Mimi ni rough, nywele rough na sijali wala kuhonga na wanawake wananikubali sana. Kwa nini?

Mimi ni rough, nywele rough na sijali wala kuhonga na wanawake wananikubali sana. Kwa nini?

No, naongelea u smart wa kimavazi(kupangilia na kupiga pasi inapohitajika, kuvaa kuendana na usasa n.k), mimi ni tofauti kabisa na mambo hayo. Nguo zangu sinyooshagi, navaa and i dont care. Kifupi navaa sijui niite kishamba au nini?[emoji23][emoji23] ila ndio hivyo najiamini na sijali.

Mpaka hapo umepata picha ni mtu wa aina gani.
tunapangwaga sana humu
 
Habari wanaJF.

Niende kwenye mada, kumekuwa na misemo humu kuwa wanawake wanapenda mwanaume smart, mcheshi na mtundu na sifa kede kede.

Kwangu mimi ni tofauti kabisa, kwanza sina ucheshi(kutabasamu, kucheka wala kuongea ni kwa nadra sana).

Pili mimi sio smart kimavazi. Sio smart kabisa. Ila ninachohakikisha ni kuwa mavazi yangu sio machafu na hayanuki. Kupiga pasi pia na mimi ni paka na panya. Yaani ni rough mno kiujumla hasa kimavazi.

Pia mimi sipo romantic na sipendi kuzoeana sana na wanawake japo wao wanataka sana kunizoea.

Nina sura kavu kidogo yenye tabasamu adimu mno, sipendi stori na wasichana na sipendi utani nao.

Ajabu ni hii[emoji116][emoji116]

Wananikubali sana, huwa sihongi ila nimewala wengi mno tena warembo hasa. Na wengi wanajipendekeza sana kwangu, wengine wake za watu wengine masista duu..

Sasa najishangaa wanapenda nini? Nikisoma kwenye vitu ambavyo huvutiwa navyo mimi sina hata kimoja, japo sio mfupi ni mrefu kiasi.

Kwa kweli najishangaa mno, nimewakataa wengi sana na wengi bado wananikubali.

Nimewahi kupata convos zao kwa msg wakiniongelea. Aisee wamenisifia na kunipamba mpaka naona aibu sasa wakati mimi niko very normal.

Jamani hapa shida nini? Siifurahii hii hali.

Karibuni.!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
weka picha tuone ulivovaa
 
Hata maisha ni ya kawaida tu. Wazee sio maarufu wala nini.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
nyota, tabia, vision zako nk
wanawake wanapenda wanachosikia kuzidi wanachokiona , ndio maana hata ukigombana nae ataanza kusema uliniahidi hiki, ulisema hivi au vile japo matendo yako yalikuwa clear kuanzia mwanzo kuwa humuhitaji kwahiyo huenda una maneno mazuri, machache lakini mazuri.
Pia kuna wanawake ambao wao wanapenda challenges especially good girls, huamini wewe ni assignment aliyopewa na Mungu kukubadilisha, hawa unakuta anapigwa, anatukanwa hakomi yupo.
Wengine u serious wako na kuwa rough kwako anaamini hauna mambo mengi, na wanawake wengi hawatovutiwa na wewe kwahiyo anakua na imani utakuwa wa kwake peke yake bila kujua wapo wanawake wengine wenye mtazamo kama wa kwake.
 
Back
Top Bottom