Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Wewe unajua?Unajua maana ya kuliwa lakn ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unajua?Unajua maana ya kuliwa lakn ?
Sijamdharau hata, kajidharaulisha mwenyewe.
Umechambua vyema mno. Huenda ikawa kweli. Siweki kipaumbele(budget) ya mavazi ili niwake.nyota, tabia, vision zako nk
wanawake wanapenda wanachosikia kuzidi wanachokiona , ndio maana hata ukigombana nae ataanza kusema uliniahidi hiki, ulisema hivi au vile japo matendo yako yalikuwa clear kuanzia mwanzo kuwa humuhitaji kwahiyo huenda una maneno mazuri, machache lakini mazuri.
Pia kuna wanawake ambao wao wanapenda challenges especially good girls, huamini wewe ni assignment aliyopewa na Mungu kukubadilisha, hawa unakuta anapigwa, anatukanwa hakomi yupo.
Wengine u serious wako na kuwa rough kwako anaamini hauna mambo mengi, na wanawake wengi hawatovutiwa na wewe kwahiyo anakua na imani utakuwa wa kwake peke yake bila kujua wapo wanawake wengine wenye mtazamo kama wa kwake.
Na kakimbia mazima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijamdharau hata, kajidharaulisha mwenyewe.
Ni kweli, na mambo yenyewe ndio kama haya ya mimi sasaDunia Ina mamboo
Hahaa! aje tu nipo hapa namsubiri.Na kakimbia mazima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
wanawake wanatofautiana, kuna mwanamke anauwezo wakuona uzuri wako, na mambo makubwa ambayo unatakiwa au utakuja kuyapata kabla hata wewe hujayawaza.Umechambua vyema mno. Huenda ikawa kweli. Siweki kipaumbele(budget) ya mavazi ili niwake.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Niliachwa sababu ya long distance relationship."Money brings love..."[emoji118][emoji118] kwa kauli yako hii mbons uliachwa kwa dharau na hela zako mkuu? Akawa anahongwa chalii [emoji23][emoji23]
Money brings FAKE love.[emoji23][emoji23]
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Mapenzi ya mbali ni mtihani sana.Niliachwa sababu ya long distance relationship.
Ktk mapnz hakuna mbabe wa long distance relationship..
Ni sawa kabisa ndugu. Ila katika uchafu mimi sio mchafu ila tu niko rough! Pia ni mechanism gani wanatumia wanawake kukuona wewe wa kesho??wanawake wanatofautiana, kuna mwanamke anauwezo wakuona uzuri wako, na mambo makubwa ambayo unatakiwa au utakuja kuyapata kabla hata wewe hujayawaza.
Kuna mwanamke akikupenda atakubadilisha mpaka ukashangaa, nguo akakununulia, akakupasia, akakufulia, akakupiga taf mtaji katika biashara etc
Hahaha hata kama! Wewe huyo alishakuacha tangu zamani sana. Hapo alihitimisha tu. Ni kama mtu ambaye ini limefeli na hajijui, anakuwa ni walking dead ambaye muda wowote atadondoka na kufa.Niliachwa sababu ya long distance relationship.
Ktk mapnz hakuna mbabe wa long distance relationship..
Huyu case yake isome hapo chini utaelewa. Muambie akuelezee vizuri ilivyokuwa ucheke[emoji23]Mapenzi ya mbali ni mtihani sana.
Najua ndyo,nkufundshe?Wewe unajua?
Ngoja nfanye juu chn ili nimwngze geto na nimuoneshe kuwa mim sio wa kuzalauliwa
HahaNgoja nfanye juu chn ili nimwngze geto na nimuoneshe kuwa mim sio wa kuzalauliwa
Wewe umejidharaulisha mwenyewe, jifunze heshima ni kitu cha bure.Ngoja nfanye juu chn ili nimwngze geto na nimuoneshe kuwa mim sio wa kuzalauliwa
Uwe na muda mwema!Najua ndyo,nkufundshe?
Mpe mpeeeeeeWewe umejidharaulisha mwenyewe, jifunze heshima ni kitu cha bure.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uwe na muda mwema!