Mimi nilifanya mtihani wa darasa la saba mwaka 2013, wewe je?

Mimi ndiyo natarajia mwaka huu.Mniombee dua njema. Mkishindwa hilo,mniombee hata maji ya kunywa tu.
 
BRN. Mitihani ya ku shade majibu kwenye karatasi maalumu ukitumia penseli maalumu zile zenye mistari ya rangi nyeusi na nyekundu. Enzi hizo my numbe one ya Almas ina hit.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…