Uhuru jijini dodomaHiyo picha nimechukua Google
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru jijini dodomaHiyo picha nimechukua Google
Kwani kuna tatzo?Kumbe tunachat na watoto wetu
Basi tu mkuu, ila ni jina lenye maana kubwa sana kwenye maisha yangu.Wapi mkuu
Kwan unataka nini?Kwani kuna tatzo?
Saiv nimekula nimeshiba nataka kulalaKwan unataka nini?
Sawa mkuu tafuta hela, lakini Jf ni jukwaa la watu wote sio maalum kwa watu wa umri fulaniNgoja nitafute hela tu niachane na jf maana hapa jf yamejaa matoto tupu.
SawaForum four ❌
Form four ✔️
1972???????Mwaka 1972
Sawa mkuu, tutafanya hivyoMuwe mnaanzaga na shikamoo kwenye hizi post zenu asee
Namaliza form six jitegemee high school2002
😂 hii kauli sio kabisa.Ndio maana kataa ndoa wapo wengi humu kumbe hata maziwa ya mama zao bado yana nukia vinywani mwao
Mimi 1994
Mashine za kupigia kura, ni kweli.Na tuliambiwa tushade kwa usafi maana mitihani ina sahishwa na mashine
Kuna member hapo mwanzoni alimuuliza mtoa maada kuhusu nafasi aliyopo sasa. Kwa hiyo maongezi bila pesa ni makelele pia.2013 tusiongee kweli?
Ngoja nitafute hela tu niachane na jf maana hapa jf yamejaa matoto tupu
Nilifanya mtihan mwaka 2018View attachment 3093104
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...
Shauri yako.Ngoja tukukute umekaa kwenye mapaja ya kabinti ka mwaka afu-mbili huku unajidekeza.Ni viboko tu huku tunakurudisha kwa mama Tunsume mkuku mkuku.🤣🤣😁😁 mimi bado nakula ujana hata iweje