehemu. Shida kubwa.
 
Ongea na Mungu mwambie kule Ukraine watu aliowaumba Putin anawaua kinyama bila huruma yoyote. Mbona Mungu kanyamaza!
Nimekua interested kidogo na hili; why unapenda Mungu aingilie kati anayo yafanya Putin lakini hukufikiria Mungu aingilie kati mauaji yanayo tokea barani Africa, mashariki ya kati nk, why only Ulaya!?
 
Ndio maana nimekwambia you are not a real sciencitist because you believe on the absurdity of young Earth
Why would I. Understanding of true science, true knowledge never contradicts with the Truth of spiritual things. Being a believer of Creator God doesn't automatically make me young earth believer. Make no assumptions. I may make statement such as evolution is the method God used to bring us into being us.

There is no contradiction because everyday we see cells dividing into organs into baby humans which develop into rational thinking humans. No human just pops into existance as full grown human! why not evolution? Look I dont apeal to evolution or no evolution, I don't appeal to creation or no creation ----I only appeal to sense
 
Hili suala la mwanabaiolojia kuwa na dhana ya uwepo wa kitu kama "nafsini" au roho linatisha sana. Baiolojia sio mambo yasiyopimika au ya kutungatunga tu. Huwezi kufikia hitimisho la ajabu kama kwamba mungu yupo bila kiunganishi cha moja kwa moja na kinachopimika kwa yeyote
Labda nisaidie lengo la kitu chochote unalipimaje. Je unaweza kusema hilinhapa ndio lengo, lina kilo nne, linatokeza umeme wa millivolt tatu? unaweza? unalipimaje lengo?

Chochote kinachoundwa kinaundwa kwa ajili ya lengo fulani ambalo halishikiki wala halina asili inayofanania hicho kitu mzee. Kitendo cha hicho kitu kuwepo ndio uthibitisho wa lengo la kuwapo kwakee
 
Labda nisaidie lengo la kitu chochote unalipimaje. Je unaweza kusema hilinhapa ndio lengo, lina kilo nne, linatokeza umeme wa millivolt tatu? unaweza? unalipimaje lengo?

Chochote kinachoundwa kinaundwa kwa ajili ya lengo fulani ambalo halishikiki wala halina asili inayofanania hicho kitu mzee. Kitendo cha hicho kitu kuwepo ndio uthibitisho wa lengo la kuwapo kwakee
Kazi ya sayansi ni kufanya utafiti kwa manufaa ya mwanadamu. Kisanyansi mambo yote kwenye taaluma huanza kwa msingi wa swali (tatizo) na kutaka kujua au kuelewa suala husika, hii ni kazi ya kwanza na msingi ya sayansi. Kazi ya nyongeza baadae kwa sisi binadamu ni kufanyia kazi elimu na maarifa kurahisisha maisha duniani. Application follows behind knowledge and discovery. Evolution ya wanyama haina lengo. Utasemaje natural selection ina lengo mahsusi wakati ni random process?

Ukizusha suala la mungu ni kuongeza tatizo badala ya kutoa suluhisho. So mungu sio hitimisho sahihi kwa sababu ya kukosa ushahidi wa uhusiano.
 
