[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]soma kwa makini na hisia[emoji2955]Namjibia[emoji116][emoji116]
"Hujaelewa uzi. Mimi ni rough ila si mchafu. Hujui tofauti ya rough na mchafu. Nguo zangu ni safi anytime though sipangilii a k a kutupia. Nywele ni safi japo naziacha ga idle, na sio kipili pili. Hope umeelewa sasa, au ulikimbia umande?!"[emoji23]
Mtoto Mambo ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]soma kwa makini na hisia[emoji2955]
Poa mkuu uko poaMtoto Mambo ?
Nna njaa Sana mkuu,naomba msos mkuuPoa mkuu uko poa
Mhhh pole sana njoo home ujibebee utakachoNna njaa Sana mkuu,naomba msos mkuu
Waooooo!! Ntafurahije!! Npe location mkuuMhhh pole sana njoo home ujibebee utakacho
Mwanza vijijiniWaooooo!! Ntafurahije!! Npe location mkuu
Kata gan mkuu?Mwanza vijijini
Kata ya kisaraweKata gan mkuu?
Taja Kijiji na kitongojiKata ya kisarawe
Kitongoji kigamboni- IriksongoTaja Kijiji na kitongoji
Nkuletee zawad gan mkuu ??Kitongoji kigamboni- Iriksongo
Hakuna zaidi ya pesaNkuletee zawad gan mkuu ??
Exactly nyota inambebaNyota baba
Usjali ntajipgapga hata buku tano hiv!! Vip gest zpo karbu lakn???Hakuna zaidi ya pesa
Huku guest zipo hadi za jero mkuu..... Kwa hyo hyo buku tano.... Jero guest, buku nauli yangu, soda buku.... Buku 2 unanipa Kodi ya meza.... Jero nauli yakoUsjali ntajipgapga hata buku tano hiv!! Vip gest zpo karbu lakn???