Mimi ni rough, nywele rough na sijali wala kuhonga na wanawake wananikubali sana. Kwa nini?

Mimi ni rough, nywele rough na sijali wala kuhonga na wanawake wananikubali sana. Kwa nini?

Habari wanaJF.

Niende kwenye mada, kumekuwa na misemo humu kuwa wanawake wanapenda mwanaume smart, mcheshi na mtundu na sifa kede kede.

Kwangu mimi ni tofauti kabisa, kwanza sina ucheshi(kutabasamu, kucheka wala kuongea ni kwa nadra sana).

Pili mimi sio smart kimavazi. Sio smart kabisa. Ila ninachohakikisha ni kuwa mavazi yangu sio machafu na hayanuki. Kupiga pasi pia na mimi ni paka na panya. Yaani ni rough mno kiujumla hasa kimavazi.

Pia mimi sipo romantic na sipendi kuzoeana sana na wanawake japo wao wanataka sana kunizoea.

Nina sura kavu kidogo yenye tabasamu adimu mno, sipendi stori na wasichana na sipendi utani nao.

Ajabu ni hii[emoji116][emoji116]

Wananikubali sana, huwa sihongi ila nimewala wengi mno tena warembo hasa. Na wengi wanajipendekeza sana kwangu, wengine wake za watu wengine masista duu..

Sasa najishangaa wanapenda nini? Nikisoma kwenye vitu ambavyo huvutiwa navyo mimi sina hata kimoja, japo sio mfupi ni mrefu kiasi.

Kwa kweli najishangaa mno, nimewakataa wengi sana na wengi bado wananikubali.

Nimewahi kupata convos zao kwa msg wakiniongelea. Aisee wamenisifia na kunipamba mpaka naona aibu sasa wakati mimi niko very normal.

Jamani hapa shida nini? Siifurahii hii hali.

Karibuni.!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Duuuh! Ningumu kwa mwanamke kukupenda ikiwa huna kitu, sio smart n.k, kuna mdau mwandende kaliongelea hili.

Ila issue yako inawezekana. Ni mambo ya mvuto, upp rafu ila una mvuto, hiyo ipo, aidha ni handsome n.k

Hongera japo kuna watu humu ni kama wana wivu hivi, neglect them.
 
wanawake wanatofautiana, kuna mwanamke anauwezo wakuona uzuri wako, na mambo makubwa ambayo unatakiwa au utakuja kuyapata kabla hata wewe hujayawaza.
Kuna mwanamke akikupenda atakubadilisha mpaka ukashangaa, nguo akakununulia, akakupasia, akakufulia, akakupiga taf mtaji katika biashara etc
Kweli mkuu
Lkn ni watu ambao haeleweki, Kuna rafk yng flan aliwai kuwa na bint flan kweny mahusiano kiukwel mwana alikuwa rough vbay mno Yan ni kijana lkn mikato yake Kam mzee ni mtu flan anapiglia mibwanga na vitaa na mishati over size
Yule dem alikuwa ni mwanachuo huwez Amin alimbadilisha mshkaj kwa kias kikubwa mno

Dem alkuwa anamnunulia mwana nguo, sabun mapafyun zaga nyingi tu
Kiukweli mwana alibadilika akawa anashine Kama kijana wa kisasa na mikato ya kijanja

Lkn huwez amini baad ya dem kumbadilisha mwamba alimuacha na kwenda kwa mwamba mwingine Tena kwa dharau na nyodo kibao

Mshkaji aliteseka Sana
Hawa viumbe hawaeleweki na usikubali wakubadilishe wanavotaka wao.
 