Kuna mtindo wa kwenye social media watu kutosoma maelezo marefu sana. Hivyo basi nimeamua kuileta sehemu tu ya ile sehemu ya pili, enjoy;
View attachment 2174800
....................kukazia pointi kadhaa na kufunga;
Ndugu zangu, haidhuru mtu au mfumo kutokujua mwisho au mwanzo wake ili kuleta maana – ‘sense’. Maana inakuja pale kipande cha mfumo husika utakapokuwa unatenda kulingana na muelekeo sahihi ukiuchukulia mfumo mzima juu kabisa hadi chini kabisa. Sense ni ule tu uelekeo sahihi basi. Hata kama labda moyo unafahamu tu kwamba ‘ulimwengu mzima’ ni wenyewe tu na ukajijali wenyewe tu hautakuwa na maana tena mwilini. Lakini ukawa na akili ya kuelewa kwamba kuna mfumo mzima wa mishipa na kazi yake ni kuisambazia hiyo mishipa damu basi tayari utakuwa na maana na utaishi. Utaishi vizuri hata kama haujawahi kuiona mivitu migumu kama mifupa [damu yenyewe inatengenezwa huko]. Moyo ukasema wenyewe unajua kuna nyama tu na nyama ndiyo kila kitu kilichopo. Utaendelea kuishi huku ukilindwa na mifupa hiyohiyo uliyoikataa kwamba haipo na haina maana yoyote. Lakini ukitaka [ufe huo moyo] ni pale utakapofanya kitu ambacho ni non-sense yaani kinyume na ukweli wake. Mfano ukaamua kunyonya damu badala ya kuisukuma. Au kuji mwambafai na kujipa umuhimu wa kwanza badala ya kusambaza damu wenyewe ndiyo uitumie damu kukua na kuitumia zaidi. Kujitukuza kujipa umuhimu wa kwanza wewe badala ya vyote sio jambo zuri. Maana viungo vipo kwa ajili ya viungo wenzake na kwa ajili ya lengo la jumla la kuwepo kwa huo mfumo. Kwa hiyo tukirejea kwa mwili tutasema moyo ni kwa ajili ya mapafu, miguu, mikono, ubongo, moyo na mwiliwote na mtu mzima kwa ujumla. Kwa hiyo moyo unaweza kusema kuwa lile wazo la mtu ndiyo mungu. Mungu wake anaonekana kuwa tofauti kabisa na asili ya moyo wenyewe ulivyo kwanza haonekani wala hashikiki.

Mfano wa seli pia ni hivyohivyo mitochondria ipo kwa ajili ya ribosome, nucleus, membrane, mitochondria yenyewe na seli nzima kwa ujumla wake. Mitochondria akiongeza ujuzi wake atagundua kuwa hata ile idea nzima ya seli sio mwisho. Ni mungu wake kwa level fulani lakini sio mwisho. Atagundua kwamba zipo seli nyingine pia mwilini mamilioni na mamilioni nazo zina mitochondria zake na zoote zinafanya kazi kwa ajili ya kuuendeleza huu mwili mzima. Ndio zinaonekana kama zimaulisha ubongo wa mwili huo lakini ukitizama kwa makini utagundua kuwa hata ubongo unafanya kazi kwa ajili ya mtu ambaye ni jitu zima limalotawala seli zooote moja moja katika makundi. Lakini hapohapo ukipindisha kidogo kubadili mizania ya utazamaji unaweza kusema kuwa huyu mtu naye yupo kwa ajili ya kuvitumikia hivyo viseli [na vimitochondria] vyoote mwilini mwake ili viendelee kuishi. Nayo sio mbaya ukiamua hivyo kwa sababu huo pia ni ukweli na ni kitu kilekile tunachokisema kila siku. Na huyu mtu ameonesha kuwa yuko na upendo woote na kujali kote na uangalizi wote kwa viseli vyote vilivyo chininya uangalizi wake. Kwa hiyo kwa viseli vya mwili mtu ni Mungu wao.

