Mimi nilifanya mtihani wa darasa la saba mwaka 2013, wewe je?

Nilipofika la Tano B..Mvua kubwa,radi naupepo mkali iliondosha madarasa yote,ikabidi kwenda kusoma kijiji cha jirani,umbali wa kilo mita 40!Uzalendo ukanishinda😃....
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA?
Ndo mwaka gani sasa huo bina? 😀
 
Wavulana tunapenda ku...
Kumaliza shule.
Wasichana wanapenda mbo...
Mboga za majani [emoji445] [emoji444] [emoji445] [emoji444]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila comments za humu, zinachekesha hatariiiiii. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
😂😂😂 Mwafula lazima asutwe kwa maua pambe..!
Anacheza na majike shupaza?!! Awwwwhee!!

Jana sikushinda kkoo, nilikuwa kwenye kikao kimoja cha wakinga huko Mwanagati 🤣
🤣🤣🤣Mwafula katulia kama hayupo

Naona sasa wakinga mnaendeleza sifa zenu mnataka kuinunua na mwanagati yotee tena mweee
 
🤣🤣🤣Mwafula katulia kama hayupo

Naona sasa wakinga mnaendeleza sifa zenu mnataka kuinunua na mwanagati yotee tena mweee
Eti Wizzy hapajui mwanagati 🤣🤣
Ss hivi wakinga km wote mwanagati, nimetamani hadi kuhama bonyokwa.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…