Kweli mkuu
Lkn ni watu ambao haeleweki, Kuna rafk yng flan aliwai kuwa na bint flan kweny mahusiano kiukwel mwana alikuwa rough vbay mno Yan ni kijana lkn mikato yake Kam mzee ni mtu flan anapiglia mibwanga na vitaa na mishati over size
Yule dem alikuwa ni mwanachuo huwez Amin alimbadilisha mshkaj kwa kias kikubwa mno

Dem alkuwa anamnunulia mwana nguo, sabun mapafyun zaga nyingi tu
Kiukweli mwana alibadilika akawa anashine Kama kijana wa kisasa na mikato ya kijanja

Lkn huwez amini baad ya dem kumbadilisha mwamba alimuacha na kwenda kwa mwamba mwingine Tena kwa dharau na nyodo kibao

Mshkaji aliteseka Sana
Hawa viumbe hawaeleweki na usikubali wakubadilishe wanavotaka wao.
Kabisa
 
Kweli mkuu
Lkn ni watu ambao haeleweki, Kuna rafk yng flan aliwai kuwa na bint flan kweny mahusiano kiukwel mwana alikuwa rough vbay mno Yan ni kijana lkn mikato yake Kam mzee ni mtu flan anapiglia mibwanga na vitaa na mishati over size
Yule dem alikuwa ni mwanachuo huwez Amin alimbadilisha mshkaj kwa kias kikubwa mno

Dem alkuwa anamnunulia mwana nguo, sabun mapafyun zaga nyingi tu
Kiukweli mwana alibadilika akawa anashine Kama kijana wa kisasa na mikato ya kijanja

Lkn huwez amini baad ya dem kumbadilisha mwamba alimuacha na kwenda kwa mwamba mwingine Tena kwa dharau na nyodo kibao

Mshkaji aliteseka Sana
Hawa viumbe hawaeleweki na usikubali wakubadilishe wanavotaka wao.
mwanaume pata pesa tujue tabia yako, mwanamke ukikosa pesa ndio utajua tabia yake. Shida wanawake wengi sikuhizi wanaogopa kuanza na mtu chini akihofia akipata pesa atamuona hafai na kutafuta wanaoendana nae kwa mda huo
 
Habari wanaJF.

Niende kwenye mada, kumekuwa na misemo humu kuwa wanawake wanapenda mwanaume smart, mcheshi na mtundu na sifa kede kede.

Kwangu mimi ni tofauti kabisa, kwanza sina ucheshi(kutabasamu, kucheka wala kuongea ni kwa nadra sana).

Pili mimi sio smart kimavazi. Sio smart kabisa. Ila ninachohakikisha ni kuwa mavazi yangu sio machafu na hayanuki. Kupiga pasi pia na mimi ni paka na panya. Yaani ni rough mno kiujumla hasa kimavazi.

Pia mimi sipo romantic na sipendi kuzoeana sana na wanawake japo wao wanataka sana kunizoea.

Nina sura kavu kidogo yenye tabasamu adimu mno, sipendi stori na wasichana na sipendi utani nao.

Ajabu ni hii[emoji116][emoji116]

Wananikubali sana, huwa sihongi ila nimewala wengi mno tena warembo hasa. Na wengi wanajipendekeza sana kwangu, wengine wake za watu wengine masista duu..

Sasa najishangaa wanapenda nini? Nikisoma kwenye vitu ambavyo huvutiwa navyo mimi sina hata kimoja, japo sio mfupi ni mrefu kiasi.

Kwa kweli najishangaa mno, nimewakataa wengi sana na wengi bado wananikubali.

Nimewahi kupata convos zao kwa msg wakiniongelea. Aisee wamenisifia na kunipamba mpaka naona aibu sasa wakati mimi niko very normal.

Jamani hapa shida nini? Siifurahii hii hali.

Karibuni.!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Wanakupenda wale wachafu wenzio..... Mwanamke msafi awez ambatana na mwanaume mchafukoga, meno njano, magaga, nywele mnyonyoko
 
Wanakupenda wale wachafu wenzio..... Mwanamke msafi awez ambatana na mwanaume mchafukoga, meno njano, magaga, nywele mnyonyoko

Namjibia[emoji116][emoji116]

"Hujaelewa uzi. Mimi ni rough ila si mchafu. Hujui tofauti ya rough na mchafu. Nguo zangu ni safi anytime though sipangilii a k a kutupia. Nywele ni safi japo naziacha ga idle, na sio kipili pili. Hope umeelewa sasa, au ulikimbia umande?!"[emoji23]
 
Back
Top Bottom