Tukibakia hapohapo ona jinsi mambo yote yanavyopata majibu ya wazi kabisa. Tunaona ni sahihi kwa seli hai nyekundu za damu kufa kila zinapotimiza wastani wa siku 120. Sijui kama zinalalamika au zinaumia kufanya hivyo sijui. Lakini inaonesha kuwa zimezaliwa zimemtumikia mungu[mtu] na mwisho zimekufa zitaacha nyingine zikifanya kazi. Zitazaliwa seli nyingime. Haya ikatokea mwili umevamiwa na wadudu hatari. Tunaona rasilimali muhimu kwa matumizi ya seli nyingine zikibadilishwa njia na kupewa askari [chembe za kinga] ili zikapambane na wavamizi. Labda seli nyingine huwa zinanungunika na kuleta migomo ndio maana sababu tunaona mwili ukinyon’gonyea. Mfano ni kichwa ndio kinauma au ni damu ndiyo imeambukizwa maralia. Lakini misuli ya miguu, tumbo na viungo vya uzazi vyote vinalala, si hamu ya chakula wala ya kula inayobakia. Au mfano wa pale ambapo mwili unapoamua kuviua vipande vyake vinavyotaka kuleta shida kwa mwili mzima. Mfano; seli zilizokaidi kufa zenyewe zikaamua badala yake kukua tuu pasipo kujali zinaleta faida wala hasara kwa wenzie. Zenyewe zinachojua ni kula kunenepeana na kukua zaidi na zaidi. Kila aliye jirani nazo anaumia tena anachukizwa na uwepo wake. Muda utafika mwili utaamua kuziua japo kutokana na mapendo makubwa utafanya hivyo kwa maumivu makubwa sana. Ukisikia kansa inatesa jua kwamba kansa inatesa kweli kweli. Ni maumivu makali na ndio maana wanaoiugua huwa wanasemwa kuwa ‘they are battling cancer’ ni vita! Lakini hata yanapotokea haya tunapaswa tutambue kuwa yote ni katika upendo tu wa baba yao hizo seli mtu mwenyewe. Maana kwa upendo anaidhinisha seli mbaya ziuwawe hata kama zinazobaki zitayapata maumivu hakuna namna. Yote haya yangeepukika kama seli mbovu zitaamua kufa zenyewe kwa upendo kuwaachia wengine waishi. The key hapa ni upendo. Mungu ni pendo walishasema. Hata kama kwa upendo ataamua kwamba wacha tu vyote viishi [ambavyo mara nyingi hutokea] na mwishoni atauvunjavunja mwili wote huyu mtu katika kifo nao ni upendo. Sema tu namna hii ya pili itawaacha wale seli wengine na mateso makali hadi kufa kwao. Seli wazuri wamapoumia na mtu naye anaumia lakini kwa upendo anavumilia.

Panda hatua moja tuje kwa binadamu binadamu anaweza kujihisi kwamba yeye yupo na anajifanyia kazi kwa ajili yake kwa faida zake lakini hilo jambo haliwezekaniki. Kwanza tukianza tu kwenye kufanya kazi mara nyingi ni kuwatumikia wengine. Mfano umejiajiri unanyoa nywele unawanyoa wengine. Unapika mamantilie umawapikia wengine. Mganga anawatipu watu wenzake wanaomzunguka. Kwa kufanya hivyo unafanya kile ambacho Mungu anataka; kuwatumikia wengime na kumtumikia yeye. Na Mungu naye anajishughulisha na kuendelea kuwepo kwa sisi wote duniani pamoja na vyote vinavyotuzunguka ili tuendelee kuwepo kwa ujumla wake. Wanazaliwa wanadamu wengine wengine wanafariki. Wote tunapendezwa na kukua na maendeleonya kiuchumi. Mungu pia anayafurahia hayo ikiwa yanaleta hali nzuri kwa wote viumbe, wanadamu na mazingira. Wote wanadamu, majirani na Mungu huchukizwa pale mtu anapoamua kukua tuu hata kwa madhara kwa watu wengine. Mtu ambaye badala ya kuwatumikia watu ataamua kuwatumia watu kujikuza pasipo faida yoyote kwa watu na dunia kwa ujumla anaenda kinyume na mantiki senseless. Basi yanaweza kumpata mabaya kutokana na mifumo tuliyojiwekea labda mwizi atafungwa gerezani. Au kuugua kutokana na matumizi yaliyopitiliza ya chochote hadi akajiharibu. Au kwa upendo akaachwa aendelee kuishi japo hii itakuja kwa gharama ya maumivu ya wale wengine wote wenye kuwa wema machoni pa Mungu. Lakini mwisho wa siku utakuja na kila kitu kuvunjwavunjwa na hukumu kupitishwa.

Baada ya kufa sasa ndiyo kila kipengele kitajihukumu kutokana na kiwango kilichofuata hiyo mantiki. Kama kilifanya vyema ni furaha tuu milele na kama kilifanya visivyo ni shida tuu milele. Kama ambavyo sisi binafsi hufanya makosa na kuumia nafsini. Na wakati mwingine kutamani kurudi nyuma na kurekebisha makosa. Labda ni kweli huwa zinatolewa nafasi za pili ili kuja kurekebisha makosa hilo sina hakika japo uwezekano ni mkubwa wa ukweli huo. Au labda kile kilichotenda vibaya kinarudishwaga tena levo ya chini ili kikajifunze kutenda mema baadaye kitapandishwa. Kwa usemi huohuo na kile kilichotenda vema basi kitarudishwa katika levo ya juu yake maana kimeuthibitishia mfumo kwamba kinafahamu lengo lake. Aliye mwaminifu kwa kidogo tunaweza kumuongeza majukumu zaidi maana tunamuamini au sio? Wapo watu wanaoamini hivyo. Mfano labda kwenye ufufuo ile kuvikwa miili mipya itakuwa na zile taarifa za seli zilizofanya vizuri wakati wa uhai wake. Maana tofauti na kufanyiana kazi hapa duniani tupo pia kwa ajili ya kujifunza kitu fulani.

