KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
JF imefikia huku ndugu zangu.....!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu hayo mandevu hunyoi why?Ulichanjiwa ndele ukiwa mdogo usijidai
tunapangwaga sana humuNo, naongelea u smart wa kimavazi(kupangilia na kupiga pasi inapohitajika, kuvaa kuendana na usasa n.k), mimi ni tofauti kabisa na mambo hayo. Nguo zangu sinyooshagi, navaa and i dont care. Kifupi navaa sijui niite kishamba au nini?[emoji23][emoji23] ila ndio hivyo najiamini na sijali.
Mpaka hapo umepata picha ni mtu wa aina gani.
Kupangwa kiaje? I am not smart ila upo huru kuwaza utakavyo.tunapangwaga sana humu
weka picha tuone ulivovaaHabari wanaJF.
Niende kwenye mada, kumekuwa na misemo humu kuwa wanawake wanapenda mwanaume smart, mcheshi na mtundu na sifa kede kede.
Kwangu mimi ni tofauti kabisa, kwanza sina ucheshi(kutabasamu, kucheka wala kuongea ni kwa nadra sana).
Pili mimi sio smart kimavazi. Sio smart kabisa. Ila ninachohakikisha ni kuwa mavazi yangu sio machafu na hayanuki. Kupiga pasi pia na mimi ni paka na panya. Yaani ni rough mno kiujumla hasa kimavazi.
Pia mimi sipo romantic na sipendi kuzoeana sana na wanawake japo wao wanataka sana kunizoea.
Nina sura kavu kidogo yenye tabasamu adimu mno, sipendi stori na wasichana na sipendi utani nao.
Ajabu ni hii[emoji116][emoji116]
Wananikubali sana, huwa sihongi ila nimewala wengi mno tena warembo hasa. Na wengi wanajipendekeza sana kwangu, wengine wake za watu wengine masista duu..
Sasa najishangaa wanapenda nini? Nikisoma kwenye vitu ambavyo huvutiwa navyo mimi sina hata kimoja, japo sio mfupi ni mrefu kiasi.
Kwa kweli najishangaa mno, nimewakataa wengi sana na wengi bado wananikubali.
Nimewahi kupata convos zao kwa msg wakiniongelea. Aisee wamenisifia na kunipamba mpaka naona aibu sasa wakati mimi niko very normal.
Jamani hapa shida nini? Siifurahii hii hali.
Karibuni.!
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Mpaka imefikia hatua naona kawaida mno kufuatwa na msichana mrembo. Nime experience sana hii kitu.tunapangwaga sana humu
Nipo home now na pensi tu, sasa niwekaje picha mkuu? Niweke pensi au[emoji23][emoji23][emoji23]?? Labda ungeweka vizuri hiyo sentensi yako.weka picha tuone ulivovaa
Amewala weng mno na wew ukiwemoHongera.
Na wew umekuwa nnMmmmh
Na wew umeliwa nn mkuuMmmmh
Samahan mkuu sku ile nlikuuzi!! Kutonuka kikwapa tu inatosha kupendwa na madem wakali jaman?? Au labda Ana dawa au mkuyenge mkubwa na mzto,huwa anawapa rahaKwa hizo sifa ulizozitaja hapo juu no wonder wanakupenda as long as hunuki kikwapa sifa zote Ni njema kabisa..
Ukiwemo na wewe.Amewala weng mno na wew ukiwemo
Hahah hamna bhana mkuuAmewala weng mno na wew ukiwemo
Sina dawa, hope ni kujitambua tu.Samahan mkuu sku ile nlikuuzi!! Kutonuka kikwapa tu inatosha kupendwa na madem wakali jaman?? Au labda Ana dawa au mkuyenge mkubwa na mzto,huwa anawapa raha
Unajua maana ya kuliwa lakn ?Ukiwemo na wewe.
Kakudharau vibaya mno. Bonge la tusi hiloUnajua maana ya kuliwa lakn ?
nyota, tabia, vision zako nkHata maisha ni ya kawaida tu. Wazee sio maarufu wala nini.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app