Basi ndugu zangu nahitimisha; kama ambavyo neutroni zipo kwa ajili ya protoni, nyutroni wenzake zenyewe na ulimwengu mzima kwa ujumla. Ndivyo ambavyo atomu nzima ipo kwa ajilinya atomu wenzake, lengo fulani la uwepo wa maada na ulimwengu mzima kwa ujumla. Ndivyo ambavyo seli zipo kwa ajili ya seli wenzake, viungo na tishu mtu na dunia na ulimwengu mzima kwa ujumla. Ndivyo ambavyo sayari zipo kwa ajili ya zayari nyingine, vimondo, jua na lengo zima la kuanzishwa kwa sayari na mfumo wa jua na ulimwengu mzima kwa ujumla. Ndivyo hivyohivyo ndugu zangu magalaksi yapo kwa ajili ya magalaksi mengine na gesi, na nafasi na ulimwengu mzima kwa ujumla. Basi kwa mfananisho huo mimi nasema wazo la Mungu ni wazo halali kabisa na linaleta mantiki kuliko ile kuwepowepo tu bila lengo lolote, bila jukumu lolote. [Ili unielewe basi rudia hii aya ya mwisho ukibadili [replace] neno ulimwengu mzima kwa ujumla na neno Mungu.] Mungu yupo ndugu zangu Mungu yupo. Nakubali kuwa anaweza kuwa katika muonekano tusioweza kuung’amua kisawasawa hadi inapelekea kuambizana sisi kwa sisi kuwa hachunguziki. Ni sawa lakini lile wazo la kwamba yupo linabaki palepale. Na sifa zake za kuwa na upendo wote na ujuzi wote ni sahihi kabisa. Kuwepo pote hiyo ndiyo haswaa imejionesha katika makala hii ndefu. Hata kama sayansi au watu wataamua kumficha mbali juu kabisa infinity au kumficha chini kabisa infinitesimall bado Mungu ataonekana tu kwa sababu yeye ni mwanzo na mwisho, hana mwanzo wala mwisho ni hamna na ndo kila kitu. Ukivichunguza vitu vikubwa juu kabisa yako utamkuta mungu. Na hata ukivichunguzwa vitu vidoogo vya wewe na chini yako utamkuta Mungu pale. Somo lolote ukilichukua ukalifafanua ukalisoma na ukalichunguza mpaka mwisho wake utamkuta Mungu. Kwa hiyo iwe ni baiolojia, fizikia, filosophia mwisho utamkuta Mungu. Nawasilisha.
View attachment 2174803
Logical non sequitur after logical non sequitur.

If any complexity must be created by a higher complexity, that shows there is no God, not otherwise.
 
Evolution ya wanyama haina lengo. Utasemaje natural selection ina lengo mahsusi wakati ni random process?
Angalia, bila lengo la kutengeneza kitu tata kitu hicho hakitokei. Sikia bila lengo unaweza tu kutengeneza kitu rahisi, I mean kitu sahili at best. Kiukweli mara nyingi random processes huwa zinatusaidia kuharibu mifumo tata iliyopoteza lengo la kuwepo kwake.

Mfano mzuri ni kiumbe anapokufa, I mean pale uhai unapoondoka, nafsi inapouacha mwili kinachotokea ni kusambaratika tu kutokana na kwamba lile lengo la kuwepo kwa mfumo ndio limeshaondoka. Hata kama mishipa ipo, ubongo na moyo upo kila kitu kipo lakini bila lengo kuu la kuwepo kwake --- vyote vinaoza. Moyonhauwezintu kuamua kuendelea kupampu damu kupeleka kwenye ubongo bila sababu ya msingi
 
Back
Top Bottom